Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
Kwahiyo tukiwaombea ndio maisha yao yatabadilika na kuwa mazuri?Kote hali ni mbaya sana ila Malawi wamekuwa Wana hali mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo tukiwaombea ndio maisha yao yatabadilika na kuwa mazuri?Kote hali ni mbaya sana ila Malawi wamekuwa Wana hali mbaya
Unaongea nini eti 10000 ya Tanzania laki ya malawiHuu ni umbea kama umbea mwingine. Thamani ya pesa yao unashuka against fedha gani kama kwacha moja kwa leo ni shilingi 1.5 ya Tanzania.
Sijui ni sababu ya nchi kuongozwa na upinzani au kitu gani.Kote hali ni mbaya sana ila Malawi wamekuwa Wana hali mbaya
Hata huko dar maskini ni wengiTanzania tuko vizuri sanaa kuliko Malawi au ni yale yale kasoro watanzania wamezoea umasikini na ni wavumilivu, neenda vijijini ujionee umasikini wa Tanzania dar isukudanganye.
Hata Kagera maskini ni wengi mnoHata huko dar maskini ni wengi
Sijui ni sababu ya nchi kuongozwa na upinzani au kitu gani.
Sababu HH wa Zambia anasema anajaribu kuziba matatizo yaliyo achwa na chama tawala ndio maana hali ngumu.
Au labda ndio siasa tu.
Siasa tu , mzigo wa duka sasa ukitaka chukua hapo malawiSijui ni sababu ya nchi kuongozwa na upinzani au kitu gani.
Sababu HH wa Zambia anasema anajaribu kuziba matatizo yaliyo achwa na chama tawala ndio maana hali ngumu.
Au labda ndio siasa tu.
Ukikosa maarifa na juhudi za makusudi, utaangamia na Mungu hatokuwa na la kukusaidia. Maana kasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"Maombi hayabadilishi maisha duni bali,kazi,juhudi na maarifa.
Mkuu Mungu hajawahi kusema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Ukikosa maarifa na juhudi za makusudi, utaangamia na Mungu hatokuwa na la kukusaidia. Maana kasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Pole mkuu...hakuna majeraha ulipata?Mi nadhani ungeanza na nchi yako kwanza...
Jana nimetoka mizungukoni nimewachukulia wanangu baadhi ya vitu wanapenda kula....nikaachana na daladala nikaingia kwa bajaji...kumbe Kuna zogo kati ya bajaji na daladala...mi nimo ndani wanarushiana maneno,nikamwambia tuondoke,anaondosha bajaji huku anaendelea na kamdomo....wakaanza kimbizia bajaji,dereva bajaji nae akaanza kukimbiza bajaji kama vile anakimbia kwa miguu,yaan ile unakimbia huku na kule ili usikamatwe...Mara ghafla kaparamiana na pikipiki iliyobeba trey za mayai....kibajaji kinataka kulala mi nikaruka...vitu vyangu vilisambaratika ...badala ya kusaidia watu wakaanza kuokota na kubugia bagia,wakaanza kuramba ubuyu....mayai wakazoa mpaka Ute wenye mchanga...bas ikabidi tujiinue sisi wenyewe🙌😔
Siku nilipoona Tanzania ipo katika nchi kumi zenye uchumi mkubwa Afrika. Nikajua kuna sehemu zina umaskini wa kutishaUkiingia Burundi ndiyo utazidi kuiona Bongo nyuyoki.
Tanzania ni nchi maskini,why kagera unaishi huko?Hata Kagera maskini ni wengi mno
Asante Kamanda,ni ubavu mmoja tu ulipata mshtuko kidogo baada boda kugongaPole mkuu...hakuna majeraha ulipata?
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Huo ni umasikini au vinasaba vya wizi wa watanzania?Mi nadhani ungeanza na nchi yako kwanza...
Jana nimetoka mizungukoni nimewachukulia wanangu baadhi ya vitu wanapenda kula....nikaachana na daladala nikaingia kwa bajaji...kumbe Kuna zogo kati ya bajaji na daladala...mi nimo ndani wanarushiana maneno,nikamwambia tuondoke,anaondosha bajaji huku anaendelea na kamdomo....wakaanza kimbizia bajaji,dereva bajaji nae akaanza kukimbiza bajaji kama vile anakimbia kwa miguu,yaan ile unakimbia huku na kule ili usikamatwe...Mara ghafla kaparamiana na pikipiki iliyobeba trey za mayai....kibajaji kinataka kulala mi nikaruka...vitu vyangu vilisambaratika ...badala ya kusaidia watu wakaanza kuokota na kubugia bagia,wakaanza kuramba ubuyu....mayai wakazoa mpaka Ute wenye mchanga...bas ikabidi tujiinue sisi wenyewe[emoji119][emoji17]
Huko kwenye miti unafanya nini Kamanda?Zambia ndo kubaya kbsa, inflation iko juu sana
Zambia ni kama ilishauzwaSijui ni sababu ya nchi kuongozwa na upinzani au kitu gani.
Sababu HH wa Zambia anasema anajaribu kuziba matatizo yaliyo achwa na chama tawala ndio maana hali ngumu.
Au labda ndio siasa tu.