Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ATC wakawachukueDaaass Aftica Kenya Nigeria Ghana Ibory Coast wako weeengiiiiii
Wabongo sio wengi hivyo......visa ni ngumu sana wengi wako halali....shughuli Mexicans hukoooATC wakawachukue
Afrika tatizo ni viongozi hawana muda kwenye masala seriousWakati wao sahv wanamininika africa kujiokotea mali tu sahvi
Africa sijui lini na sisi akili zetu zitakaa sawa na sisi tuwakazie
Ova
Tungekuwa na viongozi imara tungekuwa mbali sanaAfrika tatizo ni viongozi hawana muda kwenye masala serious
Kibajaj alijaribu akashindwaTungekuwa na viongozi imara tungekuwa mbali sana
Ova
Wabongo hawana desturi ya kuzamia nje. Tuwasikitikie Wa Nigeria, Wa Ghana na Wakenya.1. Ndugu zetu Diaspora kimewaka tayari. Mzee hataki utani anawapakia kwenye madege ya kukodi na kuwarejesha makwao.
2. Waziri Mambo ya nje TZ hawezi kuongea na viongozi wenzake huko? Nyani Ngabu
Tucson,Az sasahivi huwezi kuvaa hivyo hii video ya zamani sana, sasahivi baridi ipo Tucson ingali kuwa Arizona sehemu ya joto.1. Ndugu zetu Diaspora kimewaka tayari. Mzee hataki utani anawapakia kwenye madege ya kukodi na kuwarejesha makwao.
2. Waziri Mambo ya nje TZ hawezi kuongea na viongozi wenzake huko? Nyani Ngabu
HakikaTRUMP hataki mzaha kabisa
sasa mnaenda kwenye nchi ya watu halafu mnaipinga israel, huo si ni ujinga! Hata kama ni mimi nawatimua tuTrump ameanza na wale waliokuwa waanaalndamana kupinga vita israel
Hili zee sio poa
Dada na kaka zako wakienda safari Marekani wanabadilika rangi na kuwa wazungu ?Zije totozi za ki USA
OkDada na kaka zako wakienda safari Marekani wanabadilika rangi na kuwa wazungu ?