Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

jamaa huwa wanafanyaje?, wana duplicate?.
Vyeti vipo mihuri ya moto ipo swala la documents forgery ni pana wengi hawaelewi.

Kwa kifupi ni mtu mshamba tu ndio atapinga mambo ya kufoji kwa sababu hata CIA kwenye oparesheni zao wanatumia I'D fake na passport fake, hata wale makomandoo wa Israel wa Ashkenazi kikosi maalum ndani ya Mossad waliokwenda kumuuwa kiongozi wa Hamas Dubai walitumia passport fake za Sweden kuingia Dubai.
 
Nasikitika Ostaz Juma na Musoma toka upedeshee mpaka uchawa
Laana ya PNC hio [emoji1][emoji1]
Screenshot_20220719-002147.jpg
 
Dah!! lilian internet. those days i use to have some crush feelings for her.

ni vile tu nilikuwa sina michongo ya kueleweka, ila ingekuwa miaka hii sasa, nisingekubali.
emoji3.png
emoji3.png


kwa sasa amekuwa mdada wa makamo na mama wa familia, nimtakie maisha mema.
Wapi marehemu diana Aston villa, marehemu akaacha orodha
 
Utaweza kazi??

Huu mkasa unanikumbusha miaka ya 2008 baada yakumaliza chuo,nipo zangu kitaa sina mbele wala nyuma,nipo zangu pande za Bahari Beach,natembea kwa mguu kurudi home kunduchi mtongani, Harrier old model,hiyo inapaki kwa mbele yangu,kioo kikashushwa,kucheki ni mwana mmoja tumesoma nae chuo,vipi kaka wapi,naenda home,kwa mguu,ndiyo kaka sina nauli,twende nikusogeze,ndani ya gari maongezi ya jamaa kwenye simu ni USD 500 kwenda mbele,kaka nashuka hapa,twende tu hadi town Kwan una shughuli gani home sasa hivi?? Au chukua hii 50,000 utanicheki uje nilipo!

Baada kama ya siku mbili, hivi nikamcheki,jamaa akajibu kindly text,kaka Mimi flan,ohhh sasa mbona hukunipigia siku ile? Kaka mambo yalikua mengi, okay chukua bajaji ndoo Bahari Beach Mtaa x,bajaji wanapajua!

Kweli huyu hadi huo mtaa,fika pale ule Mtaa upo kimya,hakuna vurugu kabisa,nikaenda hadi kwenye ile nyumba,nikamkuta msanii wa bongo flavor jina lake x, ni jina maarufu sana Mkoa flani hivi,basi tukawa tunapiga story pale, jamaa anakula zile sigara kubwa za watu wenye pesa,pembeni ana warembo 2,wakiwa nusu naked,pombe mezani zote za bei ya juu!

Basi sababu kipindi kile sikua nakunywa,tukawa tunapiga tu story na jamaa yangu,jamaa akasema nataka nikupe deal la pesa,kwa shauku ya haraka sana nikasema na Mimi si nitakua na maisha kama ya huyu jamaa,nikasema poa! Lakini akauliza tena swali,utaweza? Nikasema kwani kazi gani ambayo kidume kama Mimi nishindwe kuifanya??

Jamaa akasema utaweza kusukuma powder,sikuelewa hii Kodi,nikasema ndiyo naweza,wale wadada wakacheka sana,mwishowe wakasema unaweza uza unga?? Aiseeee! Nilishituka,jamaa akasema huwezi,ushafeli tayari,basi jamaa akasema hii ni Siri,wewe ni mtu wa kwanza kujua nafanya kazi gani,so ukimwambia mtu mwingine,kazi nnazofanya,nitakupoteza,wale warembo,wakawa wanampapasa tu jamaa mgooni!

But miaka ya 2013 hivi walishikwa huko mikoa ya kusini na jamaa mmoja alikua Master sana kwenye michongo hiyo,jamaa hadi leo yupo nyuma ya nondo,kuna demu mmoja siku moja nilikutana nae pande za fish fish masaki,alinipa full details nilibaki mdomo wazi tu aiseeee!
Hivi 2008 bajaj zilikjwa tayari mzee?
 
Vyeti vipo mihuri ya moto ipo swala la documents forgery ni pana wengi hawaelewi.

Kwa kifupi ni mtu mshamba tu ndio atapinga mambo ya kufoji kwa sababu hata CIA kwenye oparesheni zao wanatumia I'D fake na passport fake, hata wale makomandoo wa Israel wa Ashkenazi kikosi maalum ndani ya Mossad waliokwenda kumuuwa kiongozi wa Hamas Dubai walitumia passport fake za Sweden kuingia Dubai.
nakubaliana na wewe. sanaa ya kughushi(the art of forgery), imekuwepo kwa karne nyingi,tangu enzi za manabii.

ktk masuala ya spycraft, forgery ni moja ya course inayofundishwa kabisa kwa trainees ambao mwisho wa siku wanakuja kuwa majasusi waliobobea.

kwa mfano pale langley, virginia ktk jengo la makao makuu ya CIA, kuna idara inayofahamika kwa jina la office of technical service(OTS).

moja ya jukumu la hii idara ni kuwatengenezea fake ID's, travelling documents etc maafisa wa CIA wanaoutumwa kwenye operations nje ya taifa la marekani.
 
Hivi 2008 bajaj zilikjwa tayari mzee?
Tabata na Mwenge ni moja ya maeneo ya Dar ambayo huduma ya bajaj ilianza siku nyingi sana.

Kwanza miaka ya nyuma bajaj ulikuwa ni usafiri wa walemavu wenye uwezo wa kati, bei ya bajaj ilikuwa ya kawaida sana, wenye uwezo wa chini ndio walitumia baiskeli za miguu mitatu na nyingi zikitolewa kama msaada na Freemason society kama Lions club na Rotary club, hata Mzee Mengi naye hakuwa nyuma.
 
Tabata na Mwenge ni moja ya maeneo ya Dar ambayo huduma ya bajaj ilianza siku nyingi sana.

Kwanza miaka ya nyuma bajaj ulikuwa ni usafiri wa walemavu wenye uwezo wa kati, bei ya bajaj ilikuwa ya kawaida sana, wenye uwezo wa chini ndio walitumia baiskeli za miguu mitatu na nyingi zikitolewa kama msaada na Freemason society kama Lions club na Rotary club, hata Mzee Mengi naye hakuwa nyuma.
Sikumbuki kama zilikuwa zimeanza kufanya huduma ya usafirishaji.
 
Back
Top Bottom