Waje tuijenge CHADEMA ya LissuNdugu zetu Diaspora kimewaka tayari. Mzee hataki utani anawapakia kwenye madege ya jeshi na kuwarejesha makwao. Waziri Mambo ya nje TZ hawezi kuongea na viongozi wenzake huko? Nyani Ngabu
Sio diaspora wote wanarudishwa, wale wenye proper documentation halito wahusu. Na wale ambao legaly walisha badili uraiaNdugu zetu Diaspora kimewaka tayari. Mzee hataki utani anawapakia kwenye madege ya jeshi na kuwarejesha makwao. Waziri Mambo ya nje TZ hawezi kuongea na viongozi wenzake huko? Nyani Ngabu
Huoni mtoa mada kasema undocumented?Sio diaspora wote wanarudishwa, wale wenye proper documentation halito wahusu. Na wale ambao legaly walisha badili uraia
Hii ni African people in the diaspora.Hii sio black people back to Afrika
Mi nimeishi kote huko wawarudishe tu ni ujinga kwenda kuzamiaNdugu zetu Diaspora kimewaka tayari. Mzee hataki utani anawapakia kwenye madege ya kukodi na kuwarejesha makwao. Waziri Mambo ya nje TZ hawezi kuongea na viongozi wenzake huko? Nyani Ngabu
Eeh! Subiri Mitusi toka ughaibuniMi nimeishi kote huko wawarudishe tu ni ujinga kwenda kuzamia
HatariiEeh! Subiri Mitusi toka ughaibuni
OkayATC waende kubeba illegal migrants waje kulima Rufiji