Na nyumba yake nasikia ni majivu huko santa Monica aje tu sisi hatuna ubaya tutawapokea ni wetu hatuna pa kuwapaleka😂Mno nguvu kazi inarejea, hata uchaguzi utanoga wapiga kura tutakuwa wengi..!!
Mange nae arudi aje tuandamanie huku 😹😹
Hapana wewe na mwenzako tareek mkamatwe mpigwe hamna adabu na wakubwa zenu 😹😹Kunipiga ni kunionea😂
Kule kwetu usukumani tunasema mgoe,kila mtu na jembe lake ila tunavamia shamba la mmoja,kesho tunahamia la mwingine...sasa wakirudi na hao wa huko mambo yatakuwa bambamUsinivunje mbavu kilimo hiki hiki cha majembe butu yenye mipini mifupi?! Au cha matrekta?
😹😹😹 Aje akojoe huku huku uswekeni..!!Na nyumba yake nasikia ni majivu huko santa Monica aje tu sisi hatuna ubaya tutawapokea ni wetu hatuna pa kuwapaleka😂
😂😂😂maana anapendaga kututetemesha sana eti niliamka kukojoa shenyang kabisa sasa tutakuwa tunashinda wote tunaamka kukojoa wote😹😹😹 Aje akojoe huku huku uswekeni..!!
Nilichukua uraia kabisa.We lazima utakuwa na greensand mbona huna wasiwasi kabisa?
Wataweza kuamka saa tisa usiku na simu umeifunga kwenye kimfuko chepesi cha rambo,unalima kwa mwanga wa simu .We thubutuuu.Kule kwetu usukumani tunasema mgoe,kila mtu na jembe lake ila tunavamia shamba la mmoja,kesho tunahamia la mwingine...sasa wakirudi na hao wa huko mambo yatakuwa bambam
Vibabu vya kizungu itabidi akavitege Cape town 😹😹😂😂😂maana anapendaga kututetemesha sana eti niliamka kukojoa shenyang kabisa sasa tutakuwa tunashinda wote tunaamka kukojoa wote
🤣🤣🤣🤣🤣kha watazingua sanaWataweza kuamka saa tisa usiku na simu umeifunga kwenye kimfuko chepesi cha rambo,unalima kwa mwanga wa simu .We thubutuuu.
Hee!kumbe mambo ya motooNilichukua uraia kabisa.
Nilijua huu ujinga unakuja na kwa sasa hata wenye green card wanaweza kunyang'anywa.
Haaha isije ikaleta Black MovementHii ni African people in the diaspora.
Mtoto mtembezi?1. Ndugu zetu Diaspora kimewaka tayari. Mzee hataki utani anawapakia kwenye madege ya kukodi na kuwarejesha makwao.
2. Waziri Mambo ya nje TZ hawezi kuongea na viongozi wenzake huko? Nyani Ngabu
Hivi mzamiaji naye ni diaspora au ni wale ambao ni legal migrantsDada na kaka zako wakienda safari Marekani wanabadilika rangi na kuwa wazungu ?