Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Hapa lazima tu apply win to lose .. tuu tofauti na hapo lazima wanaume tuumie sana
 
...wanawake wakweli na wazuri ni wana JF tu... 8Figure... Akili zenye akili... Wako smart... Maana kwanza wote wana ela na magari... Oya 811/111/252 11/111/2YQQQ...
 
Imekaa kitoto sana....
Ukiona mtu mzima na akili zake ametumia hizo editing kuna shida mahali...
[emoji23] dada Bongo kuna utu uzima ? Hadi wanawake wa early 30's wameichanngamkia
Hii app imekuja kwa kasi sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu wewe Ntakuchapa, me sio mkeo nikwambie mara ngapi?
Acha kunifananisha
Basi itabidi ubadili sauti, miondoko, kucheka, rangi yako na hizo dimpoz[emoji23][emoji23]
 
Mwanamke mwangalie asubuhi anapoamka kabla ya kujipodoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…