Hii ni kweli kabisa, yaani kwao mwarabu ni mtume kama sio 'mungu' kabisa.... unaweza kuona hata juhudi za 'ajuza' kukesha mitandaoni kushadadia hili jambo.....wakati wa Magufuli Mkataba wa kipumbavu huu asingekubali....shida ya wapemba wanadhani wakimkirimu Mwarabu wanadhani mamkirimu mtume
Afrika itakuwa masikini milele kwa sababu ya kujaaliwa hazina kubwa ya watu mbumbumbu wanaoamini kiongozi wa nchi ni malaika, hakosei na hivyo hatakiwi kupingwaNi wanamuonea tuu Mama!. Niliwauliza humu DP World: Hizi Kelele, Kulalamika, Shutuma, na Lawama ni za Kweli au ni Ujinga Tu? Rais Samia Anastahili Kulaumiwa au Kupongezwa?
Humo nilisema
hakuna mwenye jibu!.
P
Inasikitisha sana badala dini ikupe utulivu wa kufikiri, imekuondolea uwezo wako wa kufikiri, Kila jambo unalitazama kidini,Ungeacha kumuunga mkono msukuma na mkristo mwenzio ningeshangaa sana.
Ana tatizo huyu bibi, mdini wazi waziHivi mtanzania ambaye ni muislamu anafaidika vp na urais wa Samia hapa Tanzania au uislamu hapa Tanzania unafaidikaje na utawala wa Samia hivi sasa?
Nimekuwa nikijiuliza sana hiki kitu na kuona pengine kuna manufaa ama fursa ambazo sijazigundua.
Binafsi nadhani yawezekana ingekuwa hivyo ila sio kwa vipengele vya mkataba kama vilivyo hapo Magufuli asingekubali hata kidogo.
DPW si wabaya, kibaya ni namna mkataba ulivyo.
Kumbuka sakata la bandari ya Bagamoyo.
Tatizo sio DP world tatizo mkataba haueleweki mbona mnajifanya hamuelewi watu wanacho uliza?Jitahidi sana tu.
Nia na mawazo ya mtu hayajifichi kwenye maandiko, si lazima upinge wazi. Lini Nyerere aliwahi kuupinga Uislam wazi lakini vitendo vyake havikuwahi kuuficha ukweli.
Magufuli wala asingewaleta hao Waarabu, aliwakataa wachina kupewa bandari ya Bagamoyo sembuse iwe hii ya Dar Es Salaam. Usitulishe jambo ambalo halikuwepo na mhusika hayupo!Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Ana tatizo huyu bibi, mdini wazi wazi
Afaidiki na chochote ila mjinga tu
Kuna wakati mpaka huwa nafikiri kuwa labda kuna masilahi hupatikana kwa waislamu kutoka kwa marais waislamu.Ana tatizo huyu bibi, mdini wazi wazi
Afaidiki na chochote ila mjinga tu
Tofauti na yepi? Ushawahi kuoneshwa IGA hata moja na serikali zote za kabla ya Mama Samia?Ingekua na makubaliano tofauti...
Angekuwa makini tungeshikiwa hovyo ndege zetu?Isingepingwa Kwa kua pamoja naadhaifu yake kama binadamu ila kwenye mikataba alikuwa makini na alifuata ushauri wa wanasheria
Mbona mnag'akaTumesha kubali
Kwahili la DPW samia hastahili pongezi. IGA kwenda bungeni ni gereshaNi wanamuonea tuu Mama!. Niliwauliza humu DP World: Hizi Kelele, Kulalamika, Shutuma, na Lawama ni za Kweli au ni Ujinga Tu? Rais Samia Anastahili Kulaumiwa au Kupongezwa?
Humo nilisema
hakuna mwenye jibu!.
P