Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Utaweza kazi??

Huu mkasa unanikumbusha miaka ya 2008 baada yakumaliza chuo,nipo zangu kitaa sina mbele wala nyuma,nipo zangu pande za Bahari Beach,natembea kwa mguu kurudi home kunduchi mtongani, Harrier old model,hiyo inapaki kwa mbele yangu,kioo kikashushwa,kucheki ni mwana mmoja tumesoma nae chuo,vipi kaka wapi,naenda home,kwa mguu,ndiyo kaka sina nauli,twende nikusogeze,ndani ya gari maongezi ya jamaa kwenye simu ni USD 500 kwenda mbele,kaka nashuka hapa,twende tu hadi town Kwan una shughuli gani home sasa hivi?? Au chukua hii 50,000 utanicheki uje nilipo!

Baada kama ya siku mbili, hivi nikamcheki,jamaa akajibu kindly text,kaka Mimi flan,ohhh sasa mbona hukunipigia siku ile? Kaka mambo yalikua mengi, okay chukua bajaji ndoo Bahari Beach Mtaa x,bajaji wanapajua!

Kweli huyu hadi huo mtaa,fika pale ule Mtaa upo kimya,hakuna vurugu kabisa,nikaenda hadi kwenye ile nyumba,nikamkuta msanii wa bongo flavor jina lake x, ni jina maarufu sana Mkoa flani hivi,basi tukawa tunapiga story pale, jamaa anakula zile sigara kubwa za watu wenye pesa,pembeni ana warembo 2,wakiwa nusu naked,pombe mezani zote za bei ya juu!

Basi sababu kipindi kile sikua nakunywa,tukawa tunapiga tu story na jamaa yangu,jamaa akasema nataka nikupe deal la pesa,kwa shauku ya haraka sana nikasema na Mimi si nitakua na maisha kama ya huyu jamaa,nikasema poa! Lakini akauliza tena swali,utaweza? Nikasema kwani kazi gani ambayo kidume kama Mimi nishindwe kuifanya??

Jamaa akasema utaweza kusukuma powder,sikuelewa hii Kodi,nikasema ndiyo naweza,wale wadada wakacheka sana,mwishowe wakasema unaweza uza unga?? Aiseeee! Nilishituka,jamaa akasema huwezi,ushafeli tayari,basi jamaa akasema hii ni Siri,wewe ni mtu wa kwanza kujua nafanya kazi gani,so ukimwambia mtu mwingine,kazi nnazofanya,nitakupoteza,wale warembo,wakawa wanampapasa tu jamaa mgooni!

But miaka ya 2013 hivi walishikwa huko mikoa ya kusini na jamaa mmoja alikua Master sana kwenye michongo hiyo,jamaa hadi leo yupo nyuma ya nondo,kuna demu mmoja siku moja nilikutana nae pande za fish fish masaki,alinipa full details nilibaki mdomo wazi tu aiseeee!
 
Yeah huko DRC wanaita mabanga
 
Maisha ni fumbo.. Ukiona umeingia utu uzima bill cash cash na vyombo vya dola. mshukuru Mwenyezi Mungu. Maisha ya kitaa ni changamoto. Wengi tunateswa na tamaa. biashara ya unga imewaumiza wengi.

talk of unga, hivi akina Shamimu Mwasha bado wapo nyuma ya nondo? jamani tupambane lakini tuwe na staha ya kutafuta pesa. Mimi Yule binti nilikuwa namuona Ana uwezo wa kutafuta bila kugombana na dola…
 
Jamaa ameshaifungua tena villa yake
 
Kwahiyo alikua mzee wa twn,nyumba bado ipo au wameuza watoto
 
Bado wapo nyuma ya nondo mkuu! Maisha ni changamoto sana
 
Chief kiumbe yupo wapi siku hizi?

Na yule mcomoro Said Comorien naye alirudi kwao nini siwasikii kabisa.
 
Haruna Fagason..huyu mwamba kila nyimbo aliyoimba gwiji na nguli wa muziki wa dansi Tanzania, Tx Moshi William lazima amtaje. Kwasisi wapenzi kindakindaki wa Msondo tunalitambua hili jina
 
Walienda.
Tumrpotezana.
Mmoja Malaysia mwingine India.
Sasa sijajua huko ikawaje lakini wa Malaysia alinicheki tena rafikiye alikuwa anataka cheti.
Mimi kuna mtu aliwahi kuomba vyeti vyangu vya form 4, lakini cheti kina picha sikuweza kukubali,
Kuanzia 2008 vyeti vina picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…