Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Mwanza kuna jamaa anaitwa Kitano Chacha, ndiye tajiri mwenye meli nyingi Ziwa Victoria.
 
ni maskini waliochangamka,, kama huamin ngoja madereva wagome mwezi tu kama hujakaa nae bar za pombe za machicha kupiga komoni siku ukisikia madereva wamegoma we andaa buku tano mpitia abood na shabibi mwende kwenye ulanzi kama hajakushukuru mpaka unakufa
We' Jamaa acha bangi.
 
Kuitwa tajiri ni kama uwe na mali au pesa kiasi gani kwani? Naomba tu kuuliza kwa aliyeleta mada au kwa anayejua
 
Weka na Chapaulinge, Memba, Tunyande, Andrew Midu, Fresh ya Shamba, Mafegi, Okoa, Sombrero, Safina
Jengela alikua na Horse Ranch kubwa sana wengi mlikua hamjazaliwa.
Nimeenda sana huko kucheza na farasi.
Yule mtu ndio pekee alikua anamiliki farasi Mbeya,
Sijui biashara zake ila hela yake hakua ya kupima.
Ila wengi walikua na migodi Chunya huko.
na misele Zambia,Tunduma walikua wataalam.
Mbembela,Mwailubi,
Tunyande mwanae baadae,
Walikua wamiliki mabus na maduka na majumba.
Mapunda pia alikua vizuri,
wanafuata kina Kibo
Hao jamaa walikua vizuri 80s.
 
Huyo ni tajiri wa zamani sana! Ila kwa sasa sidhani kama anautajiri sana kuzidi wengine hapo Mwanza! Hapo Mwanza kuna akina Baraka wazee wa migodi ndo matajiri kwa sasa!
Hivi huyo baraka na zongii nani ana pesa ?
 
Huko kigoma kuna familia tajiri ya KASAMBALA hii familia ipo toka miaka ya 800 huko hawa ndo wamiliki halali wa kampuni za usafirishaji wa abiria saratoga,nbs,adventure and yehovayire pia wana hisa mwenye kampuni kubwa tz kama vile bakhresa group,metl group,synarge group,lake oil group,oil com group,ansons group eyc
 
Kwa songea OTTAWA huyu mwamba jeshi la mtu mmoja huyo feo kuna mikono ya wanasiasa kibao pale ila huyu OTTAWA INGEKUWA ANA MENEJIMENT NZUR NA MAGUFUR ASILETA SIASA MBOVU KWA HUYU MWAMBA NAZAN HUYU NDIO ANGESHIKA NYANDA ZA JUU KUSINI SIO MBEYA WALA NJOMBE JAMAA ANAJIWE JAMAA ANA MASOKO MATATU NYUMBA 650 ZOTE ZA VIWANGO TUACHE HAYO ANA GHOROFA NANE VIWANJA TOWN PENYEWE AMEPASHIKA NAKUMBUKA ZAMAN ALINUNUA BUS AINA YA SCANIA 8 KWA PAMOJA AKAWA ANAPIGA ROUTE DAR SONGEA NI BURE SIKU SABA VIPI KUNA TAJIR ANAWEZA FANYA HIVYO AFU NI MZAWA WA HAPAHAPA SONGEA
Mkuu Mbeya usichukulie poa,

Kuna matajiri wa kutisha ile kanda, Hasa maeneo ya wachimbaji

Watu wana miradi ya mabillion na mabillion na wametulia tuli.

Watu wanapiga pesa kwenye madini sio poa aise
 
2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Yani kutapeliwa billion 2 akashake kiuchumi then uje kusema angekua number 1 kwa ukanda wote wa kusini ??

Haupo serious, Maana unaushusha hadhi huo ukanda.

Kuna mzee alichukuliwa Billion 26 kule Mbeya enzi za mzee wa chato na yupo fiti mpaka sasa na kasimama maradufu.
 
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.

Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.

Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za ugenini, hebu tudeal na ligi za timu asili za nyumbani

Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments

SONGEA -

Ottawa - real estate na mabasi

Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.


MBEYA -

Achimwene - tajiri mchimba dhahabu za Chunya, Biashara yake ni mabasi, kila baada ya miezi kadhaa i kawaida kuona kazindua mabasi mapya mjini.

Sauli - Nae ni mchimba dhahabu huko Chunya, Anamiliki mabasi chapa ya Scania.

Machemba - Msambazaji mkubwa wa hardware

Maranatha - Anamiliki chain ya maduka ya madawa na hospitali.

Nasoma - kijana ana duka kubwa la Hardware

Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya

MANYARA

Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite
Iringa...Asas
 
Yani kutapeliwa billion 2 akashake kiuchumi then uje kusema angekua number 1 kwa ukanda wote wa kusini ??

Haupo serious, Maana unaushusha hadhi huo ukanda.

Kuna mzee alichukuliwa Billion 26 kule Mbeya enzi za mzee wa chato na yupo fiti mpaka sasa na kasimama maradufu.
Yani kachukuliwa million elfu 26. Na kutulia tuli hajayumba
 
Mbona mimi hjaniweka? ina maana hujui kuwa mimi ni tajiri?
 
Back
Top Bottom