Tuwaombee Malawi hali yao kiuchumi ni mbaya sana

Tuwaombee Malawi hali yao kiuchumi ni mbaya sana

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Huu ni umbea kama umbea mwingine. Thamani ya pesa yao unashuka against fedha gani kama kwacha moja kwa leo ni shilingi 1.5 ya Tanzania.
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Aise malawi na zambia wapo motoni maisha ya hovyo kabisa
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Tanzania tuko vizuri sanaa kuliko Malawi au ni yale yale kasoro watanzania wamezoea umasikini na ni wavumilivu, neenda vijijini ujionee umasikini wa Tanzania dar isukudanganye.
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Damu ya Dr Saulos Chilima inawatandika mpaka watubu na wahakukishe Dr Chakwera anaondoka wqlinogewa na kiingereza chake kizuri na hotuba za kichungaji na motivation za kimaskini zinawatafuna
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom