Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Dah,Mwamba alichomwa bisu huyu dah RIP
Wiki hii nimekumbushwa Steve wawili wanangu.
Steve 2K na Steve B.
RIP.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,Mwamba alichomwa bisu huyu dah RIP
Fid qOne for Steve 2K.
RIP.
Huwa namkumbuka Faza Nelly kila nikiwasha Mneli
Duuuh! litokea ugomvi au?Fid q
"natamani steve 2k angekuwepo
ye ndo mchizi wangu kama pingu na deso"
Kwa mujibu wa fid, steve 2k ndio aliyemtambulisha kwa castro ponela ambae ndio alifanya ngoma ya fid.com
Nadhani sote tunajua ponela huyo huyo ndiyo alimuua steve 2k.
Kuna mdau kasema ni ugomvi yeye na mzee wake,hivyo John Mjema,akajimaliza.Yap nakumbuka sabb iliyopelekea kufanya hivyo ni gonjwa kubwa dooh
Steve 2 kKuna mmoja alikuwa maarufu Sana na ule msemo ..'ebana ndio"..
Ajabu nimemsahau jina
Inawezekana ila nakumbuka baadhi ya taarifa ni kuwa ilikuwa ni stress za gonjwa kubwa zikamfanya ajiondoeKuna mdau kasema ni ugomvi yeye na mzee wake,hivyo John Mjema,akajimaliza.
Yeah.. waligombana.Duuuh! litokea ugomvi au?
Kuna mmoja alikuwa maarufu Sana na ule msemo ..'ebana ndio"..
Ajabu nimemsahau jina
Mbali ya muziki, katika maisha yake Mjema alishawahi kuwa mtumishi wa serikali katika Ofisi ya Waziri Mkuu. Juhudi za kumtafuta Kamanda wa Mkoa wa Temeke, Emmanuel Kandihabi, hazikuzaa matunda.