Ni Mtihani kutoka kwa Mungu, unapaswa uushinde kwa kumhudumia kama mtoto aliye mzimaWewe hapo unaesoma uzi huu ukipata mtoto ama tayari unae :
- haoni na hasikii
- hajitambui
- utindio wa ubongo
- ugonjwa wa kumfanya ahudumiwe kila kitu
Kwako wewe kutoka moyoni mwako, hii ni zawadi kutoka kwa Mungu ?
Kwa sehemu kubwa bado wanafanya hivyo vijijini...ulemavu wowote wa viungo na ualbino piaZamani Wamasai wlikuwa na mila ya kuuwa watoto walemavu, sijuwi siku hizi kama wameawacha.
Fungua tuu mkuu,unaweza kupata kitu,kuna shuhuda za watu kama huyo mtoto kwa sasa wako vizuri,Mungu ni mwema wakati wote.Huu uzi Umeniuma sana
Nina Best yangu Wamepata Katoto kana shida Ya kiafya tangu Azaliwe hajawahi kua na furaha, sio kichanga sio wazazi...
Inauma sana, inauma sana yaani mimi tuu hua nikienda kuwasalimia machozi yananitoka, na imagine wao wanakuaje? Ukiangalia ni mtoto wa kwanza na waliomsubiria kwa Hamu sanaa...
Mungu Wape nguvu na tumaini watu hawa wote
Huu uzi Siufungui tena.
Halafu eti kuna wamama wanaua watoto wao kisa 500/=Huu uzi Umeniuma sana
Nina Best yangu Wamepata Katoto kana shida Ya kiafya tangu Azaliwe hajawahi kua na furaha, sio kichanga sio wazazi...
Inauma sana, inauma sana yaani mimi tuu hua nikienda kuwasalimia machozi yananitoka, na imagine wao wanakuaje? Ukiangalia ni mtoto wa kwanza na waliomsubiria kwa Hamu sanaa...
Mungu Wape nguvu na tumaini watu hawa wote
Huu uzi Siufungui tena.
Kazi za wachawi hizo kama mzazi haupo na Mungu,sio zawadi kutoka kwa Mungu, ila ni bahati mbaya tu hawatakiwi kunyanyapaliwa,
watakuja kusema hizo ni laana, sasa ndo ujiulize ni Mungu gani mwenye upendo anaadhibu kiumbe kisichokua na hatia kwa makosa ya mababu/wazazi wake😂
Asee we jamaa ni mkorofi naona unataka tu kuona kifuatacho itv au sio?
Wapumbavu wengine uwatoa kafara watoto wao ili kupata maliHalafu eti kuna wamama wanaua watoto wao kisa 500/=
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unataka kusema mungu mwenye upendo anaruhusu wachawi kudhuru kiumbe kisicho na hatia, kwasababu wazazi wake hawasali?Kazi za wachawi hizo kama mzazi haupo na Mungu,
Ukiwa na Mungu hayakukuti hayo
Kama hautaki ulinzi wa Mungu u mali ya shetani ruksaKwahiyo unataka kusema mungu mwenye upendo anaruhusu wachawi kudhuru kiumbe kisicho na hatia, kwasababu wazazi wake hawasali?
ambao hawajaomba ulinzi ni wazazi, mtoto anateseka, huyo mungu ni katiliKama hautaki ulinzi wa Mungu u mali ya shetani ruksa
Sio wamasai tuu makabila yote ya kaskazini yaani wamasai,wambulu,barbeig,waarusha,wameru,wachaga na wataita hawakuruhusu watoto walemavu hadi albino waishi,wakunga walikuwa wanamaliza kazi na kumwambia mama mzazi kuwa mtoto ni bahati mbaya.Nawafahamu mapacha peter na paulo waliozaliwa 1924 na pona yao walikimbizwa kutunzwa na father James Maghan mholanzi.Hoja ilikuwa je vita vikija utabeba mlemavu au utakimbia na mifugo ambayo itakusaidia huko mbele ya safari?Ukweli ni kwamba maendeleo na tangazo la haki za binadamu limeokoa wengi.Zamani Wamasai wlikuwa na mila ya kuuwa watoto walemavu, sijuwi siku hizi kama wameawacha.
Zipo fact nyingi zinazochangia matibabu umasikini ujinga za kiroho nk so inategemea na factor ipi imeleta hiloambao hawajaomba ulinzi ni wazazi, mtoto anateseka, huyo mungu ni katili
Kuna vikombe usiombee kabisa vikupitie!Kunafamilia zinapitia magumu mengi,
mpe pole,,tupo pamoja ❤️❤️❤️❤️❤️Huu uzi Umeniuma sana
Nina Best yangu Wamepata Katoto kana shida Ya kiafya tangu Azaliwe hajawahi kua na furaha, sio kichanga sio wazazi...
Inauma sana, inauma sana yaani mimi tuu hua nikienda kuwasalimia machozi yananitoka, na imagine wao wanakuaje? Ukiangalia ni mtoto wa kwanza na waliomsubiria kwa Hamu sanaa...
Mungu Wape nguvu na tumaini watu hawa wote
Huu uzi Siufungui tena.
Muue, utazaa mwingineWewe hapo unaesoma uzi huu ukipata mtoto ama tayari unae :
- haoni na hasikii
- hajitambui
- utindio wa ubongo
- ugonjwa wa kumfanya ahudumiwe kila kitu
Kwako wewe kutoka moyoni mwako, hii ni zawadi kutoka kwa Mungu ?