Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Juzi. Mtu yupo seriaz anasema kafaHaya maisha ukikosa hela unazushiwa hadi kifo 😂😂😂 ana hadi account YouTube huko anaimba imba apate chochote kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi. Mtu yupo seriaz anasema kafaHaya maisha ukikosa hela unazushiwa hadi kifo 😂😂😂 ana hadi account YouTube huko anaimba imba apate chochote kitu
Jack Simela
Yupo mkuu , anapiga piga show za mtaa kwa mtaa huko nyumbani kwao ana EP inaitwa shujaa 😂Juzi. Mtu yupo seriaz anasema kafa
Mkuu huyo alikuwa anaitwa Adili kumbuka ameshatangulia mbele ya haki kitambo Sana ndio mmoja katika waasisi wa Bongo flavor yeye alikuwa mwana Hip-hop (kufokafoka) brother ilala magorofani alipata ajali ya gari miaka ya 90's.Kuna jamaa anaitwa Nigga One.
Sijawahi kumuona ila nasikia sana.
Acha kuchulia watu,Fresh Jumbe kafa lini!Fresh jumbe
CHOKO laaOmar kopa
Mtoto wa Dandu.Wiki iliyoisha kulikuwa na kifo cha DJ Steve B ambaye alikuwa na jina kubwa sana katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (bongo fleva) mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Leo nimeona tuwakumbuke wanamuziki wa bongo fleva ambao wamefariki. Hii itasaidia pia kujua baadhi ya wana muziki wa bongo fleva ambao hatupo nao tena.
Tuanze kutiririka sasa…
Mzee wa kazi ya dukaniOmari omari
Kila nikiona X PLASTAZ naikumbuka Ngoma USHANTA .. dah..."Nini dhambi kwa mwenye dhiki"?
Rest peace Faza Nelly (Xplastaz).
-Kaveli-
punga bwabwa apumzike kwa amaniCHOKO laa
Steve 2KKuna mmoja alikuwa maarufu Sana na ule msemo ..'ebana ndio"..
Ajabu nimemsahau jina
Kazi ya dukani aliimba dogo mfaume! Omari omari aliimba ile kupata ni majaliwa(ndevu amekosa ng’ombe lakini mbuzi kapewa)Mzee wa kazi ya dukani
Acha kuchulia watu,Fresh Jumbe kafa lini!
Langa.....
Mack d
Mez b
Wiki iliyoisha kulikuwa na kifo cha DJ Steve B ambaye alikuwa na jina kubwa sana katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (bongo fleva) mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Leo nimeona tuwakumbuke wanamuziki wa bongo fleva ambao wamefariki. Hii itasaidia pia kujua baadhi ya wana muziki wa bongo fleva ambao hatupo nao tena.
Tuanze kutiririka sasa…
Duuh..kumbe yule mshkaji pia alishavutaKuna jamaa aliwahi kuimba na akina berry black na Shirko wimbo wa NAJUA jamaa alikua anajua sana hasa kwenye ile verse yake
Kwanza mpenzi wangu natafuta[emoji445]
Najua nini unataka[emoji445]
Kwanza mpenzi wangu natafuta[emoji445]
Najaribu kutafuta pesaa[emoji445]
………
RIP (NI)[emoji120]