Tuwaombee Malawi hali yao kiuchumi ni mbaya sana

Tuwaombee Malawi hali yao kiuchumi ni mbaya sana

Mi nadhani ungeanza na nchi yako kwanza...
Jana nimetoka mizungukoni nimewachukulia wanangu baadhi ya vitu wanapenda kula....nikaachana na daladala nikaingia kwa bajaji...kumbe Kuna zogo kati ya bajaji na daladala...mi nimo ndani wanarushiana maneno,nikamwambia tuondoke,anaondosha bajaji huku anaendelea na kamdomo....wakaanza kimbizia bajaji,dereva bajaji nae akaanza kukimbiza bajaji kama vile anakimbia kwa miguu,yaan ile unakimbia huku na kule ili usikamatwe...Mara ghafla kaparamiana na pikipiki iliyobeba trey za mayai....kibajaji kinataka kulala mi nikaruka...vitu vyangu vilisambaratika ...badala ya kusaidia watu wakaanza kuokota na kubugia bagia,wakaanza kuramba ubuyu....mayai wakazoa mpaka Ute wenye mchanga...bas ikabidi tujiinue sisi wenyewe🙌😔
Alafu anatokea mtu anawacheka malawi.

Uafrika ni laana!!!!
 
Thamani ya fesha ya Malawi leo ni kuwa; ukiwa Tsh 1, unapewa Kwacha 0.66. Hiyo ni kisema thamani Tsh iko chini. Sasa tunawahurumia kwa vigezo gani?
Pesa peke yake sio kigezo cha uchumi mkubwa. Zambian Kwacha iko juu ya Ksh.. je, Zambia ni kubwa kiuchumi kuliko Kenya?
 
Tanzania tuko vizuri sanaa kuliko Malawi au ni yale yale kasoro watanzania wamezoea umasikini na ni wavumilivu, neenda vijijini ujionee umasikini wa Tanzania dar isukudanganye.
Tanzania ni ulaya ya Malawi na Zambia.
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
HIVI WAAFRIKA NANI ALIWAAMINISHA KUWA KILA JAMBO LINATATULIWA KWA MAOMBI TU
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Wana njaa lakini huko ndio umeenda kutafuta pesa? Kazitafyte pesa kwa matajiri
 
Tanzania tuko vizuri sanaa kuliko Malawi au ni yale yale kasoro watanzania wamezoea umasikini na ni wavumilivu, neenda vijijini ujionee umasikini wa Tanzania dar isukudanganye.
Shida ya wabongo akishaweza kula milo mitatu anajiona katoboa anasahau Wajomba zake na bibi zake vijijini wanakunywa maji ya matope. Anaanza kuwawalia watu wa Malawi😅😅
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Na sisi tunaelekea huko
 
Huku tz tunabadili saini ya noti,hali mbaya sana
Wamebadili mapema ili waweze kutimiza ndoto ya Mwigulu ya kuwa na saini yake kwenye noti! Ni hilo tu? Trump hajakosea kuzuia misaada kwa sisi ni watu wahovyo tunachezea pesa.
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Vipi chakwera kashindwa kupiga maombi baada ya kuukwaa upresidaa?
 
Back
Top Bottom