Tuwakumbuke mastaa waliovuma Bongo miaka ya 2000 mpaka 2010

Tuwakumbuke mastaa waliovuma Bongo miaka ya 2000 mpaka 2010

Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk

Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.

Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.

Staa yupi unamkumbuka zaidi?
Nadhani,
1. Banza Stone
2. Muumin Mwinjuma
3. Mike T
4. Mr Paul
5. Mad Ice
6. Bwana Misosi
7. Kali P
8. Nora (Nuru Nasoro)
9. Nina
10. Sinta

Ova
 
Nadhani,
1. Banza Stone
2. Muumin Mwinjuma
3. Mike T
4. Mr Paul
5. Mad Ice
6. Bwana Misosi
7. Kali P
8. Nora (Nuru Nasoro)
9. Nina
10. Sinta

Ova
B… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.

Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
 
B… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.

Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
Alikuwa ni mtu na nusu. Na alikuwa mkali wa kuupanga muziki.

Ova
 
B… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.

Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
Alifanya mageuzi makubwa sana katika muziki wa dansi mwanzoni mwa miaka ya 2000! Apumzike kwa amani
 
muumini mwinjuma,badi bakule,amina ngaluma (Japanese ),msafiri diouf,khadija mnoga (kimotel),aisha madinda,waziri sonyo,nasma kidogo,khadija kopa,Omar kopa, chai jaba,mamaa dotnata,tx moshi William, mzee small,bi chau,bi hindu,nora,sinta,dr cheni,kipembe,nyama yao,kibakuli
Robert Hega Katapela, Amigolas, Abuu Semhando, Adolf Mbinga, Thabit Mtoto wa Ilala, Lilian Internet,
 
Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk

Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.

Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.

Staa yupi unamkumbuka zaidi?
Marlow Bembeleza, Busu la pinky, Mb dogi, Jide, professor Jay. Nlikua nikikaa mwenyew naimba kama msanii kweli.
 
Alfred Gewe....alikuwa kamanda/kamishna wa polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni nadhani.
Huwa namkubali sana huyu baba toka nasoma mpaka napata akili za ukubwani

Sijui baada ya kustaafu yu wapi kwa sasa.
Alinishawishi nipende kujiunga na kazi ya uaskari, ila ndio hivo sikubahatika kwenda mafunzoni.
Alikuwa role model wangu kutoka moyoni kabisa.
Alienda kwao alikuwa anajihusisha na ufugaji, generally enzi za TZR ilikuwa balaa

Ova
 
B… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.

Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
daaah yan upo kama mimi huyo mwamba hakuwahi kuwa na kaz mbaya nymbo zake zote n kali sn....huyo mwamba ndiye aliinua twanga pepeta hao akna ally choki walikuta twanga tyr ipo juu wakaptia humo, jamaa alikuwa na kpaji sn BANZA STONE.
 
B… hivi unajua huyo namba 1 wako hapo ndio mwanamuziki wangu bora wa dansi wa muda wote? Alijaaliwa kipaji kikubwa sana cha utunzi na uimbaji.
Siku aliyofariki nililia mno, mara nyingi namuombea apumzike kwa amani.

Wimbo wake bora zaidi kwangu ni elimu ya mjinga, ukifuatiwa na mtaji wa masikini.
R.I.P Banza
Madawa tu yalimpoteza

Alikuwaga na yule smbdy diouf

Naye madawa yalimpeleka sema alifanya vyema kukimbia nchini to ulaya

Ova
 
Huu uzi ni waki-TBT kama ulivyokuja jana.

Wengine:

David Mwaibula

Marehemu Sheikh Yahya Hussein

Zakary Kakobe

Merey Balhabou

Frank Mtao
Longtime sana tulikuwa tunaendaga kuangalia sinema kwa sheh yahaya
Pale nyumbani kwake mkwajuni
Nakumbuka ndani alikuwana matv makubwa sana ya chogo

Ova
 
Back
Top Bottom