dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... wewe ndio umewaza kingono; mimi wala siko huko.Una akili ya kipuuzi kama kila upendo ni wa kingono kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... wewe ndio umewaza kingono; mimi wala siko huko.Una akili ya kipuuzi kama kila upendo ni wa kingono kwako
Sana,sikuwahi kusikia ana kiki za kijinga piaSame here....jamaa alikua na swag za mbele ...muziki wakr uukute club hilo bang lake sasa...dah...au uwe na radio inayochuja mziki...those years
Sijataja wote umenikumbusha na mzee waziri wa bendi ile ya kilimanjaro (njenje)Ngwea, Langa na Sharo wote hao tunaweza kusema ni vifo vya kujitakia. Hao wawili ni ngada na Sharo kuendesha gari huku ukiwa umelewa ni a suicide move.
Pamoja na yote wapumzike kwa amani.
Hivi kina TX Moshi hawahusiki kwenye orodha? Goma lake la wanaume tumeumbwa mateso hua linanipa filingi sana.
... hukumtunuku Manzese?
... wewe ndio umewaza kingono; mimi wala siko huko.
Sikuhawi kufahamu kuhu hiliHapana nyumbani tena chumbani kwake Temeke huko.... a;ikutwa kajichinja yaani kajikata koromeo.....
Mara kadha nilizowahi kwenda jumba jeupe nilikuwa namkuta maeneo fulani kule ndani... Nilikuwa najiuliza sana kuhusiana na muziki wake na aina ya Kazi anayoifanya....
Kukazuka hearsay kuwa alikuwa haendi sawa na baba take hivyo alikuwa na furstrations....
Nchi his ina mizuka kinoma
Mleta uzi anamaanisha,uwataje wanamuziki ambao walishaaga dunia.Umenikumbusha mada moja hivi ilikua inaitwa 'COMPREHENSION',yaani mwanafunzi unakuta amesoma kabisa 'passage' na yuko nayo,ila akipewa maswali,aisee,anajibu hadi unamshangaa.diamond platinumz
John Walker-yalaa [emoji114][emoji114][emoji114]John Walker.
-Kaveli-
Ungechanganya na wasanii wa filamuWiki iliyoisha kulikuwa na kifo cha DJ Steve B ambaye alikuwa na jina kubwa sana katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (bongo fleva) mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Leo nimeona tuwakumbuke wanamuziki wa bongo fleva ambao wamefariki. Hii itasaidia pia kujua baadhi ya wana muziki wa bongo fleva ambao hatupo nao tena.
Tuanze kutiririka sasa…
Mwamba alichomwa bisu huyu dah RIPOne for Steve 2K.
RIP.
Steve 2k 🕊Kuna mmoja alikuwa maarufu Sana na ule msemo ..'ebana ndio"..
Ajabu nimemsahau jina
Huyu alijiua kwa kumeza chupa kama kumbukumbu zangu ziko vizuriALikuwa ASIYEJULIKANA akafa kiajabu sana
Duh 🔥🔥🔥🔥Nigga one sio D rob.....
Alikufa na moto.....
Ila alikua anachana sana kosa ni baba ake alipoenda kumtibu tanga..alipopona akaanza kuwala kama kabalehe mara ya pili...
Yap nakumbuka sabb iliyopelekea kufanya hivyo ni gonjwa kubwa doohAlijiua kwa kujichoma kisu ...nafkiri ilikua baharini hv au pwani pwani