Ni add udugu.Lipo, nikuadd?
Huyu jamaa ni kweli rufaa yake alijetetea mwnyw mahakamani bila mwanasheria?Kasusura...Alipiga Bii Mbili.
mzee mwenzangu na mimi niadd ...Lipo, nikuadd?
Mara ya mwisho nlimuona tabata....yupo anakula mafaoAlfred Gewe....alikuwa kamanda/kamishna wa polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni nadhani.
Huwa namkubali sana huyu baba toka nasoma mpaka napata akili za ukubwani
Sijui baada ya kustaafu yu wapi kwa sasa.
Alinishawishi nipende kujiunga na kazi ya uaskari, ila ndio hivo sikubahatika kwenda mafunzoni.
Alikuwa role model wangu kutoka moyoni kabisa.
Namkubali san huyu jamaaMara ya mwisho nlimuona tabata....yupo anakula mafao
Siku ukihitaji kuonana nae unambie nikuunganishe nae 😁😁amezeeka sana hata hana kumbu kumbu anashinda tu na wajukuuNamkubali san huyu jamaa
Nadhani,
1. Banza Stone
2. Muumin Mwinjuma
3. Mike T
4. Mr Paul
5. Mad Ice
6. Bwana Misosi
7. Kali P
8. Nora (Nuru Nasoro)
9. Nina
10. Sinta
Ova
Sawa mkuu.Siku ukihitaji kuonana nae unambie nikuunganishe nae 😁😁amezeeka sana hata hana kumbu kumbu anashinda tu na wajukuu
Haina shidaSawa mkuu.
Nahitaji connection mahali....