Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Na nyumba yake nasikia ni majivu huko santa Monica aje tu sisi hatuna ubaya tutawapokea ni wetu hatuna pa kuwapaleka😂Mno nguvu kazi inarejea, hata uchaguzi utanoga wapiga kura tutakuwa wengi..!!
Mange nae arudi aje tuandamanie huku 😹😹