hoja yako ni ipi ndg?. unabisha kwamba mashirika makubwa ya ujasusi hayafanyi document forgery au unataka kusema ni nini?.Mashirika makubwa kama hayo uliyoyataja haya wezi kutumia forgery kawasababu Mashirika makubwa yanashirikiana kwenye maswala yaki uhalifu , we unafikiri Mosad, CIA wakitaka passport za nchi yoyote ya Ulaya na Africa, Amerika unadhani watanyimwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787]Laana ya PNC hio [emoji1][emoji1]View attachment 2295979
Dah[emoji3][emoji3]wasanii wanadhalilishwa sanaLaana ya PNC hio [emoji1][emoji1]View attachment 2295979
Brother kuna mtu alikuwa anatajwa Sana hao watu STEVE KALIKAMFUMUNimesoma Comments Baadhi sijamaliza Zote.. Sijaona Akitajwa OKIA JAMES hasa kwenye Nyimbo za FM Academia na Kwa Christian Bella nadhani... Huyu Vipi??
Kuna wimbo wa Akudo nafikiri ni Crazy LoveSijawai msikia Okia ila
Rukia James
Demu mmoja wa kihaya kisu black hivi mjanja mjanja.
Alianza kumwingiza king jamaa mmoja msukuma pedeshee matambala mwanzo kabisa.
Huyo pimbi alikua TRA mstari ukamnyookea baasi mshamba yule hata kuvaa alikua bado sana.
Akatelekeza familia ikawa ni kazi,kuiba haswa baada ya kazi anapeleka kwa rukia.
Kula bata sana
Rukia alikua mdau sana wa band hasa FM Academia,hata kwa Ndanda na Twanga.
Demu akajiongeza akafungua saloon kuubwa.
Ndio wakawa wanamrusha sana.
Yule Mbwiga alipigwa chini TRA na demu akaruka kihunzi next.
Huyo jamaa alikuwa PEDESHEE LA KIHAYA, NYIMBO ZOTE ZA CHRISTIAN BELLA LAZIMA UMSIKIE HADI LEO HII BELLA AKITOA NYIMBO LAZIMA AMTAJE...JAMAA KADUMU AWAMU ZOTE TATU TANGU ENZI ZA MKAPA HADI SAMIA BADO ANATAJWA TU NA WAIMBA BENDI WA BONGO, INGAWA SIJUI MISHE ZAKEsteve kanakamfumu. bila shaka ni muhaya huyu.
record inaonyesha wahaya wanaongoza kwa kutajwa zaidi kwenye nyimbo za wanamuziki wa rhumba/densi.
pedeshee wa misimu yote [emoji1787][emoji1787]Huyo jamaa alikuwa PEDESHEE LA KIHAYA, NYIMBO ZOTE ZA CHRISTIAN BELLA LAZIMA UMSIKIE HADI LEO HII BELLA AKITOA NYIMBO LAZIMA AMTAJE...JAMAA KADUMU AWAMU ZOTE TATU TANGU ENZI ZA MKAPA HADI SAMIA BADO ANATAJWA TU NA WAIMBA BENDI WA BONGO, INGAWA SIJUI MISHE ZAKE
Kweli mkuu Matola. Mimi huu uzi sichangii kwasababu bila kufaulu form six nisingekuja town kabisa 2006.Mwandishi wa huu uzi alishawataadharisha mapema, kama umri wako hautoshi basi kuwa msomaji tu ujifunze.
Kipindi hicho South africa tulikuwa tunaenda kwa viza lazima uende hapo masaki kuomba viza, supporting documents ilikuwa ni go and return ticket ya Alliance Airways.
Kuna mdada wa Twanga anaitwa Janet Isinika yuko wapi siku hizi?Miaka ya zamani ili uonekane kamili,ngoma ngumu,Shuja
Kwa watoto wa kinondoni lazima uende huko.....ni sawa na kupata chef
Mtaani si heshima na kufagiliwa
Ova
Janet Isinika yuko wapi?Dah!! lilian internet. those days i use to have some crush feelings for her.
ni vile tu nilikuwa sina michongo ya kueleweka, ila ingekuwa miaka hii sasa, nisingekubali.[emoji3][emoji3]
kwa sasa amekuwa mdada wa makamo na mama wa familia, nimtakie maisha mema.
Bro hivi mtu na passport fake anawezaje kuvuka airport wakati kuna fingerprints? Hasa kwenye airport aliyowahi kuvuka na passport OG?Vyeti vipo mihuri ya moto ipo swala la documents forgery ni pana wengi hawaelewi.
Kwa kifupi ni mtu mshamba tu ndio atapinga mambo ya kufoji kwa sababu hata CIA kwenye oparesheni zao wanatumia I'D fake na passport fake, hata wale makomandoo wa Israel wa Ashkenazi kikosi maalum ndani ya Mossad waliokwenda kumuuwa kiongozi wa Hamas Dubai walitumia passport fake za Sweden kuingia Dubai.
Mishen Town tu,walimbabatiza mwisho mwisho hapo akapotezwa mbaya.Huyo jamaa alikuwa PEDESHEE LA KIHAYA, NYIMBO ZOTE ZA CHRISTIAN BELLA LAZIMA UMSIKIE HADI LEO HII BELLA AKITOA NYIMBO LAZIMA AMTAJE...JAMAA KADUMU AWAMU ZOTE TATU TANGU ENZI ZA MKAPA HADI SAMIA BADO ANATAJWA TU NA WAIMBA BENDI WA BONGO, INGAWA SIJUI MISHE ZAKE
maisha ni kupanda na kushuka. ni hali ambayo mwanaume yoyote aliyefanikiwa kimaisha ktk kutafuta pesa(kwa njia yoyote ile), anaweza kupitia.Mishen Town tu,walimbabatiza mwisho mwisho hapo akapotezwa mbaya.
Ule ubonge nyanya,kuwa choka mbaya hadi kugongea bia ilikua noma.
Hadi gari ilikua mzigo ikawa kama taxibubu.
Unamtoa mafuta mnapiga misele popote.
Wanavyopenda kusifiwa yupo radhi akakope huko aje kutunza wasanii ili atajwe,, ndg zangu hawa sifa zipo damunisteve kanakamfumu. bila shaka ni muhaya huyu.
record inaonyesha wahaya wanaongoza kwa kutajwa zaidi kwenye nyimbo za wanamuziki wa rhumba/densi.
Bro nimesoma page zote sijaona maelezo. Kama hutajali naomba hata namba ya pageukipitia post za huu uzi kwa utulivu, utakutana na maelezo yanayomzungumzia huyo dada na wapi yupo hivi sasa.
Kwani tako la mchina na tako OG unaligunduwaje?Bro hivi mtu na passport fake anawezaje kuvuka airport wakati kuna fingerprints? Hasa kwenye airport aliyowahi kuvuka na passport OG?