Usisahau kuwawekea jikii, beii iwe nafuu, afu kwa mafungu, buku kwa jeroo.Ndio shem wake kyuti, nataka niwasaidie wanaopenda kuwa weupe wasiteseke kutumia photo lab [emoji1787][emoji1787]
Waambie hii kitu ni moto km waarabu wa dp weldi vile watakavyo shine [emoji1787][emoji1787]
Toleo jipyaa utawawezaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao sasa wanataka kula nauli za nani?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna shari,mbona shari bro?[emoji23]
Lv, zara sijui gucci, lacrosse tunaziskiaga tu wengine kwahiyo hatuelewi
Wachaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habaree ndo hiyo [emoji1787]
Noumaaah [emoji23][emoji23][emoji23]Hatareee [emoji1787]
Kuziuzia huku wapi? Alafu Lv na Zara ni nguo tu? Hakuna viatu, handbags?
Dogo mbona unaulizia maswali ukiwa unataka majibu ya harakaharaka. Uliza taratibu leo kanipa ruhusa nijibu
Nikikumbuka nacheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niache utoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nimechekaa sanaa, woiiiihAnatongoza Zuchu anaenda kuonana na hadija dadeq [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtajeeeeeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha basi nisije kuwakausha waja uzazi bure [emoji1787][emoji1787]
Huogopiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji2222][emoji2222]
ntamuungisha siku moja anipe mawasiliano yakeNyie wamatumbi wasumbufu sana
Dogo anataka kumchukulia demu wake handbag og ya Gucci.Unakunywa nini leo?
Cocastic mchukue shem wako anaanza kutoa siri za mkewe [emoji1787][emoji1787]
Anakoelekea sio kuzuri kabisa
Hii brand kyuti kaishika sana huko katoro, mpwapwa, mbarali na tunduma[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem na huyo Dogo wa MUST hawajawahi kuelewana.Unakunywa nini leo?
Cocastic mchukue shem wako anaanza kutoa siri za mkewe [emoji1787][emoji1787]
Anakoelekea sio kuzuri kabisa
Gucci og ndo 50k handbag? Shem acha utanii.Dogo anataka kumchukulia demu wake handbag og ya Gucci.
Ana 50k, vipi?[emoji23]
Usisahau kuwawekea jikii, beii iwe nafuu, afu kwa mafungu, buku kwa jeroo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na mikorogoo yao mjinii.
Wachaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aise hiyo app ni moto,Ndugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
Tuanzie kwako...unafanya nini humu?... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
ntamuungisha siku moja anipe mawasiliano yake