Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

mrangi namuona hapa jamaa yako jack pemba akimtunza hela ya mboga dalali dotto magari.

nyoshi na kina patcho mwamba wakiona hivi roho inawauma sana maana hizi noti wao ndio walikuwa wanaziokota kutoka kwa mapedeshee enzi zile fm academia ya moto sana.
View attachment 2355849
Jack pemba...karudi kwa kasi naona

Ova
 
Wasanii wetu ni tofauti na wasanii wa hapo Congo, wale ni matajiri kweli na wamejenga majengo ya maana na watoto au wake zao wanaishi ulaya,
Hawa wasanii wetu hua wanaact tuu lakini hawana kitu
Wasanii wa DRC kumbe hauwafahamu, wengi ni choka mbaya na wanaishi kwa kuungaunga sana.
Ambao huwa wanakwenda Europe huwa hata huko wanaishi kwa kuungaunga sana, wakipata pesa huwa cha kwanza ni shopping za nguo na vipodozi. In short huwa hawana maisha ya kueleweka ila wapo exceptional wachache wenye mafanikio.
 
utawala wa mama huu kaka....kila mtu ashinde mechi zake.[emoji16]
Dotto magari namjua vzr sana
Ila haya maisha bana,ukisikia watu
Wanaweza badilika,inawezekana
[emoji1]
Dotto kutoka upiga debe manyanya pale na kuna kitu naweza sema humu
Lakini, hata yeye huwa namsifugi na kumwambiaga ukweli
Unajua dotto alipokuwa mpiga debe alikuwaga teja yaani anatumia madude,ila alijitahidi akatoka huko kwa juhudi zake binafsi na leo hii kama mnavyomuona
Jamaa alikuwa mhuni sana aise
Nakumbuka kuna baharia mmja alituachiaga coaster yake sisi tulikuwa tunaipigia route za posta mwananyamala ,jamaa daily tulikuwa tunazinfuana naye..

Ova
 
Hayo mengine sawa, ila kuhusu kukosa umaarufu kwa mziki wa dansi napingana na wewe.

Mziki wa dansi ulikuja kukosa umaarufu baada ya kuvuma kwa bongo fleva kuanzia miaka ya 2010 hivi.

Kabla ya mwaka 2010 ilikuwa ni nusu kwa nusu, yaani mziki wa dansi na bongo fleva ulikuwa unachuana katika mashabiki.

Chuma kimeingia ikulu 2015 huku mziki wa dansi ukiwa hoi bin taabani.

Hilo ni suala la kawaida katika fasihi. Nafikiri tunakumbuka kuna kipindi miaka ya 2000 hivi taarabu ilikuwa juu kuliko bongo fleva, enzi za Hadija Kopa na yule mama sijui alikuwa naitwa nani mpinzani wa kopa.
Nasma Hamis "Kidogo" RIP
 
Dotto magari namjua vzr sana
Ila haya maisha bana,ukisikia watu
Wanaweza badilika,inawezekana
[emoji1]
Dotto kutoka upiga debe manyanya pale na kuna kitu naweza sema humu
Lakini, hata yeye huwa namsifugi na kumwambiaga ukweli
Unajua dotto alipokuwa mpiga debe alikuwaga teja yaani anatumia madude,ila alijitahidi akatoka huko kwa juhudi zake binafsi na leo hii kama mnavyomuona
Jamaa alikuwa mhuni sana aise
Nakumbuka kuna baharia mmja alituachiaga coaster yake sisi tulikuwa tunaipigia route za posta mwananyamala ,jamaa daily tulikuwa tunazinfuana naye..

Ova
maisha yanaenda kasi sana kaka, kutoka kwenye upiga debe wa kwenye daladala, uteja na sasa dalali maarufu wa magari.

ndio maana sisi watoto wa mjini huwa hatudharau mtu. kila tunayekutananae ktk mishe zetu tunampa respect kutokana na hadhi yake, maana huwezi jua kesho na keshokutwa atakuwa nani.
 
Dotto magari namjua vzr sana
Ila haya maisha bana,ukisikia watu
Wanaweza badilika,inawezekana
[emoji1]
Dotto kutoka upiga debe manyanya pale na kuna kitu naweza sema humu
Lakini, hata yeye huwa namsifugi na kumwambiaga ukweli
Unajua dotto alipokuwa mpiga debe alikuwaga teja yaani anatumia madude,ila alijitahidi akatoka huko kwa juhudi zake binafsi na leo hii kama mnavyomuona
Jamaa alikuwa mhuni sana aise
Nakumbuka kuna baharia mmja alituachiaga coaster yake sisi tulikuwa tunaipigia route za posta mwananyamala ,jamaa daily tulikuwa tunazinfuana naye..

Ova

wee jamaa sijui ni mtu wa aina gani au ID yako ni ya chama hii???
 
maisha yanaenda kasi sana kaka, kutoka kwenye upiga debe wa kwenye daladala, uteja na sasa dalali maarufu wa magari.

ndio maana sisi watoto wa mjini huwa hatudharau mtu. kila tunayekutananae ktk mishe zetu tunampa respect kutokana na hadhi yake, maana huwezi jua kesho na keshokutwa atakuwa nani.
Na aliaacha bila kwenda methodon
Na kwengineko
Yah kudharauliana hakutakiwi
Si unamuona dotto bwana dalali maarufu sahv wa magari
Sema dotto ni muaminifu balaa
Tokea akiwa kwenye mambo yake uaminifu alikuwa nao
Ndomana hata kabla ya kumuona hunu kwenye mitandao aliaminiwa sana na wakina sawe etc

Ova
 
wee jamaa sijui ni mtu wa aina gani au ID yako ni ya chama hii???
hahaha.....kwanini unadhani ID ya mrangi ni ya chama?....chama cha mapinduzi?.....au chama mchezaji wa simba kwa maana ya cleotus chama mwamba wa lusaka? .
 
Na aliaacha bila kwenda methodon
Na kwengineko
Yah kudharauliana hakutakiwi
Si unamuona dotto bwana dalali maarufu sahv wa magari
Sema dotto ni muaminifu balaa
Tokea akiwa kwenye mambo yake uaminifu alikuwa nao
Ndomana hata kabla ya kumuona hunu kwenye mitandao aliaminiwa sana na wakina sawe etc

Ova

mimi simfahamu vizuri dotto ila ni shabiki yake mkubwa sana kule instagram na tiktok....yaani huwa najikuta tu nacheka kila ninapotazama video zake.

jamaa ana maneno kama kameza radio. anakwambia tajiri yoyote mchoyo akabidhiwe yeye. atamchekesha, atamsifia,na mwisho wa siku tajiri atatoa hela[emoji16][emoji16][emoji16].
IMG_20220914_173301.jpg
 
Enzi hizo concert za wanafunzi zinafanyika Diamond jubilee,..... wakati wa fashion show kajala alipanda stejini alipofika katikati ya steji akavua khanga aliyojifunga kiunoni akabaki mtupu..[emoji17]..[emoji17].... ukumbi wote ulizizima.....

Naona safari yake ya kuvua nguo stejini ndio ilianziaga hapo.....ikawa kila concert lazima awepo na lazima avue nguo[emoji26]
Hahahahah nimecheka kweli

Kumbe watu wamefyatuka zamani sana

Saivi wanamalizia malizia tu[emoji1787]
 
nahisi kwa sasa atakuwa anacheza near 50...ameshakuwa kibibi aka juve.


ila mimi watoto wa mzee mengi(ukiondoa marehemu mutie), huwa siwaelewi.

yule kakaake regina jamaa wa kuitwa abdiel nahisi na yeye ni walewale wa upande wa rainbow(sijui kwanini namuwazia hivi,Mungu atanisamehe).

kinachowasadia ni wasiri sana wa mambo yao, hawajichanganyi kwenye mikusanyiko mikubwa ya starehe, halafu hawatumii social media.
Jamaa hapo kwenye usiri wa mambo yao na social media wamewaweza wa Tz

Sio kwamba hawatumii wanatumia ila kwa majina feki

Hata humu usikute wanawasoma.

Kuna watu huwa hawashobokei hizi mambo za kujipost post.

Mi mwenyewe last time kupost picha yangu online ilikuwa 2013 huko since then huwa sipost sura yangu online Wala mishe zangu.

I live ghostly in social media.[emoji1787]
 
Keny nyembera enzi hizo tulikuwa tunapiga naye sana tizi alikuwa na mwili jumba,sema jamaa madawa yalimuaribu sana hapo badaye(am sorry to say this)
Alafu keny alikuwa anatoka na dada mmja enzi hizo alikuwa mke wa mzungu mmja aliyekuwa na biashara kubwa tu bongo,alikuwa kama dada yetu wa mjini(smbdy A.mbonde)
Dem alikuwa akivuta mpunga kwa mme wake anaenda jirusha na k.nyembe kula bata sana
Enzi hizo dem anapush Nissan patrol
Wale wajinga walikuwa maisha sana
Mm mwenyewe nlikula sana hela za yule dada si unajua mambo ya kujiongeza
Ona sasa wanawake walivyokuwa fyatu, dem alipokolea sana kwa k.nyembe si akawa anataka talaka
Akajikanyaga alipoomba talaka kwa mme mzungu yule eti aliomba hela tu nahsi ilikuwa mln 80....yule mzungu faster aka file papers nk ili process ifanyike ,akampatia hela wakaachana
Maaana yule mme wake alijua labda mke atataka mgawanyo wa Mali
Ebwana walipoioata hela wacha wait umbue na k.nyembe
Maana wote walikuwa wanatumia ile kitu...mwisho wa siku waliishi maisha ya kusikitisha sana
Kimbembe sasa tuliyokula hela zake si mizinga tukikutana usipo mpa lawama [emoji1]

Ova
Machawa mkawa mnajuta kuhemea Hela za watu.
 
Jamaa hapo kwenye usiri wa mambo yao na social media wamewaweza wa Tz

Sio kwamba hawatumii wanatumia ila kwa majina feki

Hata humu usikute wanawasoma.

Kuna watu huwa hawashobokei hizi mambo za kujipost post.

Mi mwenyewe last time kupost picha yangu online ilikuwa 2013 huko since then huwa sipost sura yangu online Wala mishe zangu.

I live ghostly in social media.[emoji1787]
ni uamuzi sahihi.
 
huyo Demu hakuwahi kumiliki hata daladala 1
zote zilikuwa za bwana wake alikuwa anaitwa MAISHA ni KIJANA mdogo alimzidi umri na hata MASHUJAA haikuwa BAND yake ni ya huyo JAMAA
sema alikuwa anapaishwa tu MAGARI yale kupigwa machata ya MAMAA SAKINA na kutajwa sana na TWANGWA PEPETA
huyu MAMAA SAKINA mzaramo NYUMBA yao BARADHANI ndio ilikuwa maskani ya CAMP ya VINGUNGUTI TIMBALAND wazee waniambieeeee edhi hizo wakipiga simu Kwenye kipindi cha AFRCA BAMBATAA edhi ya AMINA CHIFUPA

alimloga huyo jamaa akawa hasemi chochote kwa huyo mama
ni noma
Timberland Vingunguti.... kwa wanangu.... Afande Kajanja Kawanisa..... Tajiri wa Mbuzi wa kuitwa Samora - RIP...
 
mimi simfahamu vizuri dotto ila ni shabiki yake mkubwa sana kule instagram na tiktok....yaani huwa najikuta tu nacheka kila ninapotazama video zake.

jamaa ana maneno kama kameza radio. anakwambia tajiri yoyote mchoyo akabidhiwe yeye. atamchekesha, atamsifia,na mwisho wa siku tajiri atatoa hela[emoji16][emoji16][emoji16].View attachment 2356820View attachment 2356821
Heeeh,ni Dotto huyu Mpiga debe wa Mwananyamala Manyanya ninaemfahamu mimi au mwingine[emoji134]hakika maisha yanabadilika,nilikimbizana nae sana huyu vichochoro vya Mwananyamala enzi hizo nikiwa M-mwela ili nimkamate na Bangi au Madawa,nilikuwa nikiwakamata wananiachia ganji yangu nawaachia wasepe[emoji1787]hongera kwake kwa kubadilika
 
Back
Top Bottom