huyu hatok kanda ya ziwa ni jamaa wa ruvuma nyumbn kwake namabengo ni mzawa ameanza kupambana 1995 akiwakopesa walimu mabati na pikipiki yeye na jamaa mmoja hv wa kuitwa chembele ila huyu sijajua amepotelea wap ila huyu ottawa kaanza kusaka maisha akiwa kijana wa miaka 30 mpaka sasa anamiaka 67 sasa kama ni utajir wa kichawi asingezeeka na utajir wake ni bahili haswa sio mtu wa bataMatajiri wengi sana watz hasa kanda ya ziwa wanautajiri wa kimazingaombwe sana
Hahaa.. I like this kind of jokes😂mwaka 2016 alikua ni mfanyabiashara pekee nyanda za juu Ambae alikua ana uwezo wa kukopeshwa trillion na bank ya NMB.
hata ukiambiwa hutoweza fanya nakupa tu hesabu ndogo bangi gunia moja ni milion 3 had mbili unusu heka inatoa gunia kumi mara heka 30 junia miatatu wateja wapo hata ukiwa na gunia elfu tatu nakuletea mpaka mlangon ukiuza junia miatatatu kwa milin tatu ni sawa na milion900000000 injinia soma hy ngap hiyo tisin au mia tisa, sasa kuna wana wanafikisha junia elfu tatu wakiuza wanalamba mpaka bilion 80 vp bus ngap hapo kwa msimu au roli ngapi hapo haya nishakupa njia haya toka kimaisha hahaha kama kesho hujawekwa ndani mtaita watu wachawi kumbe wana biashara zao za magendo je unazan kuna mtu atakwambia ishu kama hizi? zaid ya kuambiwa anauza..... je ww kama wewe unaweza kufanya ishu kama vp leo nikikwambia namilik vitu vya bilion5 unaweza niamin hahaha msije mkanifunga acha niwe chawa je nikupe mchongo mwingine mana si wataka nikutobolee siri nina michongo ming had ya matrilion ya pesTudokeze kidogo tu chief! Na wengine waweze kumiliki na kutawala.
🙌🙌🙌 Enjoy hela zako bilionea.hata ukiambiwa hutoweza fanya nakupa tu hesabu ndogo bangi gunia moja ni milion 3 had mbili unusu heka inatoa gunia kumi mara heka 30 junia miatatu wateja wapo hata ukiwa na gunia elfu tatu nakuletea mpaka mlangon ukiuza junia miatatatu kwa milin tatu ni sawa na milion900000000 injinia soma hy ngap hiyo tisin au mia tisa, sasa kuna wana wanafikisha junia elfu tatu wakiuza wanalamba mpaka bilion 80 vp bus ngap hapo kwa msimu au roli ngapi hapo haya nishakupa njia haya toka kimaisha hahaha kama kesho hujawekwa ndani mtaita watu wachawi kumbe wana biashara zao za magendo je unazan kuna mtu atakwambia ishu kama hizi? zaid ya kuambiwa anauza..... je ww kama wewe unaweza kufanya ishu kama vp leo nikikwambia namilik vitu vya bilion5 unaweza niamin hahaha msije mkanifunga acha niwe chawa je nikupe mchongo mwingine mana si wataka nikutobolee siri nina michongo ming had ya matrilion ya pes
Vipi mfikemo??Mbeya unamuachaje babito???
Toa ilo neno tajiri kwanza 😂Half american tajiri upo maeneo gani??
Huko Mbinga kuna kifaru anaitwa Mdaka naye sio poa...2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Thread kama hii ilianzishwa kipindi cha jiwe na mtu ambaye lazima alikuwa akikusanya taarifa za watu wa kuvamiwa na kuporwa.Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.
Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.
Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za ugenini, hebu tudeal na ligi za timu asili za nyumbani
Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments
SONGEA -
Ottawa - real estate na mabasi
Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.
MBEYA -
Achimwene - tajiri mchimba dhahabu za Chunya, Biashara yake ni mabasi, kila baada ya miezi kadhaa i kawaida kuona kazindua mabasi mapya mjini.
Sauli - Nae ni mchimba dhahabu huko Chunya, Anamiliki mabasi chapa ya Scania.
Machemba - Msambazaji mkubwa wa hardware
Maranatha -anamiliki chain ya maduka ya madawa na hospitali.
Nasoma - kijana ana duks kubwa la Hardware
Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya
MANYARA
Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite
mdaka fiveHuko Mbinga kuna kifaru anaitwa Mdaka naye sio poa...
alimuuziaga feo pale kwake yamebaki ma4Ottawa bado ana mabasi?
Ndiyomdaka five
Kwanini na huku katavi nzima top ten upoToa ilo neno tajiri kwanza 😂
Dogo mara ya pili hii nakuonya kuwa stori za vijiweni zinakuharibuKwa songea OTTAWA huyu mwamba jeshi la mtu mmoja huyo feo kuna mikono ya wanasiasa kibao pale ila huyu OTTAWA INGEKUWA ANA MENEJIMENT NZUR NA MAGUFUR ASILETA SIASA MBOVU KWA HUYU MWAMBA NAZAN HUYU NDIO ANGESHIKA NYANDA ZA JUU KUSINI SIO MBEYA WALA NJOMBE JAMAA ANAJIWE JAMAA ANA MASOKO MATATU NYUMBA 650 ZOTE ZA VIWANGO TUACHE HAYO ANA GHOROFA NANE VIWANJA TOWN PENYEWE AMEPASHIKA NAKUMBUKA ZAMAN ALINUNUA BUS AINA YA SCANIA 8 KWA PAMOJA AKAWA ANAPIGA ROUTE DAR SONGEA NI BURE SIKU SABA VIPI KUNA TAJIR ANAWEZA FANYA HIVYO AFU NI MZAWA WA HAPAHAPA SONGEA
Mbeya hakuna tajiri wakumzidi TUGIMBEMbeya unamuachaje babito???
mama samia kumbe na wewe ni wa mbinga? We bwana ngoja kwanza hivi we mama samia wa kike au wa kiume mana hy jf unaweza ita broo kumbe mgelooNdiyo
Huyu jamaa naona kama yupo underrated sana, ila ni bonge la investorMwanza Kuna Akina Gachuma (CMg investment
Mimi sio wa Mbinga ila nina marafiki huko akiwemo Mdaka na familia yake. Hata Mbamba Bay nina marafiki. Mimi ni mwanaume. Hiyo ID ni ya kimkakati kumuunga mkono Mama Samia mwaka 2025.mama samia kumbe na wewe ni wa mbinga? We bwana ngoja kwanza hivi we mama samia wa kike au wa kiume mana hy jf unaweza ita broo kumbe mgeloo