Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dogo mshamba_hachekwi atakuwa ana sup tatu zinamsumbua akili...asamehewe😥😥😥Sasa Joannah kaingiaje hapa mdogo wangu?
Mimi nawe tumewahi koseana popote?
Ushamba ninaongelea ni jina lako tu
Msalimie Countrywide 😅😅😅Me wa mji kasoro bahari mbona [emoji1787][emoji1787]
Nipo Beshte yangu....Miss you.Na mm nikasema ngoja nianze nae taratibu... [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Upo lakini beshte...umepotea mmeniacha mwnyw jukwaani kule...
😂😂😂Kuna jiraniyangu nilikuwa napiga nae story mara nikapita status namuona kama mturuki hivi nikashangaa ikabid nimuulize hapohapo kama ni yeye😀😀😀
Mbona waturuki na mablack americans ni wengi sana 😂😂😂😂Kuna jiraniyangu nilikuwa napiga nae story mara nikapita status namuona kama mturuki hivi nikashangaa ikabid nimuulize hapohapo kama ni yeye😀😀😀
😂😂Jana nimekuta mdogowang kawa mzungu na wig la million 2 aise😀😀😀Mbona waturuki na mablack americans ni wengi sana 😂
Kuna mmoja kapost huko fb na maneno ya shombo kibao ila tunaomjua tunabaki kuduwaa tu kwa jinsi alivyo.
Alafu anaomba vocha ya jero 😂😂😂😂Jana nimekuta mdogowang kawa mzungu na wig la million 2 aise😀😀😀
😂😂Ndo maajabu yalipo SasaAlafu anaomba vocha ya jero 😂😂
Nipe username yako ya fb nikaone hizo shombo jirani 😜Mbona waturuki na mablack americans ni wengi sana 😂
Kuna mmoja kapost huko fb na maneno ya shombo kibao ila tunaomjua tunabaki kuduwaa tu kwa jinsi alivyo
Goodmorning dear...Nipo Beshte yangu....Miss you.
Mambo tu yanakuwa mengi...Nimerudi sasa..
Good Morning..
😂 sasa utaonaje kwani mim ndie niliepost? User name inayotakiwa ni ya mpost shomboNipe username yako ya fb nikaone hizo shombo jirani 😜
😂😂 hii imeenda nawewe ebu picha yako ukiwa Texas😂😂Ndo maajabu yalipo Sasa
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Goodmorning dear...
Welcome back...
Naona jana uliwapikiamo wageni chakula kitamu kweri kweri😎Nipe username yako ya fb nikaone hizo shombo jirani 😜
😀😀Hata sijui inapatikana wapi😂😂 hii imeenda nawewe ebu picha yako ukiwa Texas
We ndio utak unywele wa bei ghali 😂😀😀Hata sijui inapatikana wapi
Tangu nizaliwe sijawah suka nywele ya kufikia Elfu 70 😀😀😀 ndo nikaupate huko labdaWe ndio utak unywele wa bei ghali 😂
Uje usuke hata mara moja ntalipa alafu utalipia kidogo kidogo 😅😎Tangu nizaliwe sijawah suka nywele ya kufikia Elfu 70 😀😀😀 ndo nikaupate huko labda