Tuwakumbuke wanamuziki wa Bongo Fleva waliotangulia mbele ya haki

Tuwakumbuke wanamuziki wa Bongo Fleva waliotangulia mbele ya haki

Fid q
"natamani steve 2k angekuwepo
ye ndo mchizi wangu kama pingu na deso"

Kwa mujibu wa fid, steve 2k ndio aliyemtambulisha kwa castro ponela ambae ndio alifanya ngoma ya fid.com
Nadhani sote tunajua ponela huyo huyo ndiyo alimuua steve 2k.
Hivi huyo casto yupo wapi, maana kifo cha Steve 2k kiliskitisha saana, enzi hizo magazeti ya uwazi yaandika hii story ilikuwa hatari .
 
Steve 2K katoka Tanga mara ya kwanza mimi ndiye nilimpeleka Studio Dar.

Nikawaunganisha kwenye promotion Radio One. Amina Chifupa akawazimia sana na mwenzake Eddie. Wakatoka.

Jamaa ni comedian muda wote ukiwa naye, unaweza kuwa serious yeye anakupa kituko unacheka mwenyewe.

Aliondoka mapema sana kwa kifo cha kinyama.
Unaweza kutusimulia kwa undani tukio la kifo chake ? Since unamjua basi ikiwezekana tusimulie mwanzo mpaka mwisho hiyo siku kilitokea Nini,tunaishia kusikia tu alichomwa kisu
 
Unaweza kutusimulia kwa undani tukio la kifo chake ? Since unamjua basi ikiwezekana tusimulie mwanzo mpaka mwisho hiyo siku kilitokea Nini,tunaishia kusikia tu alichomwa kisu
Mkuu,

Kusema ukweli kufikia muda Steve anafariki mimi nilikuwa nishakuja huku Marekani kitambo, hivyo habari nyingi nilizisoma mitandaoni kama watu wengine wengi tu.
 
Hivi huyo casto yupo wapi, maana kifo cha Steve 2k kiliskitisha saana, enzi hizo magazeti ya uwazi yaandika hii story ilikuwa hatari .
Last time kuandikwa alikuwa Songea huko baada ya kuachiwa kwa msamaha wa Rais
 
Hivi huyo casto yupo wapi, maana kifo cha Steve 2k kiliskitisha saana, enzi hizo magazeti ya uwazi yaandika hii story ilikuwa hatari .
Castro ponela kaishatoka kitambo, alipo sijui
 
Kuna jamaa aliwahi kuimba na akina berry black na Shirko wimbo wa NAJUA jamaa alikua anajua sana hasa kwenye ile verse yake

Kwanza mpenzi wangu natafuta[emoji445]
Najua nini unataka[emoji445]
Kwanza mpenzi wangu natafuta[emoji445]
Najaribu kutafuta pesaa[emoji445]
………

RIP (NI)

Huyu Jama nae alishavuta kumbe.
 
Kwa heshima kabisa namkumbuka Mzee wangu alinipambania sana na elimu
1. Patcho Latino huyu bro alikuwa anatengeneza beat aisee
2. Godzilla aka 50 cent wa bongo
3. Fredwaa huyu mwamba alikuwa na vibe sana asubuh
4. Kanumba level za Hollywood
5. Kuna Mzee alikuwa muigizaji na shabiki wa yanga naye alikuwa talented sana
6. Radio wa Uganda bro alikuwa bonge la singer
7. Isaac Gamba wa DW
 
Back
Top Bottom