Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
MbDogg alitisha sana kwny zama zake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani,Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk
Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.
Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.
Staa yupi unamkumbuka zaidi?
B… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.Nadhani,
1. Banza Stone
2. Muumin Mwinjuma
3. Mike T
4. Mr Paul
5. Mad Ice
6. Bwana Misosi
7. Kali P
8. Nora (Nuru Nasoro)
9. Nina
10. Sinta
Ova
Alikuwa ni mtu na nusu. Na alikuwa mkali wa kuupanga muziki.B… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.
Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
Hashim Lundenga🤣🤣Mwenyekiti wa Kamati ya Miss TanzaniaAlfred Tibaigana
Mwisho Mwampamba
Marehemu Mohamed Funga Funga (Jengua)
Rashidi Matumla
Rah P
Benson Bana
Hashim Lundenga
Alikuwa na jina kubwa sanaSaida karoli
Alifanya mageuzi makubwa sana katika muziki wa dansi mwanzoni mwa miaka ya 2000! Apumzike kwa amaniB… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.
Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
Robert Hega Katapela, Amigolas, Abuu Semhando, Adolf Mbinga, Thabit Mtoto wa Ilala, Lilian Internet,muumini mwinjuma,badi bakule,amina ngaluma (Japanese ),msafiri diouf,khadija mnoga (kimotel),aisha madinda,waziri sonyo,nasma kidogo,khadija kopa,Omar kopa, chai jaba,mamaa dotnata,tx moshi William, mzee small,bi chau,bi hindu,nora,sinta,dr cheni,kipembe,nyama yao,kibakuli
Marlow Bembeleza, Busu la pinky, Mb dogi, Jide, professor Jay. Nlikua nikikaa mwenyew naimba kama msanii kweli.Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk
Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.
Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.
Staa yupi unamkumbuka zaidi?
wewe na Kizibo lenu mojaLeo ndio nimejua TAKEU ilimaanisha hivo...🤦🤦
Mzee wa block41 [emoji1]Kamanda wa kikosi, KalaPina
Alienda kwao alikuwa anajihusisha na ufugaji, generally enzi za TZR ilikuwa balaaAlfred Gewe....alikuwa kamanda/kamishna wa polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni nadhani.
Huwa namkubali sana huyu baba toka nasoma mpaka napata akili za ukubwani
Sijui baada ya kustaafu yu wapi kwa sasa.
Alinishawishi nipende kujiunga na kazi ya uaskari, ila ndio hivo sikubahatika kwenda mafunzoni.
Alikuwa role model wangu kutoka moyoni kabisa.
daaah yan upo kama mimi huyo mwamba hakuwahi kuwa na kaz mbaya nymbo zake zote n kali sn....huyo mwamba ndiye aliinua twanga pepeta hao akna ally choki walikuta twanga tyr ipo juu wakaptia humo, jamaa alikuwa na kpaji sn BANZA STONE.B… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.
Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
Madawa tu yalimpotezaB… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.
Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
Longtime sana tulikuwa tunaendaga kuangalia sinema kwa sheh yahayaHuu uzi ni waki-TBT kama ulivyokuja jana.
Wengine:
David Mwaibula
Marehemu Sheikh Yahya Hussein
Zakary Kakobe
Merey Balhabou
Frank Mtao
David Mwaibula daah nimekumbuka mbaliHuu uzi ni waki-TBT kama ulivyokuja jana.
Wengine:
David Mwaibula
Marehemu Sheikh Yahya Hussein
Zakary Kakobe
Merey Balhabou
Frank Mtao