Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Alikufa yule jamaa?🤔Nakwitaji mpenzi wangu nakwitaji...
Isaga we nguwule.. nangwisaa isaga we nguwule ... Nangwisa
Njoo kwangu unachotaka ntakupaa utanipaaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikufa yule jamaa?🤔Nakwitaji mpenzi wangu nakwitaji...
Isaga we nguwule.. nangwisaa isaga we nguwule ... Nangwisa
Njoo kwangu unachotaka ntakupaa utanipaaa...
Alikufa yule jamaa?🤔
Aisee!Sijajua.Nasikia na pisi yake ilikufa sijui kweli??
Huyu alijimalizaMangwea...
Kimya kimyaHuyu alijimaliza
Langa.....
Mack d
Mez b
Amechanganya madesa, alitaka kumaanisha Mack 2b (Mack Malick Simba)Mack d kafariki lini??
SI ndio by show, au ile na duly sugar mamy,
Duh yaani GK awe amedanja usifahamu?Hivi yule kiongozi wa EAST COAST TEAM yupo kweli au ameshatutoka?
Nakumbuka moja ya hits zake SAUTI YA MANKA naikubali hadi leo
CAZ T yupo hai, na yuko vizuri kiuchumiNakwitaji mpenzi wangu nakwitaji...
Isaga we nguwule.. nangwisaa isaga we nguwule ... Nangwisa
Njoo kwangu unachotaka ntakupaa utanipaaa...
Hivi hawa waliishiaga wapi?Nakwitaji mpenzi wangu nakwitaji...
Isaga we nguwule.. nangwisaa isaga we nguwule ... Nangwisa
Njoo kwangu unachotaka ntakupaa utanipaaa...
Mwamba alishakata moto! Sikuwahi kujuaFresh jumbe
Yupo hai.D-Rob
Alikuwa usalama wa taifa ofisi ya waziri mkuu pale ikulu ya magogoni.ALikuwa ASIYEJULIKANA akafa kiajabu sana
Duh mack d kitambo sanaLanga.....
Mack d
Mez b