Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

Jiwe au "Mwamba" kwa jina jipya walllombatiza baada ya kifo chake ndilo lilimpa jeuri ya "KUJIMWAMBAFY" .
Wakti Jiwe akijimwambafy na kuelekeza wapinzani wapigwe marisasi na kupotezwa alifikiri hii Tanzania na dunia alikuwa amezifanya miliki yake!!!!!. Niliwahi kusema huko nyuma, kuwa kwa Watz hao waliokuwa wakiteseka, nyanyasika na kupotezewa maisha yao, GOD WAS JUST WATCHING FROM A DISTANCE. Sasa imekwisha......! It's now over!
R.I.P. Mwamba wa Chato!
Funzo kubwa USIMWAGE DAMU ISIYO NA HATIA PIA AUWAE KWA UPANGA ATAUWAWA KWA UPANGA.
 
JK alikuwa anapata wapi pesa za kujenga barabara za lami kuunganisha mikoa yote, vyuo, airport, kuajiri, kupandisha mishahara kila mwaka, sherehe, mbio za mwenge, kulipa pensheni n.k bila hata kunyang'anya wakulima wa korosho au bureau de change pesa zao?
Likijibiwa kwa ufasaha hili swali naleft group la jf.
 
Kwa uchumi wa JK ulivyokuwa vibrant hata haka kareli na kabwawa tunakonyanyaswa nako bado angejenga bila kutunyanyasa.
 
Ila mimi nimemuelewa Magufuli kwenye baadhi ya mambo baada ya kufariki.

Kuna vitu nimekua exposed kwake kwa hivi karibuni kwa siku za mwisho mwisho za uhai wake, ndio nikaja kujua alikua na nia gani.

Kwenye ujenzi wa bwawa la umeme, nilikua nampinga tu Magufuli kwa kufuata mkumbo lakini baada ya kupata facts kuhusu gharama za uendeshaji wa mitambo ya gesi na mafuta kwa tanesco, nikajua kabisa Magufuli aliona mbali na alikua na nia njema kabisa kuhusu uchumi wa nchi yetu.

Sasa naamini ukiona mtu anapinga jambo flani inaweza kua halijui vizuri, ana maslahi binafsi, hajalielewa ama anafuata tu mkumbo au ameamua tu, maana watu wengine wanaweza kuamua tu kua dogma, akapewa undeniable facts na bado akaamua tu kutokuelewa.

Mfano mzuri watu dogma ni kama Magufuli mwenyewe juu ya covid 19, aliamua tu kua dogma juu ya corona na bahati mbaya udogmatic wake umegharimu maisha yake.

Ukweli ni kwamba uzalishaji wa umeme kutumia maji ni way cheaper kuliko sources nyingine zote za nishati, ni kati ya shilingi za kitanzania 60 hadi 90 kwa unit. Lakini pia maintanance ya mitambo yake ni baada ya muda mrefu sana, zaidi ya miaka 15 na hata gharama za utengenezaji wake sio kubwa.

Ukija kwenye gas, uzalishaji wa unit moja ni mara 2.5 ya uzalishaji wa maji, lakini pia mitambo ya gesi inahitaji overhaul maintenance kila baada ya miaka 2 na ni billion of money, hao ABB ya Uingereza, Siemens ya Sweden, General Electric ya Marekani, Wartisila na wengine hela wanazofyonza pale Tanesco sio za kitoto, sio za kitoto. Hawa hawataki kusikia tunakua na chanzo kingine cha umeme zaidi ya gasi ama mafuta mazito maana ulaji wao pale Tanesco utakata.

Mfano,Kihansi wanaenda kufanya overhaul maintenance baada ya miaka 20 toka kituo kianzishwe na gharama yake haitazidi 10b, lakini kule kinyerezi General Electric ya Marekani wanataka zaidi ya 80b kufanya ukarabati mkubwa kwa miaka 3 engines na wanataka walipwe kabla ya kufanya kazi. Mitambo ya gesi inataka matengenezo kila baada ya miaka 2.5 ama 3 na gharama zake si chini ya 30B.

Sasa watu kama hao watataka tuwe na vyanzo rahisi vya nishati kama maji? Obviously hawataki kabisa na watatumia propaganda zote kutuonyesha kua maji hayafai, sijui ujinga gani.
Nahisi utakuwa mtumishi wa TANESCO!
Hata hivyo umeeleza kwa lugha nzuri ambayo hata sisi tumeelewa.
Kuna kaswali kadogo,kwa nini serikali zilizopita hazikuliona hilo?
Je kuna uwezekano wa 10% kwa miradi hiyo inayohitaji overhaul kila baada ya miaka miwili?
Tukumbuke tu sera zinazotekelezwa ni za CCM tangu kupata Uhuru
 
Nahisi utakuwa mtumishi wa TANESCO!
Hata hivyo umeeleza kwa lugha nzuri ambayo hata sisi tumeelewa.
Kuna kaswali kadogo,kwa nini serikali zilizopita hazikuliona hilo?
Je kuna uwezekano wa 10% kwa miradi hiyo inayohitaji overhaul kila baada ya miaka miwili?
Tukumbuke tu sera zinazotekelezwa ni za CCM tangu kupata Uhuru
Mkuu ningekua mfanyakazi wa Tanesco ningekua nishayajua hayo siku nyingi.

Mimi sio mfanyakazi wa Tanesco ila imetokea tu bahati kwenye kazi nayofanya nikapata exclusive access na taarifa na nyaraka za Tanesco na kuzipitia hivyo kunipa ufahamu mkubwa zaidi wa ndani wa tanesco.

Ni bahati mbaya habari kama hizi hua hazipatikani kwa umma amma hivyo inakua ni siri miaka yote huku waanchi wakitwishwa mzigo.

Ni kweli kua hii mikataba imeingiwa na serikali ya ccm. Ndio maana mimi binafsi hua nasema ccm haijawahi kua na nia njema na watanzania, bila kuondoa ccm maendeleo tutaendelea kuyaona kwenye tv.
 
Ila mimi nimemuelewa Magufuli kwenye baadhi ya mambo baada ya kufariki.

Kuna vitu nimekua exposed kwake kwa hivi karibuni kwa siku za mwisho mwisho za uhai wake, ndio nikaja kujua alikua na nia gani.

Kwenye ujenzi wa bwawa la umeme, nilikua nampinga tu Magufuli kwa kufuata mkumbo lakini baada ya kupata facts kuhusu gharama za uendeshaji wa mitambo ya gesi na mafuta kwa tanesco, nikajua kabisa Magufuli aliona mbali na alikua na nia njema kabisa kuhusu uchumi wa nchi yetu.

Sasa naamini ukiona mtu anapinga jambo flani inaweza kua halijui vizuri, ana maslahi binafsi, hajalielewa ama anafuata tu mkumbo au ameamua tu, maana watu wengine wanaweza kuamua tu kua dogma, akapewa undeniable facts na bado akaamua tu kutokuelewa.

Mfano mzuri watu dogma ni kama Magufuli mwenyewe juu ya covid 19, aliamua tu kua dogma juu ya corona na bahati mbaya udogmatic wake umegharimu maisha yake.

Ukweli ni kwamba uzalishaji wa umeme kutumia maji ni way cheaper kuliko sources nyingine zote za nishati, ni kati ya shilingi za kitanzania 60 hadi 90 kwa unit. Lakini pia maintanance ya mitambo yake ni baada ya muda mrefu sana, zaidi ya miaka 15 na hata gharama za utengenezaji wake sio kubwa.

Ukija kwenye gas, uzalishaji wa unit moja ni mara 2.5 ya uzalishaji wa maji, lakini pia mitambo ya gesi inahitaji overhaul maintenance kila baada ya miaka 2 na ni billion of money, hao ABB ya Uingereza, Siemens ya Sweden, General Electric ya Marekani, Wartisila na wengine hela wanazofyonza pale Tanesco sio za kitoto, sio za kitoto. Hawa hawataki kusikia tunakua na chanzo kingine cha umeme zaidi ya gasi ama mafuta mazito maana ulaji wao pale Tanesco utakata.

Mfano,Kihansi wanaenda kufanya overhaul maintenance baada ya miaka 20 toka kituo kianzishwe na gharama yake haitazidi 10b, lakini kule kinyerezi General Electric ya Marekani wanataka zaidi ya 80b kufanya ukarabati mkubwa kwa miaka 3 engines na wanataka walipwe kabla ya kufanya kazi. Mitambo ya gesi inataka matengenezo kila baada ya miaka 2.5 ama 3 na gharama zake si chini ya 30B.

Sasa watu kama hao watataka tuwe na vyanzo rahisi vya nishati kama maji? Obviously hawataki kabisa na watatumia propaganda zote kutuonyesha kua maji hayafai, sijui ujinga gani.
Naantombe Mushi kasomeuhalisia hapo juu uache kugidwa na Mushi
 
Kwa ufupi sekta ya gesi aliyoitelekeza jiwe ingekuwa na manufaa lukuki na makubwa kiuchumi mara nyingi zaidi kuliko manufaa yatakayopatikana katika hilo bwawa alilioenda kulijenga kwenye hifadhi ya wanyama. Jiwe na watu wa aina yako wanashabikia tu gharama kidogo za unit ya umeme utokanao na maji bila kutazama manufaa ya muunganiko wa uchumi mzima kwa ujumla.

Makosa hayo hayo aliyafanya alipoenda kuchukua pesa za wakulima wa korosho na kuagiza BoT inunue korosho.
Sijakuelewa, uneandika nini.

Unaweza kuiweka sawasawa hoja yako?
 
Ila mimi nimemuelewa Magufuli kwenye baadhi ya mambo baada ya kufariki.

Kuna vitu nimekua exposed kwake kwa hivi karibuni kwa siku za mwisho mwisho za uhai wake, ndio nikaja kujua alikua na nia gani.

Kwenye ujenzi wa bwawa la umeme, nilikua nampinga tu Magufuli kwa kufuata mkumbo lakini baada ya kupata facts kuhusu gharama za uendeshaji wa mitambo ya gesi na mafuta kwa tanesco, nikajua kabisa Magufuli aliona mbali na alikua na nia njema kabisa kuhusu uchumi wa nchi yetu.

Sasa naamini ukiona mtu anapinga jambo flani inaweza kua halijui vizuri, ana maslahi binafsi, hajalielewa ama anafuata tu mkumbo au ameamua tu, maana watu wengine wanaweza kuamua tu kua dogma, akapewa undeniable facts na bado akaamua tu kutokuelewa.

Mfano mzuri watu dogma ni kama Magufuli mwenyewe juu ya covid 19, aliamua tu kua dogma juu ya corona na bahati mbaya udogmatic wake umegharimu maisha yake.

Ukweli ni kwamba uzalishaji wa umeme kutumia maji ni way cheaper kuliko sources nyingine zote za nishati, ni kati ya shilingi za kitanzania 60 hadi 90 kwa unit. Lakini pia maintanance ya mitambo yake ni baada ya muda mrefu sana, zaidi ya miaka 15 na hata gharama za utengenezaji wake sio kubwa.

Ukija kwenye gas, uzalishaji wa unit moja ni mara 2.5 ya uzalishaji wa maji, lakini pia mitambo ya gesi inahitaji overhaul maintenance kila baada ya miaka 2 na ni billion of money, hao ABB ya Uingereza, Siemens ya Sweden, General Electric ya Marekani, Wartisila na wengine hela wanazofyonza pale Tanesco sio za kitoto, sio za kitoto. Hawa hawataki kusikia tunakua na chanzo kingine cha umeme zaidi ya gasi ama mafuta mazito maana ulaji wao pale Tanesco utakata.

Mfano,Kihansi wanaenda kufanya overhaul maintenance baada ya miaka 20 toka kituo kianzishwe na gharama yake haitazidi 10b, lakini kule kinyerezi General Electric ya Marekani wanataka zaidi ya 80b kufanya ukarabati mkubwa kwa miaka 3 engines na wanataka walipwe kabla ya kufanya kazi. Mitambo ya gesi inataka matengenezo kila baada ya miaka 2.5 ama 3 na gharama zake si chini ya 30B.

Sasa watu kama hao watataka tuwe na vyanzo rahisi vya nishati kama maji? Obviously hawataki kabisa na watatumia propaganda zote kutuonyesha kua maji hayafai, sijui ujinga gani.
Wengi walikua wanafata mkumbo wa kigogo kule twitter kumchukia
 
Kwa ufupi sekta ya gesi aliyoitelekeza jiwe ingekuwa na manufaa lukuki na makubwa kiuchumi mara nyingi zaidi kuliko manufaa yatakayopatikana katika hilo bwawa alilioenda kulijenga kwenye hifadhi ya wanyama. Jiwe na watu wa aina yako wanashabikia tu gharama kidogo za unit ya umeme utokanao na maji bila kutazama manufaa ya muunganiko wa uchumi mzima kwa ujumla.

Makosa hayo hayo aliyafanya alipoenda kuchukua pesa za wakulima wa korosho na kuagiza BoT inunue korosho.
Hayo manufaa ya gesi na uchumi mzima na muunganiko wake ni yapi?

Ungeweza kunisaidia kunielimisha kwenye hilo ningeshukuru sana.

Ahsante.
 
One of the worst project ni SGR all the studies ever done zilisema the project is not viable kwa nature ya biashara ya nchi yetu
At the moment out of 16m tones ya Cargo inayoingia Dar port 67% inabaki TZ na 90% of it inabaki Dar es Salaam the remaining 33% unsends nchi za nje of which over 60% inaenda via Tunduma

Operation costs za SGR ziko so high has hii ya umeme of which SGR ni Another project itakayokuwa inachukua hela za walipakodi kuigharamia kuiendesha
 
Ila mimi nimemuelewa Magufuli kwenye baadhi ya mambo baada ya kufariki.

Kuna vitu nimekua exposed kwake kwa hivi karibuni kwa siku za mwisho mwisho za uhai wake, ndio nikaja kujua alikua na nia gani.

Kwenye ujenzi wa bwawa la umeme, nilikua nampinga tu Magufuli kwa kufuata mkumbo lakini baada ya kupata facts kuhusu gharama za uendeshaji wa mitambo ya gesi na mafuta kwa tanesco, nikajua kabisa Magufuli aliona mbali na alikua na nia njema kabisa kuhusu uchumi wa nchi yetu.

Sasa naamini ukiona mtu anapinga jambo flani inaweza kua halijui vizuri, ana maslahi binafsi, hajalielewa ama anafuata tu mkumbo au ameamua tu, maana watu wengine wanaweza kuamua tu kua dogma, akapewa undeniable facts na bado akaamua tu kutokuelewa.

Mfano mzuri watu dogma ni kama Magufuli mwenyewe juu ya covid 19, aliamua tu kua dogma juu ya corona na bahati mbaya udogmatic wake umegharimu maisha yake.

Ukweli ni kwamba uzalishaji wa umeme kutumia maji ni way cheaper kuliko sources nyingine zote za nishati, ni kati ya shilingi za kitanzania 60 hadi 90 kwa unit. Lakini pia maintanance ya mitambo yake ni baada ya muda mrefu sana, zaidi ya miaka 15 na hata gharama za utengenezaji wake sio kubwa.

Ukija kwenye gas, uzalishaji wa unit moja ni mara 2.5 ya uzalishaji wa maji, lakini pia mitambo ya gesi inahitaji overhaul maintenance kila baada ya miaka 2 na ni billion of money, hao ABB ya Uingereza, Siemens ya Sweden, General Electric ya Marekani, Wartisila na wengine hela wanazofyonza pale Tanesco sio za kitoto, sio za kitoto. Hawa hawataki kusikia tunakua na chanzo kingine cha umeme zaidi ya gasi ama mafuta mazito maana ulaji wao pale Tanesco utakata.

Mfano,Kihansi wanaenda kufanya overhaul maintenance baada ya miaka 20 toka kituo kianzishwe na gharama yake haitazidi 10b, lakini kule kinyerezi General Electric ya Marekani wanataka zaidi ya 80b kufanya ukarabati mkubwa kwa miaka 3 engines na wanataka walipwe kabla ya kufanya kazi. Mitambo ya gesi inataka matengenezo kila baada ya miaka 2.5 ama 3 na gharama zake si chini ya 30B.

Sasa watu kama hao watataka tuwe na vyanzo rahisi vya nishati kama maji? Obviously hawataki kabisa na watatumia propaganda zote kutuonyesha kua maji hayafai, sijui ujinga gani.
Hakuna mbaya katika yote. Kila mtu ana ubaya wake na uzuri wake. Kinachoangaliwa ni mabaya yasi outweigh mazuri.
 
yote kwa yote baadhi mnaojaribu kutoa uchambuzi wenu wa kiuchumi mi naona mnatoa theory tu za darasani ambazo hua ni tofauti na uhalisia kwenye field na hilo hayalt siku anamuapisha mh.hussein bashe kwa teuzi ya mara ya kwanza "alisema nenda kafanye kazi achana na zile theory za bungeni" hivyo basi pamoja na mapungufu yote hayati katuachia vichocheo vya ukuaji wa uchumi ambavyo kama vikiendelezwa na kukamilika kwa wakati sahihi basi kila mtanzania ataweza kufikia malengo yake na kuenjoy cake ya taifa.Na kuelekea mafanikio yoyote lazima kuna wachache wataumia ili wengi wapone
 
Back
Top Bottom