Tuwekane sawa: Dini hujenga mitazamo ya mtu, vyama vya siasa vichukue mikondo ya kimakundi

Tuwekane sawa: Dini hujenga mitazamo ya mtu, vyama vya siasa vichukue mikondo ya kimakundi

Haya ni baadhi ya mataifa ambayo dini imepuuzwa sana na yameendelea sana,
1.China
2.Japan
3.Sweden
4. Czech
5. Estonia
6.Ufaransa
Dini au imani ni eneo pana, sio tu kwenda Msikitini kupiga rakaa au kuingia kanisani kusikiliza mahubiri na kula mkate. Ni pale unapoingiza kanuni za dini yako katika maisha yako ya kila siku.
Sasa hawa wanaoishi maisha yao kila siku wanaamua kuyaleta maisha hayo katika ujenzi wa taifa. Hao uliowataka kaangalie wanavyosimamia sheria za uendeshaji wa mataifa yao.
Tanzania hujui kama viongozi ni wakristo, waislam, wa kimila etc. Maake huyu kaiba pesa ya kutunzia Mama wajawazito halafu anaachwa bila kufanywa chochote. Vipi kama tungefunua kitabu kimojawapo kutafuta adhabu ya kumpa huyu mtu? Ili jambo kama hili lisijirudie?

Hayo mataifa Yameweka Dini na Mila zao kwenye uendeshaji wa Serikali na Usimamizi wa Vyombo vya dola
 
Actually kama umefatilia mara zote huwa naongea as a neutral...but simbishii anae nihukumu . ..
Ambacho nimegundua huwezi Ku acknowledge neutrality kama wewe sio neutral pia...
Kujitangaza kuwa wewe uko Neutral ni sawa na kusema kwa kiswahili hauko popote na sio chochote. Tunachoongelea hapa ni namna unavyoyatazama mambo. Mtu Neutral haongei chochote, hafanyi chochote, halaumu chochote, na hafurahii wa hasikitishwi na chochote kwa uwazi wa kwa siri, kwa ujumla kuwa Neutral ni sawa na kuwa kwenye kuzimia kifikra, kiimani, kimila, n.k
 
EU countries zote ziko openly kuwa ni nchi za kikristo....
Vyama vyao kama Christian democratic party huko Ujerumani viko so openly....hata kuizuia Turkey ni suala la dini na linajadiliwa so openly...


Sisi Mtu anamuona Pengo ,Padri Slaa na Askofu Mwamakula eti ni watu neutral.. wazalendo....akili gani hizi?
Dpworld wangekuwa wanatoka Italy wangekuja front hivi?
Kabla ya Waarabu, Waafrika na wengine kuanza kukimbilia kwa kasi Ujerumani nchi hiyo ilikuwa kama Uislamu ulivyo Saudia.
Ukiijua Historia vizuri ushamba mwingine utakuondoka.
 
Dini au imani ni eneo pana, sio tu kwenda Msikitini kupiga rakaa au kuingia kanisani kusikiliza mahubiri na kula mkate. Ni pale unapoingiza kanuni za dini yako katika maisha yako ya kila siku.
Sasa hawa wanaoishi maisha yao kila siku wanaamua kuyaleta maisha hayo katika ujenzi wa taifa. Hao uliowataka kaangalie wanavyosimamia sheria za uendeshaji wa mataifa yao.
Tanzania hujui kama viongozi ni wakristo, waislam, wa kimila etc. Maake huyu kaiba pesa ya kutunzia Mama wajawazito halafu anaachwa bila kufanywa chochote. Vipi kama tungefunua kitabu kimojawapo kutafuta adhabu ya kumpa huyu mtu? Ili jambo kama hili lisijirudie?

Hayo mataifa Yameweka Dini na Mila zao kwenye uendeshaji wa Serikali na Usimamizi wa Vyombo vya dola
Sharia inasema mwizi akatwe mkono na Ukristo unasema asamehewe. Wewe utachagua kutumia kitabu gani??
 
Kabla ya Waarabu, Waafrika na wengine kuanza kukimbilia kwa kasi Ujerumani nchi hiyo ilikuwa kama Uislamu ulivyo Saudia.
Ukiijua Historia vizuri ushamba mwingine utakuondoka.
Najua history ya Europe kuliko wewe unavyo dhani...
Nimefanya mitihani kuhusu European history...
Wewe utawadanganya watoto wenzio...
Hakuna kitu kama secular society Ulaya...zote ni Christian society... secular ni namna ya kuondoa dini officially lakini culturally na outlook still Christian
 
Najua history ya Europe kuliko wewe unavyo dhani...
Nimefanya mitihani kuhusu European history...
Wewe utawadanganya watoto wenzio...
Hakuna kitu kama secular society Ulaya...zote ni Christian society... secular ni namna ya kuondoa dini officially lakini culturally na outlook still Christian
Rishi Sunak Waziri mkuu wa UK ni Muhindu,
Sadiq Khan meya wa London ni Muislamu,
Unataka secularism gani zaidi huko West??

Inaweza kuchuka miaka 100 ijayo kuona Riyadh ina Meya Mshia au Tehran ina meya Msuni.
 
Rishi Sunak Waziri mkuu wa UK ni Muhindu,
Sadiq Khan meya wa London ni Muislamu,
Unataka secularism gani zaidi huko West??

Inaweza kuchuka miaka 100 ijayo kuona Riyadh ina Meya Mshia au Tehran ina meya Msuni.
Mbona unaongea vitu kama mtoto?
King of England ndie Mkuu wa Kanisa Anglikana duniani...
Huelewi nini hapo?
Hata maaskofu wa Anglikana Tanzania wanapokea order kutoka Kwa King of England....
 
Mbona unaongea vitu kama mtoto?
King of England ndie Mkuu wa Kanisa Anglikana duniani...
Huelewi nini hapo?
Hata maaskofu wa Anglikana Tanzania wanapokea order kutoka Kwa King of England....
Uongo,
Anglikana ya Tanzania imekataa ushoga wakati ya Uingereza imeukubali.

Pia Ayatollah ndio mkuu wa dini Iran na hawezi kukubali hata siku moja Rais Muhindu atawale Iran.
 
Back
Top Bottom