Tuwe na adabu Kwa Jakaya, yaani wewe kijana wa misungwi , mbinga, kibondo unajua mipango ya nchi kuliko jakaya hadi umzodoe?

Tuwe na adabu Kwa Jakaya, yaani wewe kijana wa misungwi , mbinga, kibondo unajua mipango ya nchi kuliko jakaya hadi umzodoe?

Na wala sio amri ya papa,,,huku wakulungwa wakiamua ishapita hio

Hata Papa ni binadamu kama mimi na wewe. Mwenyezi Mungu peke yake ndiye anayejua nani atakaa upande gani akishaenda mita sita chini
 
Hakuna anayempa credit samia ktk mradi wa SGR,maana ameukuta tayar uko hatua nyingi za ujenzi,tutampongeza kwa kumalizia palipobakia.
Yeye mzaramo kama angekuwa mwaminifu angekumbuka pia hatukumnyima pongezi ktk BRT maana aliiacha iko miles kadhaa mbele.
Tutamkumbuka pia ktk shule za kata za sekondari hatuna hiyana.

Kama kupanga na kutekeleza ni jambo moja,panga kupata mtoto na mkeo,miezi 9 baadae azaliwe muhindi,ndio utaelewa.
Samia si Makutupora Tabora, Tabora Isaka na Kigoma? Tunaangalia miradi inavyoenda kwa kasi 🤣 🤣 🤣 🤣
 
jakaya legacy pekee ameacha ni majizi na utani. hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kujilimbikizia mali.
Dah
Hakuacha mazuri yoyote?
Mimi nakumbuka 2005 wahitimu kada mbali mbali walikuwa wakiomba kazi ila 2006 mheshimiwa aliajiri. Aliajiri mpaka anaondoka madarakani. Mshahara ilipanda na vyeo vikapanda pia.
Miundombinu nayo haikuwa haba hasa barabara. Mtwara Korido akafungua Dom Iringa.
Apewe maua yake
 
Eeeh mungu nakuomba kwa hekima zako umchukue huyu mzee umpekeke kuzimu kwa shetani mwenzie...Amen.
 
Huyu mkwere muongo sana kaona hawezi bishiwa na wote kwa vile ni marehemu basi kila kitu anadai yeye ndio alianzisha. Awamu yake ilikua kazi kuchezea mbunye tu za wadada wa mjini, leo anataka kujionesha eti yeye ndio alianza na vitu vyote. Awadanganye ma bumunda wenzake tu, ila watu wenye uelewa hawadanganyiki kwa huyu mkwere mwenye maneno mengi.
 
Shida vyeo vya wakina seint wanatoa wakina papa

The most organized entity in the whole world. Ndio maana mna wivu nayo sana. In fact Napoleone wanted to crush it down completely with is masonic ideas. He failed. Na yeye yote yule anayejaribu toka ndani au nje atafeli
 
Can you show the evidence? Au ni maneno ya kwenye gahawa wakati tunakula Bryani
Evidence gani tena unayoitaka zaidi ya ripoti ya CAG,hela haikuonekana kwenye matumizi ya serikali na mtu mzima kauchuna kimya kama hakijatokea kitu wakati yeye alijifanya mtu wa kunyoosha,kusoma hujui hata picha huioni!
 
The most organized entity in the whole world. Ndio maana mna wivu nayo sana. In fact Napoleone wanted to crush it down completely with is masonic ideas. He failed. Na yeye yote yule anayejaribu toka ndani au nje atafeli
Wivu wa nini blaza,,,wakati mambo yao na sie huku tulikua tunayo muda tu,,,shida lugha tu
 
Kuzungumza kila mtu anazungumza. Kufanya ili itokee ndio mtihani. JPM apewe maua yake. Wengine wanachofanya kitokee ni kubeba hela kwa sandarusi
Hakika JPM alikuwa mtekelezaji wa miradi mipango mingi.
 
Ifike hatua tuwe na adabu,
Jakaya kikwete ndio Rais mstaafu tuliyenaye, huyu ni msaada Kwa nchi yetu, angeamua kua kama uhuru anaweza lakini katulia na amebaki akiambiwa panda pikipiki wala hajali,
Nawapa hizi dondoo chache, fedha za SGR hadi dodoma aliacha ametafuta Jakaya, ile kijazi interchange alitafuta jakaya, tena magufuli akavuruga ramani, ilikua ni bonge la kitu,
Upanuzi wa barabara kimara hadi mile moja fedha alitafuta jakaya, daraja la tanzanite pesa aliacha jakaya,
Jakaya kawa muwazi kua mipango ilianza Kwa mkapa, akaihanikiza, magufuli kaisimamia, kosa lake ni lipi?
Nchi haijengwi na mtu mmoja, nchi inajengwa Kwa kupokezana, uongozi ni mbio za vijiti ni kupokezana huyu anakimbia hadi hapa na mwingine hadi kule.
Viongozi wetu wana mazuri na mabaya yao na kila mmoja anakitu alifanyia nchi yake tuwe na heshima,
Alama ninayomkumbuka ni skendo za ufisadi wa kutisha, usanii..........
 
LEGACY KUBWA ALIACHA NI YA UFISADI NA UUZAJI UNGA
Kwenye Unga hapo naungana na wewe,Mpaka ikafika wakati wanataka kubadilishana mateka na Aridhi yetu ya Bagamoyo...Kaharibu sana vijana wa kinondoni na sjui kwa nn mpaka leo afi akapate Adhabu yake mbinguni.
 
Back
Top Bottom