Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Nimekuelewa
 
Hilo lina kweli 100%.

But don't be fooled by their silence, wapo ambao bado wana mzigo wa kutosha ila wameamua kwenda lowkey kuzuga mamlaka. Hawataki tena mambo ya kutajanatajana kwenye mziki.
Watu wanacheza na nyakati wanajiongeza[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]Enzi ya JK watu walikuwa na freedom sana hakukuwa na mambo ya kutafutana majumbani kuulizana hela umepata wapi.
 
Nmejikuta nacheka tu
 
Naomba kujua Professor Kapuya ni Professor wa nini hapa nchini?
 
Moris Mariaga ni Mkwere mwenye bar zake za kutosha mitaa ya Manzese, Tandale na Sinza...hatari sana
 
Kuna mwamba mwingine alitikisa sana maeneo ya Kariakoo, alikuwa mmoja wa vijana wenye majina makubwa kwenye soko la Kariakoo mle ndani karibu na duka la RTC marehemu Ford,hadi maalimu Gurumo akiwa Sikinde alimwimba.
Baba yake na Shamsa Ford huyo na Wakumojo
 
Jamaa nasikia Hana mke yupo single tu
 
Nilisikia huyu mwamba mali zake zimekamatwa na serikali ya Marekani pamoja na Ufaransa na pia ni kama yupo kizuizini huko Ufaransa,huyu mwamba ndiye amasemekana alinunua ile glove maarufu yenye vimulimuli vya dhahabu aliyokuwa anaivaa Wacko Jacko.
Ufaransa na Marekani walisanda, aliwafungulia kesi ya Madai ya kumdhalilisha kwa kukamata Mali zake akatoa ushahidi ulionyooka...wakarudisha Mali zake zote na kesi akaifuta
 
Dah umenikumbusha zamani Sana, Enzi Hizo nikiwa darasa la 7 mwaka 1997 pale Ubungo NHC kila Jumamosi lazima tupande UDA kwenda Kimara Resort opposite na Ile Sheli kupiga paper zake za kila wiki ili tutusue paper za NECTA

ANDREW SEKIDEA ambaye alikuwa Twanga Pepeta ndiyo alimuunganisha kwa kina Choki, kuna kipindi alikuwa Tour Guide huko Arusha sijui ikawaje, sikuwahi jua kuwa alishafarikigi
 
Yupo hai ni dereva wizara ya kilimo. Zamani alikua dereva Tamisemi.
Sasa hivi Fikiri Madinda ni Dereva wa Serikali na anaishi Dodoma na ni mwenyeji wa Dodoma ni Mrangi lakini Mama yake NI Mgogo. Fikiri Madinda kwa Sasa ni Dereva wa Naibu Waziri wa Wizara Mojawapo Serikalini lakini Siyo Kilimo.

Aliyekuja kuwa Naibu Waziri wa Kilimo wa Kwanza baada ya Bashe kupandishwa cheo na kuwa Waziri kamili wa Kilimo ndiyo huyo anayemuendesha kwa Sasa hata baada ya huyo Naibu Waziri kuhamishwa Wizara alihama na Dereva Fikiri Madinda kutoka Wizara ya Kilimo na kwenda nae Wizara mpya aliyoteuliwa
 
Mkuu wizara moja wapo ni ipi hiyo wakati anajulikana yuko Tamisemi. Unaficha ficha nini sasa, ama unaona ni jambo la siri saaana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…