Ndiyo akianza kuuza matunda uwe mteja wake kaka .Nilikuwa na house girl mshamba mbutika kamaliza gongo la mboto mwisho wa lami. Anavaa vitenge mpaka kwenye unyayo..
Baada ya mwezi akaanza kunawiri
Baada ya mwezi mwingine akapata simati foni. Shida ilianzia hapo
Jamani kama kuna binti ambaye nilimuasa kuhusu maisha yule anaongoza..
Lakini sasa hivi analea mimba aliyojaribu kuitoa mara tano ikishindikana.. Kapanga chumba cha giza kula yake ya kubahatisha.. Kakonda kabaki kichwa
Nawaza sana akijifingua future yake na mtoto itakuwaje
Itabidi tufanye savei kujua chanzoSasa utanunua Kwa wauzaji wangapi?
Halafu baba za hao watoto walio migongoni wapo wapi? Siku waulize wawili watatu usikie majibu yao.
Umeona eee.Itabidi tufanye savei kujua chanzo
hata Sisi wababa tunakataa Sana mimba na katika hilo serikali iingilie Kati mtu akikataa mimba apimwe DNA ikiwa mtoto ni wake achukuliwe hatua Kali tuBaba wa watoto wako wapi? Kuna Wakati natamani mno kuwaonea huruma lakini nyuma yao kuna wengi wameyataka na kukaidi ushauri wa wakubwa
Kweli kabisa hao wanawake wenye watoto asilimia kubwa anatafuta kwa ajili yake na mtoto ila wanaume anatafuta kwa ajili ya mke, mtoto kodi ya nyumba, wazazi nyumbani wadogo zakeTuwasaidie pia na Wanaume na wavulana wanaotembeza bidhaa Mbalimbali mtaani
Yah na unakuta binti mkali tu mzuri cjui wanakoseaga wapUmeona eee.
Nakutana na kundi kubwa la wanawake wakiwa wamebeba watoto wadogo wakitembeza matunda mazingira ya jua Kali sana nawaonea huruma ukikuta dada anateseka juani na mtoto fanya kama unatoa sadaka tu kwa kununua matunda yake utabarikiwa sana
Weka namba ya simu inatosha.Nikiitaja mods watataka pesa ya tangazo la biashara
Sio lazima lakini.
Ukisema uonee huruma kila mtu utapata msongo wa mawazo.
Huwezi tatua kila tatizo kwamba ujitwishe mzigo wa dunia nzima mgongoni mwako.
kabisa tuwasaidie inapowezekanaTuwaunge mkono ata ukiandaa buku yako yakula tunda kila siku ni jambo jema Kuna kitu kitaongezeka maishani mwako hauwezi kubaki bure
wanawake/wadada hawahoni mbali.Nilikuwa na house girl mshamba mbutika kamaliza gongo la mboto mwisho wa lami. Anavaa vitenge mpaka kwenye unyayo..
Baada ya mwezi akaanza kunawiri
Baada ya mwezi mwingine akapata simati foni. Shida ilianzia hapo
Jamani kama kuna binti ambaye nilimuasa kuhusu maisha yule anaongoza..
Lakini sasa hivi analea mimba aliyojaribu kuitoa mara tano ikishindikana.. Kapanga chumba cha giza kula yake ya kubahatisha.. Kakonda kabaki kichwa
Nawaza sana akijifingua future yake na mtoto itakuwaje
Hapo ni Bahati sio uzuri, ukitumia uzuri wenyewe wanaupitia na wanakuacha na uzuri wako, sema kujitambua ndiyo shida.Yah na unakuta binti mkali tu mzuri cjui wanakoseaga wap
Yah ni kweli mkuu kujitambua ni tatzoHapo ni Bahati sio uzuri, ukitumia uzuri wenyewe wanaupitia na wanakuacha ma uzuri wako, sema kujitambua ndiyo shida.