Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Mashirika makubwa kama hayo uliyoyataja haya wezi kutumia forgery kawasababu Mashirika makubwa yanashirikiana kwenye maswala yaki uhalifu , we unafikiri Mosad, CIA wakitaka passport za nchi yoyote ya Ulaya na Africa, Amerika unadhani watanyimwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
hoja yako ni ipi ndg?. unabisha kwamba mashirika makubwa ya ujasusi hayafanyi document forgery au unataka kusema ni nini?.
 
Sijawai msikia Okia ila
Rukia James
Demu mmoja wa kihaya kisu black hivi mjanja mjanja.
Alianza kumwingiza king jamaa mmoja msukuma pedeshee matambala mwanzo kabisa.
Huyo pimbi alikua TRA mstari ukamnyookea baasi mshamba yule hata kuvaa alikua bado sana.
Akatelekeza familia ikawa ni kazi,kuiba haswa baada ya kazi anapeleka kwa rukia.
Kula bata sana
Rukia alikua mdau sana wa band hasa FM Academia,hata kwa Ndanda na Twanga.
Demu akajiongeza akafungua saloon kuubwa.
Ndio wakawa wanamrusha sana.
Yule Mbwiga alipigwa chini TRA na demu akaruka kihunzi next.
Kuna wimbo wa Akudo nafikiri ni Crazy Love

Utamsikia Bella akilalamika "Okia James Dederiooo"
Pengine ni matamshi lakini hii Okia ninewasikia nayo sana Akudo
 
steve kanakamfumu. bila shaka ni muhaya huyu.

record inaonyesha wahaya wanaongoza kwa kutajwa zaidi kwenye nyimbo za wanamuziki wa rhumba/densi.
Huyo jamaa alikuwa PEDESHEE LA KIHAYA, NYIMBO ZOTE ZA CHRISTIAN BELLA LAZIMA UMSIKIE HADI LEO HII BELLA AKITOA NYIMBO LAZIMA AMTAJE...JAMAA KADUMU AWAMU ZOTE TATU TANGU ENZI ZA MKAPA HADI SAMIA BADO ANATAJWA TU NA WAIMBA BENDI WA BONGO, INGAWA SIJUI MISHE ZAKE
 
Huyo jamaa alikuwa PEDESHEE LA KIHAYA, NYIMBO ZOTE ZA CHRISTIAN BELLA LAZIMA UMSIKIE HADI LEO HII BELLA AKITOA NYIMBO LAZIMA AMTAJE...JAMAA KADUMU AWAMU ZOTE TATU TANGU ENZI ZA MKAPA HADI SAMIA BADO ANATAJWA TU NA WAIMBA BENDI WA BONGO, INGAWA SIJUI MISHE ZAKE
pedeshee wa misimu yote [emoji1787][emoji1787]
 
Mwandishi wa huu uzi alishawataadharisha mapema, kama umri wako hautoshi basi kuwa msomaji tu ujifunze.

Kipindi hicho South africa tulikuwa tunaenda kwa viza lazima uende hapo masaki kuomba viza, supporting documents ilikuwa ni go and return ticket ya Alliance Airways.
Kweli mkuu Matola. Mimi huu uzi sichangii kwasababu bila kufaulu form six nisingekuja town kabisa 2006.
 
Miaka ya zamani ili uonekane kamili,ngoma ngumu,Shuja
Kwa watoto wa kinondoni lazima uende huko.....ni sawa na kupata chef
Mtaani si heshima na kufagiliwa

Ova
Kuna mdada wa Twanga anaitwa Janet Isinika yuko wapi siku hizi?
 
Dah!! lilian internet. those days i use to have some crush feelings for her.

ni vile tu nilikuwa sina michongo ya kueleweka, ila ingekuwa miaka hii sasa, nisingekubali.[emoji3][emoji3]

kwa sasa amekuwa mdada wa makamo na mama wa familia, nimtakie maisha mema.
Janet Isinika yuko wapi?
 
Vyeti vipo mihuri ya moto ipo swala la documents forgery ni pana wengi hawaelewi.

Kwa kifupi ni mtu mshamba tu ndio atapinga mambo ya kufoji kwa sababu hata CIA kwenye oparesheni zao wanatumia I'D fake na passport fake, hata wale makomandoo wa Israel wa Ashkenazi kikosi maalum ndani ya Mossad waliokwenda kumuuwa kiongozi wa Hamas Dubai walitumia passport fake za Sweden kuingia Dubai.
Bro hivi mtu na passport fake anawezaje kuvuka airport wakati kuna fingerprints? Hasa kwenye airport aliyowahi kuvuka na passport OG?
 
Huyo jamaa alikuwa PEDESHEE LA KIHAYA, NYIMBO ZOTE ZA CHRISTIAN BELLA LAZIMA UMSIKIE HADI LEO HII BELLA AKITOA NYIMBO LAZIMA AMTAJE...JAMAA KADUMU AWAMU ZOTE TATU TANGU ENZI ZA MKAPA HADI SAMIA BADO ANATAJWA TU NA WAIMBA BENDI WA BONGO, INGAWA SIJUI MISHE ZAKE
Mishen Town tu,walimbabatiza mwisho mwisho hapo akapotezwa mbaya.
Ule ubonge nyanya,kuwa choka mbaya hadi kugongea bia ilikua noma.
Hadi gari ilikua mzigo ikawa kama taxibubu.
Unamtoa mafuta mnapiga misele popote.
 
Mishen Town tu,walimbabatiza mwisho mwisho hapo akapotezwa mbaya.
Ule ubonge nyanya,kuwa choka mbaya hadi kugongea bia ilikua noma.
Hadi gari ilikua mzigo ikawa kama taxibubu.
Unamtoa mafuta mnapiga misele popote.
maisha ni kupanda na kushuka. ni hali ambayo mwanaume yoyote aliyefanikiwa kimaisha ktk kutafuta pesa(kwa njia yoyote ile), anaweza kupitia.

mimi huwa sishangai wala sifurahii ninaposikia fulani ka drop financially. huwa nachukulia hali hiyo kama wake-up call.
 
Bro nimesoma page zote sijaona maelezo. Kama hutajali naomba hata namba ya page
basi upo sahihi, ni kweli huyo dada hajazungumziwa kwenye uzi huu.

nilichanganya jina na wajihi wake na jesca charles.
 
Bro hivi mtu na passport fake anawezaje kuvuka airport wakati kuna fingerprints? Hasa kwenye airport aliyowahi kuvuka na passport OG?
Kwani tako la mchina na tako OG unaligunduwaje?

Hizi picha mbili ni za mtu mmoya mungu Zumaridi.
 

Attachments

  • IMG-20220719-WA0013.jpg
    IMG-20220719-WA0013.jpg
    41.1 KB · Views: 63
Back
Top Bottom