nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Weka picha wengine hatumfahamuWiki iliyoisha kulikuwa na kifo cha DJ Steve B ambaye alikuwa na jina kubwa sana katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (bongo fleva) mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Leo nimeona tuwakumbuke wanamuziki wa bongo fleva ambao wamefariki. Hii itasaidia pia kujua baadhi ya wana muziki wa bongo fleva ambao hatupo nao tena.
Tuanze kutiririka sasa…