Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

mkuu hivi yule dada kipindi kile mpk tukamtrack na mobile tracker vipi mmefunga ndoa tayari

ile kipindi kile uliponipa mtonyo wa hii apps mpka iliharibu ndoa yangu mzee

miaka mingi ishapita now
Hahahahah mzee baba nilikwambia usitumie ile mzee 😅😅😅 dah bora ungeacha tu ungekuwa na mkeo now🤩🤩🤩🤩
 
Hapo ulipo-italize Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndo maana nakwambia wewe hili jiwe hujatupa gizani,

Hili jiwe umenitupia Mimi Moja kwa moja kiazi wewe[emoji3]
 
Thats true chief. I concur with you.
 
Ukiambiwa penda unapopendwa maana yake unatakiwa ubalansi shobo! Sehemu ambayo mwanamke hana interest achana napo usilazimishe kwa hongo za kitapeli!
[/I]

Yule mwanamke faller sana[emoji3],
ile kesi Ni Matokeo ya dharau zake na yule ticha wake.

Kupigwa nje hatukatai,ila usimletee sponsa wako ngebe na dharau.

Ilkua ni lazima TU toneshane makali[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapompenda sana mtu, awe mwanamke ama mwanaume wa jinsia yako, elewa yeye hakupendi kama unavyompenda wewe, yaani upendo wako wewe lazima uwe juu zaidi ya anavyokupenda yeye, huo ni mfumo, kwa hiyo katika upendo huo wewe utakuwa unaburuzwa.
🚶🚶🚶
 
Yule mwanamke faller sana[emoji3],
ile kesi Ni Matokeo ya dharau zake na yule ticha wake.

Kupigwa nje hatukatai,ila usimletee sponsa wako ngebe na dharau.

Ilkua ni lazima TU toneshane makali[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahah pale kweli sponser kamaindi 😅😅😅 uliamua ticha umpige na fimbo ya walimwengu😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…