Ni John Walker, mkoloni yupo na Dr. John yupoYULE anaimba kama mlevi, wa Tanga.
John Mkoloni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni John Walker, mkoloni yupo na Dr. John yupoYULE anaimba kama mlevi, wa Tanga.
John Mkoloni.
D rob kafa kitambo sana, aliye hai ni D knobYupo hai.
Mwana wa kombaCAZ T yupo hai, na yuko vizuri kiuchumi
😅😅😅Duh yaani GK awe amedanja usifahamu?
Niliwahi kumkuta pale kwa WMAlikuwa usalama wa taifa ofisi ya waziri mkuu pale ikulu ya magogoni.
Nimesema D Rob ambaye amefariki 2001 na GK akamuimbia kumuenzi akimshirikisha TIDYupo hai.