Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Kumbe, lazima azeeke aise maana wakati anaimbwa Ni Miaka ya 2004 huko
Alikuwa naye Ni pedeshee au aliwapa msaaada gani Hawa wanamuziki Hadi aimbwe Sana?
Manka Mushi wala sio 2004 ni kitambo sana miaka ya 1997-2000 huko ndo walikua watuma Salaam wa RFA na Radio One wakati FM Radios ndo zinachipukia Bongo. Lakini pia wameimbwa sana na Kina Muumin Mwinjuma enzi za Mchinga Sound hadi African Revolution, hiyo 2004 unayosema wewe tayari walishakua wakongwe kazini na music wa dance ndo ulikua kwenye turning point na Bongo Flava ndo inaanza anza kushika hatamu
 
upo sahihi kabisa ndg yangu. mimi nilianza kulisikia jina la manka mushi 1997-1998.

kipindi hicho radio fm iliyokuwa imekamata airwaves za bongo ni radio one sterio.
 
Pedeshee [emoji3582]

PDG [emoji3581]
 
Nicky Menga Barcelone girlfriend wa zamani wa fally ipupa kipindi hicho fally sio mtu maarufu sana akijitafuta kwenye ramani ya mziki.

pic moja nzuri sana. sijui fally alighafirika nini akamuacha huyu mdada.
 

Attachments

  • 1527b879bf809fae9381a00af34dd77f.mp4
    3.2 MB
Pedeshee [emoji3582]

PDG [emoji3581]
kwa muktadha wa kiswahili kinachotumika kwenye mziki wa dansi, tunandika pedeshee.

kifaransa tunaandika 'président-directeur général' ambapo kifupi chake ndio hiyo PDG ikiwa na maana ya CEO kwa kingereza.

kwa kukusaidia zaidi, CEO kwa kiswahili ni 'Mkurugenzi Mtendaji'.
 
Reila Rashid nadhani, taarabu ilikuwa juu hata sisi wabara wagumu wa kanda ya ziwa tukaijua taarabu.
Mpinzani wa Hadija Koppa alikua anaitwa Nasma Hamis Kidogo, alifariki miaka ya 2000s. Walikua wanaenda bumper to bumper mpaka ika trend sana
 
upo sahihi kabisa ndg yangu. mimi nilianza kulisikia jina la manka mushi 1997-1998.

kipindi hicho radio fm iliyokuwa imekamata airwaves za bongo ni radio one sterio.
Leo nlikutana na papa msofe nlikuwa mitaa ya golden folk mikocheni,tukapiga stori 1,2
Wakati natoka naye akawa anatoka akaingia ndani ya kibrevis kimechokchoka,nkamzingua mbn huko humu akacheka akasema ttz yale magari makubw yanachoresha 😄

Ova
 
Yanachoresha 😅😅😅
 
🤣🤣🤣🤣
 
Kuna huyu alikua anaitwa Jack Pemba
 
mwaka 1996 kundi la wenge musica BCBG chini uongozi na usimamizi wa Werrason na JB mpiana liliachia album kali sana kwa jina pentagone.

nadhani baada ya hapo kundi lilisambaratika na kuzalisha mkundi mengine yaliyoshindana kimuziki.

ndani ya album hiyo kuna track inaitwa coco madimba.
coco madimba sio neno la kilingala bali ni jina la mtu,mdau wa muziki au tuseme sponsor mwenye fedha zake ambaye aliwalipa wanamuziki hao ili wamuimbe.

jina lake limesikika kwenye nyimbo nyingi za kundi hilo zilitoka miaka ya 90.

licha ya kwamba coco madimba ndio muhusika mkuu wa huu wimbo, ndani yake yametajwa majina ya wadau wengine wa muziki wa kikongo.

nakuwekea hapa kipande kifupu cha video ili uweze kuwafahamu.
 

Attachments

  • TikTok_7350817590849146118.mp4
    1.6 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…