Tunapata viongozi kimasihara,....kama masiahara vile machawa ndio wala vinono vya nchi.Haya yote yanatokana na kula tunda kimasihara, wanazaliwa watu kimasihara halafu wanaishi kimasihara huku wakifanya mambo ya masihara. Mpaka tuache kufanya mambo kimasihara ndiyo nchi itanyooka. Masihara mpaka kwenye mambo yasiyohitaji masihara matokeo yake ni kuishi kimasihara katika nchi ya masihara
Aseee ndio maana warundi wanakimbilia sana Tanzania. Na wakifika bongo wanajiita wahaBurundi kuna hadi kodi ya kuendesha baskeli.
Bila maarifa, tegemea hasaraHard work+Bahati
Okay, kumbe huo mfululizo wa vimbunga, mafuriko na ukame umeletwa na Chakwera! Tunapenda sana kuandika hata kwa tusiyoyajua.Walimchagua Msanii CHAKWERA wanavuna tu kama kwetu hapa
Ninawashauri wanaotaka kuchangia Post hii waitembelee Malawi kupitia AZAM TV chaneli 380 MBC, 381 TTV, 382 Zodiac, 383 Mibawa, 384 MBC2 na nyinginezo ili tupate uhalisia wa hali ilivyo, chakuambiwa ongeza na ........ .Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Huku tz tunabadili saini ya noti,hali mbaya sanaLabda ungesema Zambia lakini Malawi hapana.
Zambia wana badili new bank notes mwezi machi mwaka huu kukabiliana na inflation, Kule hali ni mbaya.
Inabidi tuwasaidie kwakuwa miaka ya 79s mwishoni au 80s mwanzoni waliisaidia Tanzania kwa chakula pamoja na kuwa tulitoka kwenye mgogoro wa mipakaHuu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Swali lako Lina maana gani kwani?Mbeya?? Kutoka wapi kwenda wapi
I'm serious.🤣🤣🤣Kuwa serious bhana, naumwa mwenzio
Nilidondoka na kibajaji siku ya Jana jioni,Mbavu zinauma😔I'm serious.
Unaumwa nini,ninataka nikuletee matunda.
Bashe anazuia kuwauzia mahindi hawa ndugu zetu aiseeHuu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
😔Halafu
Bashe anazuia kuwauzia mahindi hawa ndugu zetu aisee
Wamatumbi bwana,sasa wewe na MALAWI mnapishana nini.Kweli nyani haoni kundule.Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Huu ni umbea kama umbea mwingine. Thamani ya pesa yao unashuka against fedha gani kama kwacha moja kwa leo ni shilingi 1.5 ya Tanzania.
Pole sana.Nilidondoka na kibajaji siku ya Jana jioni,Mbavu zinauma😔