Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Ilikua mama moja pisi kali ya Arusha, pepe kalee alifichwa hadi akanyoosha mikono, nadhani bado yupo alikua na mtoto mmoja wa kike aliuliwa na mume wake walikua wakiishi UK
Alishafariki mwaka juzi if I'm not mistaking,
 
Ona wanavyomba omba barabarani si mapenzi yao,si mapenzi yaoooo!!!
Aliekupa wewe ndo kawanyima wao, aliewanyima wao ndio ampekupa wewee!!,..riziki mafungu saaaba dunia duara eeeh! [emoji23]
Hatari sana mkuu, dunia kigeugeu hilooo....Jose Mara alitisha sana humo
 
Hayo mengine sawa, ila kuhusu kukosa umaarufu kwa mziki wa dansi napingana na wewe.

Mziki wa dansi ulikuja kukosa umaarufu baada ya kuvuma kwa bongo fleva kuanzia miaka ya 2010 hivi.

Kabla ya mwaka 2010 ilikuwa ni nusu kwa nusu, yaani mziki wa dansi na bongo fleva ulikuwa unachuana katika mashabiki.

Chuma kimeingia ikulu 2015 huku mziki wa dansi ukiwa hoi bin taabani.

Hilo ni suala la kawaida katika fasihi. Nafikiri tunakumbuka kuna kipindi miaka ya 2000 hivi taarabu ilikuwa juu kuliko bongo fleva, enzi za Hadija Kopa na yule mama sijui alikuwa naitwa nani mpinzani wa kopa.
Nasma hamisi
 
hapana sio kweli, tusichanganye madesa. jose kongolo na sadam hussein ni watu wawili tofauti.

Najikita kumuelezea zaidi Jose Kongolo.
Jose Kongolo ni mwanamama maarufu wa kicongo na mfanyabiashara anayemiliki mgahawa mkubwa na lounge jijini paris, pia ni mdau mkubwa wa mziki wa rhumba.

jina lake limetajwa sana na wanamuziki wa kicongo wakitamka "JOSÉ KONGOLO FBI MIBEKO LA LOI".

wengi kwa kutokujua wemekuwa wanachanganya jina lake na jina la Kongulu Mobutu "Sadam Hussein", ambaye alikuwa mtoto wa Mobutu Sese Seko.

mgahawa anaoumiliki huyu mama umekuwa ni meeting point ya wacongo wengi ndani ya ufaransa.

kwanini wanamuita FBI mibeko la loi au kwa kiswahili FBI wa Yesu?(wanaojua kikongo vizuri watasaidia kutafsiri). ni kwasababu Jose Kongolo ni born again christian au tuseme mlokole.

licha ya kwamba ni mfanyabiashara, pia ana miliki kanisa lake pale paris. kanisa hili limekuwa msaada mkubwa kwa vijana wa kicongo waliopoteza matumaini ya kimaisha ndani ya ufaransa na nchi nyingine za europe.

yeye huwapokea, huwafanyia counseling, huwapa chakula,maradhi, hawachangia michango mbalimbali ya kibinadamu na baadae huwashawishi waokoke.

baadhi ya wanamuziki wameokoka baada ya kushawishiwa na huyu mama. wengine huwa wanaendelea na career yao ya mziki huku yeye akiendelea kuwapa support.

hapo ndio umaarufu wake unapokuja na ndio maana jina lake linatajwa sana na wanamuziki wa rhumba

kuhusu Kongulu Mobutu "Sadam Hussein".
Kongulu Mobutu almaarufu sadam hussein, huyu sitaki kumuelezea kwasababu hapa JF zipo nyuzi kadhaa ambazo amezungumziwa kiundani. ni wewe tu kuzipitia ili kuongeza knowledge.

nakuwekea link hapa chini:
Mjue Saddam Hussein wa Zaire

Fahamu machache kuhusu special presidential division: Kikosi maalumu kilichomlinda Mobutu Seseseko enzi za utawala wake

katika picha huyu ndio mamaa JOSÉ KONGOLO FBI MIBEKO LA LOI.
View attachment 2280509
tisha sana mkuu,,shkamoo kila sekundee[emoji95][emoji95]
 
tisha sana mkuu,,shkamoo kila sekundee[emoji95][emoji95]
[emoji1431][emoji1431][emoji1431]
giphy.gif
 
Kino star na sinza star tumebaki wachache Mrangi asharudisha mpira kwa kipa yuko madale john baptist kajificha kihesa mjini wanakwambia kuna kelele sana bora akae anapofuga hata vikuku vya kienyeji ajilie supu. Basi wakiowaona watoto wanaojifanya kutamba na muda wanasonya wanajiuliza hawa vijana wangejua
Haha kino nna mji wa kudumu
Bado lazima ni sign huko
Kino imetulea,imetukuza,imetukomaza

Ova
 
Nimekulia Sinza ile ya akina Remi ndio wanatamba na Volkswagen imeandikwa.''mambo kwa soksi'' tulikuwa tunajua karibu vijana wote, hivi sasa Sinza imebadirika ni Sinza ya magorofa,mahoteli,vijana wote wa zamani ama wamerudisha namba kwa Sir God ama wamehamia sehemu nyingine nje ya mji,nyumba nyingi tulizokuwa tunapanga chumba kimoja kimoja zimebomolewa na kujengwa mahekalu, nakumbuka pale sinza madukani kulikuwa na mbabe wa kikurya Lucky baba yake alikuwa usalama wa Taifa,namkubuka bibi Uliye alikuwa na mabinti kama 10 hatari sana, nakumbuka akina Banza stone wakiwa wadogo wakicheza disco mtaani, nakumbuka Vatican City ikiwa hotel kumbwa Sinza na Simba walikuwa wakiweka kambi hapo, namkumbuka Fred Mwalasha akiwa ametoka Ulaya na mke wa kizungu ikawa yeye ni bangi na bangi na yeye hadi mwanamke wa kizungu akamkimbia, siku hizi sinza yamejaa madangulo na wazee wale waliokuwa na nyumba ambazo tulikuwa tumepanga nao hatunao duniani ila zile nyumba walizoacha watoto wao wameziuza kwa matajiri na kwenda kunywea pombe na kula sembe. Sinza ya sasa si ile tuliyokuwa tunaitimba, ama kweli siku hazigandi.
Hivi kabila wale wenye Vatican
Yupo haha
Sinza nna wana wengi rip salum fish
Hivi yasin sinza yupo...duh list ndefu
Zamani watoto wa kinondoni wanaweza fanya mipango na wa sinza,magomeni na ilala kidogo
Ila watoto wa tmk kdg kulikuwa na tofauti

Ova
 
Nimekulia Sinza ile ya akina Remi ndio wanatamba na Volkswagen imeandikwa.''mambo kwa soksi'' tulikuwa tunajua karibu vijana wote, hivi sasa Sinza imebadirika ni Sinza ya magorofa,mahoteli,vijana wote wa zamani ama wamerudisha namba kwa Sir God ama wamehamia sehemu nyingine nje ya mji,nyumba nyingi tulizokuwa tunapanga chumba kimoja kimoja zimebomolewa na kujengwa mahekalu, nakumbuka pale sinza madukani kulikuwa na mbabe wa kikurya Lucky baba yake alikuwa usalama wa Taifa,namkubuka bibi Uliye alikuwa na mabinti kama 10 hatari sana, nakumbuka akina Banza stone wakiwa wadogo wakicheza disco mtaani, nakumbuka Vatican City ikiwa hotel kumbwa Sinza na Simba walikuwa wakiweka kambi hapo, namkumbuka Fred Mwalasha akiwa ametoka Ulaya na mke wa kizungu ikawa yeye ni bangi na bangi na yeye hadi mwanamke wa kizungu akamkimbia, siku hizi sinza yamejaa madangulo na wazee wale waliokuwa na nyumba ambazo tulikuwa tumepanga nao hatunao duniani ila zile nyumba walizoacha watoto wao wameziuza kwa matajiri na kwenda kunywea pombe na kula sembe. Sinza ya sasa si ile tuliyokuwa tunaitimba, ama kweli siku hazigandi.
Sinza wakina ally ngoti
Naona sahv katulia Hahaha
Ila washkaj zang weng sinza
Walikuwa wezi hahah

Watoto wa sinza ukiwapelekea dili
Hawalali Hahaha

Ova
 
ninachoupendea huu uzi tangu nilipoupandisha haujawahi kupoa. kila ikifika mida ya jioni(east african time)mida ya ku relax na kupata moja moto moja baridi, uzi unaamka upya. mnanipa faraja sana wadau.

nipo zangu hapa arusha ktk bar moja maarufu nalainisha koo huku napitia comment zenu na kusikiliza rhumba kali zilizotamba miaka ya 2000-2010, honestly it's 100% a vibe.

halafu ninachojifunza ktk huu uzi, wote wanaozungumziwa walitafuta pesa kwa nguvu zao legally and illegally, hakuna uchawa. hii ichukuliewe kama lesson kwa nyinyi vijana wa generation ya instagram, tiktok na platform zingine za kijamii.

ma-senior wenzangu, mmesikia kwamba wenge bcgb ile ya Werrason na JB mpiana inarudi tena?. binafsi nawasubiri kwa hamu kubwa hawa magwiji. wapo studio kurecord nyimbo zao mpya. haya wenye mziki wao wa rhumba na seben wanarudi upya. i can't wait.
Joseph Kusaga anawazoom tu, hizo ndio fursa zake, utasikia watakuwepo kwenye Fiesta.

Hiyo ndio clouds tupa mawe mwaga nyuki.
 
Back
Top Bottom