babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Aliiga,kibinda nkoyi ya koffi olomide& quartie latie album Magie nyuma huko.Ikibinda nkoyi ni verse za kuchagizia wimbo aka rap za Allan Mulumba Kashama mstahiki Meya sio kua ninwimbo, tafuta nyimbo za Diamond Sound Banda utakuna na hizo rap.
Albamu ya Maggie kulikuwa hakuna Ikibinda Nkoyi. Huo mtindo ulikuja baadaeAliiga,kibinda nkoyi ya koffi olomide& quartie latie album Magie nyuma huko.
nakumbuka aliwahi kuanzisha kampuni ya kijanjanjanja ya kuwafanyia scouting wachezaji wachanga wa mpira hapa bongo. sijui ile kampuni ilifia wapi.
Hivi Shakashia alikua mtu au kionjo tuu cha kwenye twanga pepeta?
Kabisa, MkuuMzee malay nlifanya kazi kwake
Za kutumwa hapa na pale upande wa dokomaa....enzi hzo nlikuwa dogo nasoma natafuta pesa
Umenikumbusha aise,alikuwa smart sana ila kuna wakat fulani nlimuona
Alikuwa tofauti nlijisikia vibaya sana
Ova
Mzee Malay alifariki lini??sina taarifa kwa kweliKabisa, Mkuu
Umenikumbusha jina lake, yule Mzee alikuwa na akili ya kizungu....na aliwapa Pazi wote mishemishe za clearing and forwrding kwenye kampuni yake
Nyumbani kwake kulikuwa na Half Court ya Basketball, kama Unyamwezeni ukiingia kwake unajiona...
Tulikuwa tunakwenda kwake kucheza kikapu na kina Mazula juniors, na mtoto wa Warioba alikuwa Jahman fulani baadae...
Aliwapeleka Pazi wote US kula bata, nakumbuka tunamsomesha mshikaji maskani, kwamba hii ndio "tiketi" na "safari" yenyewe usirudi, na zaidi alikuwa mkongo na anakitema kweli kifaransa, tunamwambia ukifika huko wewe cholopoka na useme ni mkongo unahitahiji hifadhi yaani kujilipua...
Lakini wapi akarudi na baadae Mzee alivyovuta, Pazi wote chali..........
Dah hyo mchizi akili zake zilikuwa mgandoKabisa, Mkuu
Umenikumbusha jina lake, yule Mzee alikuwa na akili ya kizungu....na aliwapa Pazi wote mishemishe za clearing and forwrding kwenye kampuni yake
Nyumbani kwake kulikuwa na Half Court ya Basketball, kama Unyamwezeni ukiingia kwake unajiona...
Tulikuwa tunakwenda kwake kucheza kikapu na kina Mazula juniors, na mtoto wa Warioba alikuwa Jahman fulani baadae...
Aliwapeleka Pazi wote US kula bata, nakumbuka tunamsomesha mshikaji maskani, kwamba hii ndio "tiketi" na "safari" yenyewe usirudi, na zaidi alikuwa mkongo na anakitema kweli kifaransa, tunamwambia ukifika huko wewe cholopoka na useme ni mkongo unahitahiji hifadhi yaani kujilipua...
Lakini wapi akarudi na baadae Mzee alivyovuta, Pazi wote chali..........
Mzee mwenyewe wa rainbow sikuhizi Chali mkuu japo alikua usalamaWatu wa rainbow hao mkuu, achana nao.
Nasikia yuko Mwanza kwenye media house ya Dialo(Star TV) nadhani wajuvi wataliweka vizuri kama ameshatoka huko.Yuko wapi siku hizi huyu jamaa?
Chawa mzee, anadhani naye ataanza kupata endorsements kutokana na uchawa.Nasikitika Ostaz Juma na Musoma toka upedeshee mpaka uchawa
Umenikumbusha mwana anaitwa Shaban Kazumba (Shabobo ) mtoto wa Ukonga Mombasa mtu imekwenda hewani kama Hashim Thabeet.Kabisa, Mkuu
Umenikumbusha jina lake, yule Mzee alikuwa na akili ya kizungu....na aliwapa Pazi wote mishemishe za clearing and forwrding kwenye kampuni yake
Nyumbani kwake kulikuwa na Half Court ya Basketball, kama Unyamwezeni ukiingia kwake unajiona...
Tulikuwa tunakwenda kwake kucheza kikapu na kina Mazula juniors, na mtoto wa Warioba alikuwa Jahman fulani baadae...
Aliwapeleka Pazi wote US kula bata, nakumbuka tunamsomesha mshikaji maskani, kwamba hii ndio "tiketi" na "safari" yenyewe usirudi, na zaidi alikuwa mkongo na anakitema kweli kifaransa, tunamwambia ukifika huko wewe cholopoka na useme ni mkongo unahitahiji hifadhi yaani kujilipua...
Lakini wapi akarudi na baadae Mzee alivyovuta, Pazi wote chali..........
Umenikumbusha mwana anaitwa Shaban Kazumba (Shabobo ) mtoto wa Ukonga Mombasa mtu imekwenda hewani kama Hashim Thabeet.
Kwa sasa Shabobo anaishi Ujerumani alishanikaribisha kwenye team yao Humburg German.
Kama mpaka leo Wajerumani watakuwa hawajampa Uraia basi ni zaidi ya makauzu, miaka 24 sasa yupo Germany.
[emoji32][emoji32][emoji32]kumbeee!!!Fikiri Madinda tupo nae Dodoma ni Dereva wa Wizara ya Kilimo, Leo tulikuwa nae mitaa Fulani hivi...Ila jamaa kwa Sasa anaishi low key Sana and very humble
Hapana amezaa na chief kiumbe nadhanihivi ni kweli mboni alizaa na mcheza kandanda maarufu wa west africa, gorge weah/samwel eto?.
hizi habari zilikuwa zinazungumzwa sana miaka yetu ile.
[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]Kwan yule jamaa Idrisa na matege yake,ule mpunga wa Big Brother uko wapi?? 500M kala zote