Anaitumia corona kufikisha hisia zake za kisiasa tu hivyo si lazima atumie corona, mwaka jana wakati wa uchaguzi aliachana na habari za corona na kumtumia Lissu. Hivyo usione anaizungumzia corona kutwa ukafikiri anajali afya.Huyu jamaa anaipambania Corona sijapata kuona,ikitokea dunia nzima Corona iishe,itamuuma Sana,maana post zake nyingine ni corona.
Na bahati mbaya anachokitamani kitokee Tanzania kamwe hakitatokea.
Imagine mtu ameamka hana hata senti mfukoni, familia hajui itakulaje, ada za watoto shuleni itakuwaje, nk. halafu unamtisha unamtisha kwa corona asiyoiona!Hatimaye serikali ya awamu ya sita ilitangaza rasmi uwepo wa ugonjwa hatari wa Corona hapa nchini. Hii ikienda sambamba na kutolewa kwa maelekezo thabiti ya hatua gani za kuchukuliwa tunaposubiria kuwasili kwa chanjo.
Hatua hii ni njema kabisa ya kupongezwa na kila mzalendo na hasa kila muelewa.
Hata hivyo wamekuwapo wanaoendelea kushikilia misimamo isiyokuwa na mashiko kutokea awamu ile kuhusiana na huu ugonjwa. Wakihusianisha hatua hizi mpya za serikali na kiu tu cha mikopo kutoka kwa mabeberu.
Matokeo yake, hadi sasa takwimu za ugonjwa hazitolewi na mwitikio mzima wa hatua za tahadhari ni mdogo mno.
Tathmini ya kawaida inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu wanaopinga mtizamo huu mpya wa serikali, ni wale wale ambao pia wanapinga kurejelewa kwa mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya.
Wakati wanaounga mkono msimamo huu wa serikali, pia ndiyo wale wale wenye kuhitaji kurejelewa kwa mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya.
Kuna elements za wazi za ujinga kwenye kupinga hatua hizi dhidi ya Corona. Wakati kuna elements za ujinga na ubinafsi uliopitiliza kwenye kupinga suala la mchakato wa katiba mpya.
Bila shaka habari za kuanzishwa kwa kiwanda cha kutengeneza chanjo za Corona nchini, ni namna ya kujaribu kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa wajinga hao.
Ushauri wa bure kwa serikali inapohangaika kuwashawishi ndugu zetu hawa dhidi ya gonjwa hili:
"Serikali itangaze rasmi kusitisha jitihada zote za kupata mkopo wowote kuhusiana na ugonjwa huu au labda hata na kwa shughuli nyingine zozote ikibidi."
Ndugu zetu hawa hawaelewi kuwa mikopo huombwa tena kwa kunyenyekea. Ni fikra potofu kudhani kuwa pana mikopo mahali bwerere inayohitaji wakopaji."
Ni vyema serikali ikafanya hivyo huku ikitambua pia kwanini si sahihi sana nchi kuendekeza agenda zinazosukumwa na watu wenye uelewa mdogo (yaani wajinga).
Ninawasilisha.
Maalim seif hakuwa kiburi ila corona imepita nae,sasa sijui kuna tofauti gani ya kuwa kiburi na kutokuwa kiburi. Nasikia Mbowe kafiwa na sijui kaka yake.Kweli mjinga mwenzao ametangulia......na kibri chake
Ili nikapate corona halafu uje kuniambia kiburi changu ndio kimeniuwa?Unataka kwenda kwenye msiba?
Imagine mtu ameamka hana hata senti mfukoni, familia hajui itakulaje, ada za watoto shuleni itakuwaje, nk. halafu unamtisha unamtisha kwa corona asiyoiona!
Kuna siku wamekuja wageni home wakasalimia baada ya muda wakaaga kuondoka wakajilazimisha kutoa na mikono na hata barakoa hawakuvaa, baada ya kutoka nje wenyewe wakapaka sanitizer wakasepa zao.Hili suala la kupambana na UVIKO-3 linarudishwa nyuma na ukosefu wa elimu kwa watu wengi mijini na vijijini, wengi ambao wanadharau huu ugonjwa ukiwawafuatilia vizuri unaona uwezo wao kifikra, elimu na IQ zinamashaka.
Wengine ni wanawake, kwa tafiti niliyofanya wanawake kwa asilimia kubwa ndio wanasambaza ugonjwa huu kwa kasi kubwa. Wengi wa wanawake hawa wamejawa na tabia za kiswahili kukusanyika na kuweka mikutano bila kuchukua tahadhari pamoja na mambo ya vyama wanakutana na virusi na kwenda kusambaza majumbani.
Kundi lingine ambalo limepelekea kuwepo kwa UVIKO ni kundi la Imani hasa dini, watu hawa wa dini wanaongopewa na viongozi wao misikitini na makanisani wakiambiwa korona ni kitu cha kawaida. Kwa ufuatiliaji niliofanya asilimia 90 ya watu wa dini hawafuati taratibu za kujikinga na kupambana na UVIKO wakiamini kila mtu atakufa tu.
Hitimisho! Inahitajika jitihada kubwa kupambana na UVIKO ukiwa umezungukwa na watu wa aina hii.
Imagine mtu ameamka hana hata senti mfukoni, familia hajui itakulaje, ada za watoto shuleni itakuwaje, nk. halafu unamtisha unamtisha kwa corona asiyoiona!
Hili suala la kupambana na UVIKO-3 linarudishwa nyuma na ukosefu wa elimu kwa watu wengi mijini na vijijini, wengi ambao wanadharau huu ugonjwa ukiwawafuatilia vizuri unaona uwezo wao kifikra, elimu na IQ zinamashaka.
Wengine ni wanawake, kwa tafiti niliyofanya wanawake kwa asilimia kubwa ndio wanasambaza ugonjwa huu kwa kasi kubwa. Wengi wa wanawake hawa wamejawa na tabia za kiswahili kukusanyika na kuweka mikutano bila kuchukua tahadhari pamoja na mambo ya vyama wanakutana na virusi na kwenda kusambaza majumbani.
Kundi lingine ambalo limepelekea kuwepo kwa UVIKO ni kundi la Imani hasa dini, watu hawa wa dini wanaongopewa na viongozi wao misikitini na makanisani wakiambiwa korona ni kitu cha kawaida. Kwa ufuatiliaji niliofanya asilimia 90 ya watu wa dini hawafuati taratibu za kujikinga na kupambana na UVIKO wakiamini kila mtu atakufa tu.
Hitimisho! Inahitajika jitihada kubwa kupambana na UVIKO ukiwa umezungukwa na watu wa aina hii.
Nadhani nimeshindwa kukuelewa vizuri mkuu, unaweza kubadili uwasilishaji?Kuna siku wamekuja wageni home wakasalimia baada ya muda wakaaga kuondoka wakajilazimisha kutoa na mikono na hata barakoa hawakuvaa, baada ya kutoka nje wenyewe wakapaka sanitizer wakasepa zao.
Kibongo bongo watu kama hao ndio wenye kujikinga na hiyo corona ndio wenye uelewa na sie wengine ndio hatuna uelewa ndio maana hatujali afya zetu.
Hata ukifa una faida gani kwa taifa?Ili nikapate corona halafu uje kuniambia kiburi changu ndio kimeniuwa?
Hata nikiwa na faida kwa dunia nzima ndio nini sasa kama kifo kipo palepale?Hata ukifa una faida gani kwa taifa?
Yaani wewe una akili gani taasisi zinatumia kigezo Cha Corona kumaliza matatizo ya siku nyingine?Kuhitaji katiba mpya ni muhimu kuliko mkono kwenda kinywani.
Kuwatambua wapotoshaji kwa majina ni jambo la msingi mno kuliko mkono kwenda kinywani.
Kuwatambua vyawa wa mwendazake wanaotaka kuturudisha Misri ni jambo la msingi kuliko mkono kwenda kinywani:
View attachment 1845578
Vipi umeshapiga nyungu, kupata malimao, michai chai na mikaratusi?
Hadi hapo unasema je?
Alipumzika baada ya kumwona bwana wake kutoka Ubelgiji anapuyanga bila barakoa na akijisifia kujaza nyomi.Alikumbuka like barakoa lake kubwa Kama bakuli siku anatoroka kurudi kwa waliomtuma.Yupo vizuri toka aanze mwaka jana alipumzika kile kipindi cha uchaguzi
Yaani wewe una akili gani taasisi zinatumia kigezo Cha Corona kumaliza matatizo ya siku nyingine?
Au unafikiri Oxygen hosipitali zimeanza kutumika baada ya kuja Corona😅😅😅au hukuelewa ni maandalizi ya kukabiliana na janga linalo kulisha? Ambalo unatamani lilipuke lakini limegoma? Au hujiulizi Jobo ilielekea wapi?
A
Alipumzika baada ya kumwona bwana wake kutoka Ubelgiji anapuyanga bila barakoa na akijisifia kujaza nyomi.Alikumbuka like barakoa lake kubwa Kama bakuli siku anatoroka kurudi kwa waliomtuma.
Tanzania hakuna corona
angeandika kigogo hapa ungeamini
Sasa yeye ndio alikuwa anakuja kushangilia lile nyomi la Lissu ambalo halina barakoa halafu sasa hivi et anatueleza habari za corona.A
Alipumzika baada ya kumwona bwana wake kutoka Ubelgiji anapuyanga bila barakoa na akijisifia kujaza nyomi.Alikumbuka like barakoa lake kubwa Kama bakuli siku anatoroka kurudi kwa waliomtuma.