Ndio mkuuHivi huyu ndy alikuwa mtaalam wa moyo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuuHivi huyu ndy alikuwa mtaalam wa moyo
Ova
Mzee wa chemsha bongoz mzee wa kipusa 🔔🔔🔔🔔🔔Misanya Dismas Bingi
Apumzike kwa amaniMzee wa chemsha bongoz mzee wa kipusa 🔔🔔🔔🔔🔔
Abdallah Majura jina kubwa sana enzi hizoDr Liky Abdallah
Marehemu Dj Steve B
Iddi Kipingu
Abdallah Majura (mzee wa chemsha bongo)
Steven Mashishanga
Kelvin Twissa
a1. Bishanga bashaija
2.Max( na zembwela)
3.K. basil
4.Juma Kaseja
4.Chief Kumbe
5.Waridi(mambo hayo)
6.John Kaduma(Tabasamu)
7.Erick Shigongo(president loves my wife)
8.Atakalo Siko(katuni za ustake ncheke, kasheshe)
9.TID(zeze, siku kama hizi, malaika)
10.Christopher Mtikila na Mchungaji Kakobe na Moses Kulola
Nikiwa form 1 / 2, nilikua na daftari langu shulen nimelijaradia kwa transparent cover halaf huko ndani ya cover nimejaza picha za GK tu na east coast.
Kwa nje lilikua ni kama gallery ya east coast.
Hili jukwaa bado lipo kweli? CC: Evelyn Salttwende jukwaa la wakubwa☺️☺️☺️
Sauti ya MankaNikiwa form 1 / 2, nilikua na daftari langu shulen nimelijaradia kwa transparent cover halaf huko ndani ya cover nimejaza picha za GK tu na east coast.
Kwa nje lilikua ni kama gallery ya east coast.
RPC wa Dar ...yupo segerea ...njia panda kwenda gerezani pale kushoto koote kwake pale...atakuwepo mitaa ile na arusha umri umesonga.....historia yake polisi wachache kuanzia private to RPC....sawa na Yule Tyson wa Moro alikuwaga IGP.....ngunguliii.....nae alisota sanaaa...MahitaAlfred Gewe....alikuwa kamanda/kamishna wa polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni nadhani.
Huwa namkubali sana huyu baba toka nasoma mpaka napata akili za ukubwani
Sijui baada ya kustaafu yu wapi kwa sasa.
Alinishawishi nipende kujiunga na kazi ya uaskari, ila ndio hivo sikubahatika kwenda mafunzoni.
Alikuwa role model wangu kutoka moyoni kabisa.
Asante sana mkuu.RPC wa Dar ...yupo segerea ...njia panda kwenda gerezani pale kushoto koote kwake pale...atakuwepo mitaa ile na arusha umri umesonga.....historia yake polisi wachache kuanzia private to RPC....sawa na Yule Tyson wa Moro alikuwaga IGP.....ngunguliii.....nae alisota sanaaa...Mahita
Subira yangu ndo iliyoniponzaBanana zoro
Lipo, nikuadd?Hili jukwaa bado lipo kweli? CC: Evelyn Salt