Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 566
- 1,583
Wakuu Habarini/salaam/Shalom
Ukitazama kwa mwenendo wa siasa zetu ndani ya miaka takribani 10 mpaka sasa,utaona jinsi watu walivyo kuwa na mwamko mdogo sana kuhusu siasa,hii inakuja baada ya kufungiwa kwa harakati za kisiasa chini ya Hayati J.P. Magufuli, Madhara ndo yanaonekana leođź©´
Hali imewaendea mrama sana Wanasiasa karibu wote,sio wa upinzani ata wale wa Chama tawala,Hali bado imekuwa ile ile, Ila kwa CHADEMA kidogo inaonekana bado wana ile power hata wakiita mkutano unaona watu wanakusanyika, tofauti na CCM ambao inahitajika nguvu ya Wasanii na usafiri wa bure kuwaleta watu na kuwarudisha majumbani kwao
Leo ukitembea sehemu yoyote ile TZ bara,ukisema neno Mpinzani wao wanajua ni CHADEMA pekee,kidogo labda na ACT, japo ACT Wazalendo wanahitaji wafanye kazi ya ziada sana kupata legitimacy kwa watu,vinginevyo wataishia kuwa Chama cha kuchukulia ruzuku Kama ilivyo kwa CHAUMA,TLP,NCCR au CUF
CHADEMA wametawala siasa za upinzani kwa kipindi kirefu sana mpaka sasa takribani miaka 20,hakuna chama chochote cha upinzani kilichopita kwenye msoto mkali na kilichodumu na nguvu hiyo toka tupate uhuru
Uchaguzi unaofuata bado naiona CHADEMA ikienda kuchukua majimbo mbalimbali ndani ya nchi hii
Sioni kama kuna Mpinzani aliyenyooka kama CHADEMA hapa TZ bara
LET’S GIVE THE CREDIT WHERE THE CREDIT IS DUE✅
Ukitazama kwa mwenendo wa siasa zetu ndani ya miaka takribani 10 mpaka sasa,utaona jinsi watu walivyo kuwa na mwamko mdogo sana kuhusu siasa,hii inakuja baada ya kufungiwa kwa harakati za kisiasa chini ya Hayati J.P. Magufuli, Madhara ndo yanaonekana leođź©´
Hali imewaendea mrama sana Wanasiasa karibu wote,sio wa upinzani ata wale wa Chama tawala,Hali bado imekuwa ile ile, Ila kwa CHADEMA kidogo inaonekana bado wana ile power hata wakiita mkutano unaona watu wanakusanyika, tofauti na CCM ambao inahitajika nguvu ya Wasanii na usafiri wa bure kuwaleta watu na kuwarudisha majumbani kwao
Leo ukitembea sehemu yoyote ile TZ bara,ukisema neno Mpinzani wao wanajua ni CHADEMA pekee,kidogo labda na ACT, japo ACT Wazalendo wanahitaji wafanye kazi ya ziada sana kupata legitimacy kwa watu,vinginevyo wataishia kuwa Chama cha kuchukulia ruzuku Kama ilivyo kwa CHAUMA,TLP,NCCR au CUF
CHADEMA wametawala siasa za upinzani kwa kipindi kirefu sana mpaka sasa takribani miaka 20,hakuna chama chochote cha upinzani kilichopita kwenye msoto mkali na kilichodumu na nguvu hiyo toka tupate uhuru
Uchaguzi unaofuata bado naiona CHADEMA ikienda kuchukua majimbo mbalimbali ndani ya nchi hii
Sioni kama kuna Mpinzani aliyenyooka kama CHADEMA hapa TZ bara
LET’S GIVE THE CREDIT WHERE THE CREDIT IS DUE✅