Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
-
- #721
Hapa lazima tu apply win to lose .. tuu tofauti na hapo lazima wanaume tuumie sanaMaisha n magumu kiasi kwamba saivi wadada nnje hawatoki tena,wanajifungia ndani tu anajipga photo lab anapost.
ukinasa unamuita anakuja ndio kashakunasa,utamla na hela utampa..kwake kashaingiza DAY hana hasara, unaona umemuweza nae anaona kakuweza.
win win situation....
Kyuti kama kyuti [emoji1787]Usinipambanishe na waume za watu dada!!
Ana mkewe huyo bwana Countrywide anaitwa cute ohoo!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Salamu zilifikaMsalimie Countrywide [emoji28][emoji28][emoji28]
Mnafanana hadi sauti[emoji23]Hivi bado huamini km me sio kyuti??
Me ni mwingine kabisaa!! Nikikutajia utashtuka [emoji23][emoji23]
Na mm nimeingia kirchen napika huyo[emoji23]Wee njoo nishaanza maandalizi
Mbweni mna mabanda ya kuku[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo namnywa supu, wengine wapo bandani wa jpili
🤣🤣🤣Kyuti kama kyuti [emoji1787]
Wacha wee 🤣🤣🤣Salamu zilifika
🤣🤣🤣Mnafanana hadi sauti[emoji23]
[emoji23] dada Bongo kuna utu uzima ? Hadi wanawake wa early 30's wameichanngamkiaImekaa kitoto sana....
Ukiona mtu mzima na akili zake ametumia hizo editing kuna shida mahali...
Sema umefanana sana na cute wife, hadi kucheka[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Em waambie km me sio mkeo waache kunifananisha wananzengo,
Wanakufananisha na cute, na mm natembea humo au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wacha wee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nani kafikisha hizo salamu?
Basi itabidi ubadili sauti, miondoko, kucheka, rangi yako na hizo dimpoz[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu wewe Ntakuchapa, me sio mkeo nikwambie mara ngapi?
Acha kunifananisha
Mwanamke mwangalie asubuhi anapoamka kabla ya kujipodoaNdugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
🤣🤣Sema umefanana sana na cute wife, hadi kucheka[emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣Wanakufananisha na cute, na mm natembea humo au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣Basi itabidi ubadili sauti, miondoko, kucheka, rangi yako na hizo dimpoz[emoji23][emoji23]
Wala mm hata sikujui, nimehisi tu[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Ushawahi kuniona??
🤣🤣🤣Wala mm hata sikujui, nimehisi tu[emoji23]