Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Ndio shem wake kyuti, nataka niwasaidie wanaopenda kuwa weupe wasiteseke kutumia photo lab [emoji1787][emoji1787]
Waambie hii kitu ni moto km waarabu wa dp weldi vile watakavyo shine [emoji1787][emoji1787]
Usisahau kuwawekea jikii, beii iwe nafuu, afu kwa mafungu, buku kwa jeroo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na mikorogoo yao mjinii.
 
Hao sasa wanataka kula nauli za nani?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Toleo jipyaa utawawezaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepania kukwapua waume zenu.
 
Kuziuzia huku wapi? Alafu Lv na Zara ni nguo tu? Hakuna viatu, handbags?

Dogo mbona unaulizia maswali ukiwa unataka majibu ya harakaharaka. Uliza taratibu leo kanipa ruhusa nijibu

Unakunywa nini leo?
Cocastic mchukue shem wako anaanza kutoa siri za mkewe [emoji1787][emoji1787]
Anakoelekea sio kuzuri kabisa
 
Unakunywa nini leo?
Cocastic mchukue shem wako anaanza kutoa siri za mkewe [emoji1787][emoji1787]
Anakoelekea sio kuzuri kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem na huyo Dogo wa MUST hawajawahi kuelewana.
Sijui shida nn yaan.
 
Usisahau kuwawekea jikii, beii iwe nafuu, afu kwa mafungu, buku kwa jeroo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na mikorogoo yao mjinii.

Hilo limezingatiwa na maji ya betri kwaajiri ya kuchachua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka km chizi hapa
 
aise hiyo app ni moto,
itasababisha watu wanaume wengi kusitisha kutoa mahari aisee dah!!!
 
Tuanzie kwako...unafanya nini humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…