Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Kama ni ugenini basi ondoeni majeshi yenu ya vamizi. Mnasubiri nini?Na hio ni sababu nyingine kuwa Samia haifai Tanganyika....yupo pale kuvuruga tu
Tanganyika (Tanzania bara) imetekwa, inaongozwa na raia wa kigeni (raia kutoka Zanzibar)
Nisameheni jamani nimechukizwa sana na haya maujinga ya kibibi cha kiarabu.Acha matusi mkuu....changia kistaarabu tu.
Hili suala linatumika kama mtaji wa kisiasa ila litavuruga taifa letu.
Hii takataka vipi[emoji3061][emoji3061]yaani katika mambo ya msingi yanayo likabiri taifa yeye anapoteza muda kwenye huu upumbavu,kwanini ameacha kabisa kujishughurisha na mambo ya maendeleo na miradi yeye ni upumbavuu tu kila sikuOna machawi yalivyojipanga...View attachment 2092075
Asante sana...Afrika imekuwa na utaratibu huu wa utawala tangu enzi na enzi. Hizi tawala zilizoletwa na wakoloni hapa Afrika zina miongo michache tu iliyopita. Tusizidharau hizi taratibu zetu za jadi, kwa sababu ya taratibu za kigeni.
Great thinkerNani kakwambia uchifu ni uchawi!? mmeibiwa akili na wazungu !!
[emoji817][emoji817][emoji817]Ukiongelea uchifu unaongelea asili yetu..tamadunj..mila na miiko bila kusahau imani..wewe mlokole na mfia dini ambaye uliondolewa akili na utu wako kisa dini za wazungu na waarabu..ili wakutawale kuanzia akili na mali..unaona upuuzi kuenzi mila zako.
Bure kabisa..wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Taifa lisilo na utamaduni wake halisi ni taifa mfu!Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Hizi siasa za Uchifu sio siasa salama kwa mustakabali wa nchi.
Kwanza yale maguo yenye ngozi za chui sijui wameyatoa wapi!
Niseme tu kwamba, Tanzania hakujawahi kuwa na machifu kwa muktadha wa uongozi wa kitaifa.
Machifu wa Tanzania walikuwa ni tawala chache tu ambazo zilikuwa huko kwa watu wa iringa zamani hizo.
Baadae wakoloni walipokuja, wakaunda vikundi vya wahuni wachache miongoni mwa watanzania kisha wakawavika uchifu for the benefit of white man. Hawa ndio waliohusika kuwauza wenzao utumwani.
Huu uchifu wa sasa wa Samia, sio uchifu haswa. Ni vikundi vya wachawi wanaomsimika Hangaya kwa kumpa mamlaka na utii. Ni power transfer ama alama ya utii katika mamlaka za wachawi.
Wachawi hawa wako nchi nzima. Wamejivika uchifu bandia ili kuficha sura zao halisi.
Kila mahali Rais anapopita wanamvika maguo ya kichawi.
Jamani, nchi hii inamuhitaji Mungu. Tuache kutegemea viumbe dhaifu kama mizimu.
Mungu wetu ni Mungu mwenye nguvu sana, lakini anahitaji watu wanyoofu.
Shida yenu nyinyi ni majizi na watu wa konakona, ndio maana mmemkimbia Mungu mkajikabidhi kwa viumbe wachafu na dhaifu kama majini na mizimu.
Mrudieni Mungu mwenye nguvu na mamlaka, mzitii amri zake na yeye awafanye kuwa wake.
Hayo maguo ya mizimu hayawezi kuwasaidia lolote. Mnajidaganya.
We watu wanazungusha kibatari nchi nzima kwa magharama kibao wakimini eti kibatari hicho kinamulika mpaka nje ya mipaka ya nchi kilete tumaini pale ambako hakuna tumaini, upendo pale penye chuki.....CCM ni wakala wa shetani.
Hilo anayepinga na apinge,lakini ukweli unajulikana.
Mkumbushe na kale kamshumaa wanakokazungusha nchi nzima wakikaabudu...Kwani kwasbb ni utaratibu wa tangu enzi km unavyosema ndo unaondoa ukweli kuwa ni ,uchawi,ushirikina,mizimu?
Hii haiondoi ukweli huu,haijalishi uliwekwa na kufuatwa na nani!
Haufai kenye nchi,tunamhitaji Mungu muumba wa mbingu na nchi sio machifu
Tatizo lako ni uhalali wa hao machifu au uchifu kuwa ni uchawi?.Hawa machifu walisimikwa lini? Wapi? Na nani? Kwa mujibu wa utaratibu gani? Kwa minajili ipi? ili iweje?
Nikumbushe.
View attachment 2092038
Kwenye uongozi wa nchi Kuna mengi Sana, tusije tukajiona tunajua sana. Mpaka rais kuamua kufanya alichofanya basi ujue kuna kitu kinawekwa sawa.Hawa wameibuka kutoka wapi?
Na je wana impact gani katika maisha yetu kwa ujumla?
Sijawahi kusikia Chifu anatoa neno lolote kwenye jumuiya yetu
Hata kusifu au kukemea kitu ila ghafla tunasikia chifu wa huku na kupewa uchifu sijui nini
Kwanza uelewe kwamba CHEIF ni neno la kizungu.
Pili MACHIFU ni viongozi wa kiafrika waliowekwa na wazungu kwa ajili ya kazi za kikoloni.
Afrika haijawahi kuwa na CHEIF. Hii CHIEF ni invention ya mkoloni.
Hawa wa sasa hivi wanaoitwa MACHIFU ni wachawi wa samia.
Hakuna kitu kama CHEIF. Haya ni machawi tu yaliyotafuta chaka zuri la kujifichia.
Chifu ni neno lenye asili ya kiswahili???Ukiongelea uchifu unaongelea asili yetu..tamadunj..mila na miiko bila kusahau imani..wewe mlokole na mfia dini ambaye uliondolewa akili na utu wako kisa dini za wazungu na waarabu..ili wakutawale kuanzia akili na mali..unaona upuuzi kuenzi mila zako.
Bure kabisa..wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Uchief unajua ni jina tu. Kwenu lazima kuna wale wazee wanaoaminika na kuheshimika ambao wanapelekewa suala lolote la kijamii kabla ya kufikishwa serikalini.Kikubwa wakubwa wasijewaza kuwapa mavieite na watumishi kadhaaa, tutapigwa kama nchi. Wawakoge tu hivyooo maisha yaendeleee. Ila kwetu hatuna chief. Labda tuanzishe, na mwenye fursa ni mimi walau.
Chifu linatumika kama kurasimisha tu ila kila jamii ina jina la kiongozi wake.Chifu ni neno lenye asili ya kiswahili???