Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,730
- 6,736
Kiimani tutajifariji kwa kusema ni majaribu kutoka kwa mwenyezi Mungu. Ila kwa ujumla wake uwa ni mtihani mkubwa sana kwa wazazi unaoambatana na gharama kubwa katika mfumo wa fedha, muda, huruma, uvumilivu n.k. katika kumlea mtoto wa aina hiyo. Kukosekana kwa mojawapo ya vitu hivyo kunaweza kupelekea mzazi kukufuru na/au kufanya tukio lisilopendeza kwa mtoto husika.