Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ma ex tutakoma mwaka huu 😂Ila inachekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah View attachment 2756930
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma ex tutakoma mwaka huu 😂Ila inachekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah View attachment 2756930
Goods for service 🤣Goods for Goods
Or Goods for service
Kitu hiko hapo!Nimeenda hadi page ya tano sijaona picha
Mke tena?? Nani tena huyo kajibebea mimi?!Nakujua sana mke wa fulani
😂😂 kumbe we n bk na husemi? Sasa yule fulan n nanMke tena?? Nani tena huyo kajibebea mimi?!
Mbona bado bk mwenzio, hata mchumba wa uongo sina 🤣🤣🤣
Yupi huyo? 😂😂😂😂😂 kumbe we n bk na husemi? Sasa yule fulan n nan
Utasema tu😂Yupi huyo? 😂😂😂
Basi sawa ukimjua nishtue 😂Utasema tu😂
Amwambie zile alizigawa yeye harudii nguo 🤣🤣
Kwa tuliosoma CUBA tumekuelewa mkuu😉😉Ndugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
Na utashtuka kweli 😂Basi sawa ukimjua nishtue 😂
😂😂bado hamjasemaAmwambie zile alizigawa yeye harudii nguo 🤣🤣
... sawa mkuu; huu uzi ulianzishiwa Jukwaa la "Habari na Hoja Mchanganyiko" na ndiko nilikotolea comment yangu hiyo. Seems ulikuja kuhamishwa baadaye.
🤣🤣🤣Na utashtuka kweli 😂
Kantriiiiii🤣🤣🤣
Km unamjua mtaje
😂😂😂😂bado hamjasema
Ndo nani huko daslam? 🤣🤣Kantriiiiii