Tuwaombee Diaspora (undocumented) wanapakiwa kwenye madege ya kesho kurejeshwa kwao

1. Ndugu zetu Diaspora kimewaka tayari. Mzee hataki utani anawapakia kwenye madege ya kukodi na kuwarejesha makwao.

2. Waziri Mambo ya nje TZ hawezi kuongea na viongozi wenzake huko? Nyani Ngabu
Tucson,Az sasahivi huwezi kuvaa hivyo hii video ya zamani sana, sasahivi baridi ipo Tucson ingali kuwa Arizona sehemu ya joto.
 
Yule anajifanganya eti dada wataifa aliyekuwa anatamba na USA kapandishwa ndege. Ya kwenda wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…