Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Hapo kwenye mawasiliano ndio utasubiri sana[emoji23][emoji23]

Alishategeneza base yake, wewe hangaika kutafuta utakutana nazo zikiwa zinauzwa rejareja na watu wengine.

[emoji1787][emoji1787]
Umenishinda kalale
 
Kwanza wanapenda kukopa, kulipa shida
Wacongo anachukua pisi 200 kwa cash zote og na bado anakupa order ulete na zingine na advance anatoa kabla hata ya mzigo.

Sema cute kanifundisha vingi aisee [emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nijifunike nicheke sauti isitoke nje, majirani wasije kuniona maralia imepanda
 
U

naharibu tulia mimi napita baki na kantrii alaa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo Kantri sijui kakimbiwa na mkewe, muda wote ananilia mingle. Simuelewi kabisa ananitaka nini!!! [emoji23]
 
Kwa
Hiyo kwenye huu Uzi hujaona "changamoto za kijamii"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…