kuna mshikajiwangu pale Arusha alikuwa anatoka na mtoto madam Hidaya pia amenithibitishia hili shauri la pepe kale kumuimba hidaya!!!! RIP PEPE KALE , MADAM HIDAYA NA BINTI AKE.Umeanza lini kuwaamini wachambuzi mchongo wa Bongo? Huyo Hidaya wa Arusha alijichomeka kukimbilia fursa. Hebu jiulize kama alikuwa anajua Hidaya mwenyewe yuko Arusha, why amtafute Morogoro, Mwanza na Arusha? Ile sanaa, na pale alitumia fasihi kufikisha ujumbe kwa mapokezi aliyoyapata. Kiukweli Pepe Kale, Boziboziana na Kanda Bongo Man walipata mapokezi yasiyo kifani.
Nimeuliza swali kwanini Pepe Kale katika mashairi yake alisema angerudi Dar, Mwanza, Arusha na Morogoro wakati anajua fika Hidaya yuko Arusha? Mbona hamtoi majibu hapo.kuna mshikajiwangu pale Arusha alikuwa anatoka na mtoto madam Hidaya pia amenithibitishia hili shauri la pepe kale kumuimba hidaya!!!! RIP PEPE KALE , MADAM HIDAYA NA BINTI AKE.
Sasa mr Zwangendaba kutaja hiyo mikoa si katika kukoleza nyimbo na kuipa millage tu 😀Nimeuliza swali kwanini Pepe Kale katika mashairi yake alisema angerudi Dar, Mwanza, Arusha na Morogoro wakati anajua fika Hidaya yuko Arusha? Mbona hamtoi majibu hapo.
Haya mkuu, mambo yasiwe mengi. Hands up👐😆😆Sasa mr Zwangendaba kutaja hiyo mikoa si katika kukoleza nyimbo na kuipa millage tu 😀
Huyu ni jirani yetu huku Mbezi Kimara.Koba KIMANGA sio KABANDA[emoji28][emoji28]
hiki kijiwe cha pale ubavuni na Azam sio, kijiwe cha kina Aman,Mlelwa etc wa enzi hizo.View attachment 2575626View attachment 2575626
View attachment 2575626
Mitaa ya Posta imepoa kweli, leo kuna mishe nilikuwa nafukuzia wadau wamepoa. Baada ya maofisi kuhamia Dodoma korido zimebaki na wagonga mihuri
JB Mpiana anamkubali sana huyu jamaa😂
Sababu main idea ni kwamba amepoteza kipenzi chake nchini Tanzania ila hajui exactly wapi alipo huyo "mukanda ya kiuno" hivo ana guess mikoa ambapo atakuwepo,japo in reality alijua ni ArushaNimeuliza swali kwanini Pepe Kale katika mashairi yake alisema angerudi Dar, Mwanza, Arusha na Morogoro wakati anajua fika Hidaya yuko Arusha? Mbona hamtoi majibu hapo.
Uzi ulipoa naonapapaa charles mutawali.mutu ya magari.
View attachment 2685200
kaka yangu mrangi kwema lakini?.long time hatujauamsha huu uzi.
Uamshe.... nilikua naufuatilia sana huu uzi.safari hii nauamsha tena.
Kuna huyu wa kuitwa SL,katungiwa wimbo na Fally.... huyo ni pedezhyee mpya Congo au?Eric Kulume, Tchatchot Mbala
Tajiri mpya mkuu, kama chacho mbala kashogi.Kuna huyu wa kuitwa SL,katungiwa wimbo na Fally.... huyo ni pedezhyee mpya Congo au?
Kushoto kushuka chini kidogo kulikuwa na duka la makoba hivi huyu jamaa bado yupo maduka yake siyaoni 😁 maana nina mtisheti wake hapa mmoja haujawahi kunitosha hadi leoView attachment 2575626View attachment 2575626
View attachment 2575626
Mitaa ya Posta imepoa kweli, leo kuna mishe nilikuwa nafukuzia wadau wamepoa. Baada ya maofisi kuhamia Dodoma korido zimebaki na wagonga mihuri
tchatcho mbala sio mpya katika mapedeshee wa kikongo.jamaa ni old timer, jina lake limeanza kutajwa kitambo sana.Tajiri mpya mkuu, kama chacho mbala kashogi.
hahaha....nakumbuka alikuwa na duka mitaa ya posta jirani na round about ya azam take away.Kushoto kushuka chini kidogo kulikuwa na duka la makoba hivi huyu jamaa bado yupo maduka yake siyaoni [emoji16] maana nina mtisheti wake hapa mmoja haujawahi kunitosha hadi leo