Tuwe makini, nahisi hii mitandao ya simu haina ulinzi wa uhakika

Tuwe makini, nahisi hii mitandao ya simu haina ulinzi wa uhakika

Iko hivi, siku za nyuma kama wiki tatu zilizopita nilikuwa naongea na mama kweny simu, tulikuwa tunaongea kuhusu maswala ya kutumiana pesa, nikwambia ntamtumia muda si mrefu tukimaliza kuongea, cha kushangaza baada ya kukata tuu simu, kuna message ikaingia ya namba nyingine ngeni inasema "mwanangu tuma kweny hii namba 07xx xxx xxx".
Nikashtuka kidogo ila kwa kuwa najua mambo ya utapeli wa mitandao nikakausha.
Ila kilichonishangaza, kwann ile message mtu aliyetuma imeandika "mwanang" just momentarily baada ya kuongea na mama, muda uliotumwa hio message pamoja na context za hio message zilinishtua.

Nilimpigia simu mama akasema sio yeye, nikapotezea nikawaza maybe it's just a coincidence.

Second scenario, imetokea wiki iliyopita, nilikuwa naongea na demu flani ivi kweny simu, nayeye hivohivo tulikuwa tunaongea maswala ya kutumiana pesa. Cha kushangaza baada ya kuongea nae nilivokata simu tuu baada ya kama dakika moja ikaingia message "Tuma kweny namba 07xx xxxx xxx".

Nilivompigia akasema sio yeye na hajawahi miliki hio namba.
Nikawaza kuhusu precession ya ile message, mbona imetumwa muda muafaka kabisa, ila nikapotezea pia.

Leo imetokea tena, huyuhuyu demu amenicheki sema this time hatujaongea, tumetumiana tuu message nikamwambia sawa nakutumia.
From tulivoongea saa 12 jioni, saa 12 unusu message mbili zikaingia namba ngeni, ya kwanza "Ntumie basi hio hela" ya pili "tuma humu 07xx xxx xxx", kumuuliza anasema sio yeye.

Hii ya leo imenifikirisha sana na ndio imenifanya nikumbuke scenario za nyuma, kwann hizi message zinaingia just after kuongea na watu kuhusu kutumiana pesa, wanajuaje? Or is it just a coincidence??

Mi nadhani hii mitandao haina ulinzi, haina privacy kabisa, na nahisi kuna watu huwa wanatusikiliza na kusoma message zetu, this can't be a simple coincidence.

Sitautaja mtandao ninao tumia ila nina mpango wa kuuhama.

Nyie wenzangu vipi hamjawahi kutana na haya mambo??
Kuna kitu hakiko sawa coz mimi juzi nimeongea na sister maswala ya pesa sasa wakati najiandaa kutuma ghafla ikaingia msg tuma kwa namba hii ikabidi nishtuke na nilivyompigia akasema sio yeye.

Kuna kauchunguzi inabidi tukafanye hapa ila nnauhakika Kuna kitu hakiko sawa, thou sijajua ni kwa namna gani wanafanya hizi trick.
 
Iko hivi, siku za nyuma kama wiki tatu zilizopita nilikuwa naongea na mama kweny simu, tulikuwa tunaongea kuhusu maswala ya kutumiana pesa, nikwambia ntamtumia muda si mrefu tukimaliza kuongea, cha kushangaza baada ya kukata tuu simu, kuna message ikaingia ya namba nyingine ngeni inasema "mwanangu tuma kweny hii namba 07xx xxx xxx".
Nikashtuka kidogo ila kwa kuwa najua mambo ya utapeli wa mitandao nikakausha.
Ila kilichonishangaza, kwann ile message mtu aliyetuma imeandika "mwanang" just momentarily baada ya kuongea na mama, muda uliotumwa hio message pamoja na context za hio message zilinishtua.

Nilimpigia simu mama akasema sio yeye, nikapotezea nikawaza maybe it's just a coincidence.

Second scenario, imetokea wiki iliyopita, nilikuwa naongea na demu flani ivi kweny simu, nayeye hivohivo tulikuwa tunaongea maswala ya kutumiana pesa. Cha kushangaza baada ya kuongea nae nilivokata simu tuu baada ya kama dakika moja ikaingia message "Tuma kweny namba 07xx xxxx xxx".

Nilivompigia akasema sio yeye na hajawahi miliki hio namba.
Nikawaza kuhusu precession ya ile message, mbona imetumwa muda muafaka kabisa, ila nikapotezea pia.

Leo imetokea tena, huyuhuyu demu amenicheki sema this time hatujaongea, tumetumiana tuu message nikamwambia sawa nakutumia.
From tulivoongea saa 12 jioni, saa 12 unusu message mbili zikaingia namba ngeni, ya kwanza "Ntumie basi hio hela" ya pili "tuma humu 07xx xxx xxx", kumuuliza anasema sio yeye.

Hii ya leo imenifikirisha sana na ndio imenifanya nikumbuke scenario za nyuma, kwann hizi message zinaingia just after kuongea na watu kuhusu kutumiana pesa, wanajuaje? Or is it just a coincidence??

Mi nadhani hii mitandao haina ulinzi, haina privacy kabisa, na nahisi kuna watu huwa wanatusikiliza na kusoma message zetu, this can't be a simple coincidence.

Sitautaja mtandao ninao tumia ila nina mpango wa kuuhama.

Nyie wenzangu vipi hamjawahi kutana na haya mambo??
Coincidence tu. Matapeli wanarusha sms kila mara, ilitokea wamerusha sms ukiwa umemaliza maongezi na mama yako.
 
Coincidence tu. Matapeli wanarusha sms kila mara, ilitokea wamerusha sms ukiwa umemaliza maongezi na mama yako.
hili ni janga. japo kuna muda zile sms za matapeli zikiingia tu zinaenda direct kwenye spam na kufichwa. sjajua criteria gani inatumika
 
Back
Top Bottom