Tuwakumbuke wanamuziki wa Bongo Fleva waliotangulia mbele ya haki

Tuwakumbuke wanamuziki wa Bongo Fleva waliotangulia mbele ya haki

Ngwea, Langa na Sharo wote hao tunaweza kusema ni vifo vya kujitakia. Hao wawili ni ngada na Sharo kuendesha gari huku ukiwa umelewa ni a suicide move.

Pamoja na yote wapumzike kwa amani.

Hivi kina TX Moshi hawahusiki kwenye orodha? Goma lake la wanaume tumeumbwa mateso hua linanipa filingi sana.
Sijataja wote umenikumbusha na mzee waziri wa bendi ile ya kilimanjaro (njenje)
 
Hapana nyumbani tena chumbani kwake Temeke huko.... a;ikutwa kajichinja yaani kajikata koromeo.....

Mara kadha nilizowahi kwenda jumba jeupe nilikuwa namkuta maeneo fulani kule ndani... Nilikuwa najiuliza sana kuhusiana na muziki wake na aina ya Kazi anayoifanya....

Kukazuka hearsay kuwa alikuwa haendi sawa na baba take hivyo alikuwa na furstrations....

Nchi his ina mizuka kinoma
Sikuhawi kufahamu kuhu hili
 
diamond platinumz
Mleta uzi anamaanisha,uwataje wanamuziki ambao walishaaga dunia.Umenikumbusha mada moja hivi ilikua inaitwa 'COMPREHENSION',yaani mwanafunzi unakuta amesoma kabisa 'passage' na yuko nayo,ila akipewa maswali,aisee,anajibu hadi unamshangaa.
Siku za mbeleni ndiyo nikajakujua kuna kipengele cha IQ,kwenye psychology.
Hata hivyo safi kwa kujibu,tunasema JIBU ZURI ila siyo kwa MADA hii.
 
Wiki iliyoisha kulikuwa na kifo cha DJ Steve B ambaye alikuwa na jina kubwa sana katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (bongo fleva) mwanzoni mwa miaka ya 2000.

Leo nimeona tuwakumbuke wanamuziki wa bongo fleva ambao wamefariki. Hii itasaidia pia kujua baadhi ya wana muziki wa bongo fleva ambao hatupo nao tena.

Tuanze kutiririka sasa…
Ungechanganya na wasanii wa filamu
 
Back
Top Bottom