Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Teh teh

Ova
 
Keny nyembera enzi hizo tulikuwa tunapiga naye sana tizi alikuwa na mwili jumba,sema jamaa madawa yalimuaribu sana hapo badaye(am sorry to say this)
Alafu keny alikuwa anatoka na dada mmja enzi hizo alikuwa mke wa mzungu mmja aliyekuwa na biashara kubwa tu bongo,alikuwa kama dada yetu wa mjini(smbdy A.mbonde)
Dem alikuwa akivuta mpunga kwa mme wake anaenda jirusha na k.nyembe kula bata sana
Enzi hizo dem anapush Nissan patrol
Wale wajinga walikuwa maisha sana
Mm mwenyewe nlikula sana hela za yule dada si unajua mambo ya kujiongeza
Ona sasa wanawake walivyokuwa fyatu, dem alipokolea sana kwa k.nyembe si akawa anataka talaka
Akajikanyaga alipoomba talaka kwa mme mzungu yule eti aliomba hela tu nahsi ilikuwa mln 80....yule mzungu faster aka file papers nk ili process ifanyike ,akampatia hela wakaachana
Maaana yule mme wake alijua labda mke atataka mgawanyo wa Mali
Ebwana walipoioata hela wacha wait umbue na k.nyembe
Maana wote walikuwa wanatumia ile kitu...mwisho wa siku waliishi maisha ya kusikitisha sana
Kimbembe sasa tuliyokula hela zake si mizinga tukikutana usipo mpa lawama [emoji1]

Ova
 
hili lina ukweli 100%.
kwanini kwa familia tajiri za kiarabu hali hii haipo?. kwa mfano yusup bakhresa, mtoto wa mzee bakhresa alioa mapema sana na mpaka sasa yupo na mkewe.
Uzi huu umenifanya nmkumbuke dada yetu Amina mongi (RIP)
Na imani angekuwepo mpaka leo angekuwa mtu fulani
Nakumbuka dstv inaingiaingia bongo
Na muktichoice wao ndy walikuwa wa kwanzakwqnza kuipigia promo
Nmepiga naye sana nyagi kinywaji chake....

Ova
 
Aisee ktk jamii ambazo hua wanawahi kuoa hua Ni waarabu na hii Ni Hadi kwa familia zao za matajiri,kijana hata wa early 20's unakuta ameoa afu fresh tu Maisha yanaendelea, nadhani labda Ni mambo ya tamaduni mkuu.
Yap waarabu wahindi kuoa ni mapema sana naona hawajamezwa sana na tamaduni za magh
 

Tukapate lunch tukape lunch oooh oooh kwa Mama Sakina uohh kwa Mama Sakina uoooh, mama Sakina mama wa Vingunguti
 
umenirudisha mbali sana bro kuhusu dada amina mongi. may her soul continues to rest in peace. ardhi imemeza watu hii, dah!!.

miaka fulani ya katikati mwa 2000, niliwahi kufanya kazi kwa ukaribu sana na kaka yake azizi mongi. sijui yupo wapi kwa sasa huyu braza.

NB:
ila mrangi nimekuvulia kofia aisee, wewe ni encyclopedia inayotembea.

upo deep and well informed kuhusu matukio, lifestyle na watu maarufu waliotingisha jiji la dar mwishoni mwa miaka ya 90, miaka ya 2000 mpaka 2012.

nakushauri utunge kitabu ili upige pesa. kama utahitaji udhamini, nitasaidia kukupa connection.
 
Aziz namjua alikuwaga na ofisi ktk frame za konondoni bakwata Enzi zile
Jamaa alikuwa amesoma sana na mpaka ubongo wake ulikuwa kama umemwagika,nshamtumia sana kwa kunifanyia dili fulani fulani za mjini
Tulikuwa leo tunaelewana,mara kesho nkienda muona ananichenjia basi dah
Tafranii, sijui yuko wapi sahvi aziz

Yah amina mongi alikuwa vzr sana

Ova
 
the guy was naturally genius ila ukimuona unaweza dhani dishi limeyumba.
 
Haruna Fagason..huyu mwamba kila nyimbo aliyoimba gwiji na nguli wa muziki wa dansi Tanzania, Tx Moshi William lazima amtaje. Kwasisi wapenzi kindakindaki wa Msondo tunalitambua hili jina
ni kweli, hili jina nimelisikia mara nyingi. marehemu moshi william alikuwa analitaja sana.

alikuwa ni nani huyo mtu na yupo wapi hivi sasa?.
 
Nasikia sunda ni mwenye mount meru hotel Arusha
Sahihi kabisa mkuu,ana shares(partnership) na wakina Sullivan.Kuna kipindi hao Sullivan walitaka kuuza shares zao zote waondoke Ila sijui iliishia wapi.

R.Mengi aliwahi kutaka kuinunua Mount Meru hotel, wenyewe wakawa wanataka Tsh.bil 45 wkt Mengi anasema awape Tsh.33bil

Naona walishindwana,Mengi akaachana na biashara hio.
 
Amina Mongi alikuwa na kampuni ya masuala ya urembo inaitwa faces international ndiyo iliyomtoa Miriam Odemba (Miriam mtoto wa Keko ghafla akawa maarufu na safari za China, usiniulize akienda kufanya nini).

Mkitaja wanamuziki msisahau wacheza densi kama King Jobiso, Small Jobiso na wengineo.

Ila Wabongo, nakumbuka kulikuwa na jamaa mmoja nimemsahau yeye alikuwa naye anawatuza sana Wanamuziki. Enzi simu ndiyo zinaanzaanza kabla ya kampuni ya Vodacom, jamaa alikuwa anapenda kuning'iniza simu yake kwenye suruali na maji ya Kilimanjaro anatembea nayo (enzi hizo ujiko).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…