babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ona sasa,kisa ilikufa kipindi cha Magu basi ni yeye kaua.nasikia watu wa TRA walikuwa wanamwekea makadirio makubwa sana ya kodi. ikafika time jamaa akashindwa kuendesha biashara yake.
halafu kumbuka lile eneo ni la chama dola(ccm), jamaa alikuwa mpangaji tu. labda ndio maana chini ya utawala ule ilikuwa rahisi kushughulikiwa.
ila wengine wanadai aliyeifilisi villa ni shemeji wa mmiliki wa ile lounge ambaye alikuwa anaisimamia kama meneja(ni mchaga pia).
wanadai jamaa alikuwa halipi kodi huku akimdanganya shemeji mtu kwamba kila kitu kipo sawa. pia wanadai hakuwa na maelewano mazuri na wafanyakazi(ni tetesi lakini).
Miafrika